Sunday, 11 December 2016

TANGAZO LA AJIRA/NAFASI ZA KAZI WIZARA YA AFYA DEC 2016

 Image result for SERIKALI YATANGZA AJIRA MPYA ZA WALIMU 2016/2017
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DEC TAREHE 11.12.2016

Share:

Washindi wa EATV AWARDS 2016 hawa hapa

Share:

Picha 8: Christopher Ole Sendeka na viongozi wengine walivyoapishwa na Rais IKulu


Share:

Picha 5: Meli yenye malori 600 ya Kiwanda cha Dangote yawasili Mtwara

Share:

Saturday, 10 December 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Disemba 10

Share:

Rais Magufuli Atoa Msamaha Kwa Wafungwa 5,678 Katika Maadhimisho Ya Miaka 55 Ya Uhuru Wa Tanzania Bara

Share:

Friday, 9 December 2016

Picha 16 za Maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara Yaliyofanyika Jijini Dar

Share:

Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara Yateketea Kwa Moto

Share:

New AUDIO | Wizzy Rapper Ft. Darassa - Mwambie Mwenzio (Remix) | Download

Share:

KARATU : Mtoto auawa kinyama kisha mwili wake kuchunwa ngozi

[​IMG]
Share:

MPYA:AJIRA MPYA 192 WIZARA YA AFYA ZATANGAZWA

Image result for SERIKALI YA TANZANIA
Share:

Thursday, 8 December 2016

New AUDIO | TUNDAMAN - DEBE TUPU | Download


Share:

MPYA:AJIRA MPYA ZAIDI YA 70,000 SERIKALINI ZAANIKWA

  •  
  • *Madaktari, wauguzi, walimu wapeta
  •  *Wamo pia wa sekta viwanda, kilimo
BAADA ya kusitisha ajira za umma kwa takribani miezi tisa, 
Serikali imesema katika mwaka huu wa bajeti itaajiri watu 71,496
 kwenye sekta mbalimbali ikiwamo elimu, afya na viwanda.
Share:

Ufafanuzi Wa Taarifa Zilizoandikwa Na Baadhi Ya Magazeti Juu Ya Mgogoro Wa Tanzania Na Malawi Kwenye Ziwa Nyasa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UFAFANUZI WA TAARIFA ZILIZOANDIKWA NA BAADHI YA MAGAZETI JUU YA MGOGORO WA TANZANIA NA MALAWI KWENYE ZIWA NYASA

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki inapenda kufafanua na kuweka sawa taarifa zilizoandikwa kwenye baadhi ya Magazeti ya tarehe 07 Desemba, 2016 kuwa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa unakaribia kuiva na kwamba Mgogoro huo unatarajiwa kumalizwa na washauri wa kimataifa.

Taarifa hiyo haikuwa sahihi. Ukweli ni kuwa, mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi kwa sasa upo chini ya Jopo la Viongozi Wastaafu wa Afrika wanaotokea kwenye nchi za Ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo  Kusini mwa Afrika (SADC). Jopo hilo linaongozwa na Mhe. Joachim Chissano, Rais Mstaafu wa Msumbiji akisaidiwa na Mhe. Festus Mogae, Rais Mstaafu wa Botswana na Mhe. Thabo Mbeki, Rais Mstaafu wa Afrika Kusini.

Aidha, Jopo hili ambalo liliundwa na Umoja wa Afrika kupitia Jukwaa la Viongozi Wastaafu wa Afrika (Forum for Former African Heads of State and Government) kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro huu, linaendelea na kazi hiyo kwa kupitia taarifa mbalimbali na maandiko yaliyowasilishwa kwao na Tanzania na Malawi. Vile vile, Jopo lilikwisha zikutanisha pande zote mbili katika mashauriano ya awali yaliyofanyika nchini Msumbiji

Wizara inapenda kuujulisha umma kuwa licha ya kuwepo kwa mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa, mahusiano ya nchi hizi mbili yamezidi kuimarika siku hadi siku katika Nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hata wananchi wa pande zote mbili za Ziwa wameendelea kuishi kwa amani na ushirikiano wa karibu.

Aidha, katika kuimarisha uhusiano huu, Tanzania na Malawi zinatarajia kuwa na mkutano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano mapema mwakani. Mkutano huu utawaleta watalaam wa nchi hizi mbili kutoka Sekta mbalimbali kwa lengo la kujadili changamoto za ushirikiano katika sekta hizo, kubaini maeneo mapya ya ushirikiano pamoja na kuweka mikakati ya kutekeleza miradi ya pamoja itakayokubaliwa baina ya pande hizi mbili.

Pamoja na mambo mengine, Mkutano huo unatarajiwa kujadili masuala ya ushirikiano katika sekta za biashara na uwekezaji, usafirishaji, fedha, nishati, utalii, ulinzi na usalama uhamiaji, uvuvi na ardhi.

Hivyo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inawaomba Waandishi wa Habari, Wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla inapohitajika kupata taarifa sahihi za suala hili kwenda kwenye Mamlaka husika na kuziandika kwa usahihi kwa ustawi wa nchi.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Dar es Salaam, 07 Desemba, 2016.
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI DEC 8 2016

Share:

Taarifa kuhusu sherehe ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9, Desemba 2016.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger