Tuesday, 25 October 2016

4th Batch of selected Students to join Degree Programs at SJUT


Batch  4 of selected Students to join Degree Programs at SJUT
Share:

University of Arusha: Fourth Selection from TCU


FOurth Selection from TCU
       <<CLICK HERE>>
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA MARIAN UNIVERSITY 4TH ROUND 2016/2017

 
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU UDOM BATCH 2 &3 2016/2017

 
Share:

VIDEO:Majambazi Wenye Pikipiki Wapora $40,000 Ofisini Kwa Mohamed Ishaq (Scandinavia)


Jamaa katika Nissan kaibiwa usd 40,000 na majambazi ofisini kwa Mohamed Ishaq (scandinavia)



Majambazi walimfuatilia tokea benki.
Share:

Hans van Pluijm amejiuzulu Yanga Baada ya Kusikia Ujio wa Kocha Mpya



Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm ameandika barua ya kujiuzulu kuifundisha klabu hiyo ya Jangwani.

Uamuzi wa Pluijm umekuja baada ya tetesi kuzangaa kwamba uongozi wa klabu hiyo unampango wa kubadili benchi la ufundi la klabu hiyo huku yeye kama kocha wa sasa akiwa hana taarifa rasmi kutoka kwa klabu.

“Nimeandika barua ya kujiuzulu kutokana na jinsi mambo yanavyokwenda, sikufurahishwa nayo. Nimeamua kujiuzulu na tayari nimekabidhi barua kwa uongozi wa Yanga, kama watapitisha nahitaji wanikamilishie stahiki zangu,” Van Pluijm amenukuliwa na chanzo cha habari hii.

Wakati huohuo, mzambia George Lwandamina amesema hajasaini mkataba wowote na Yanga ingawa amekiri Yanga inamuhitaji.

Amesema kwamba, kama watakubaliana yupo tayari kuja na kuipa Yanga mafanikio zaidi.
Share:

YANGA Yamleta Kocha Mpya Kisiri na Kumsainisha Mkataba wa Miaka Miwili



DAR: Kocha Mzambia aliyekuwa akiinoa Klabu ya Zesco United ya Zambia, George Lwandamina amesaini mkataba wa miaka 2 wa kuifundisha Klabu ya Yanga.

Kocha huyo alitua jijini Dar kwa usiri huku uongozi wa Yanga ukimficha kwa kile kilichotajwa kutotaka kuivuruga timu ambayo imerejea kwenye kiwango chake.

Inadaiwa pia Yanga huenda ikalifumua benchi kote la ufundi la sasa.
Share:

New AUDIO | Mesen Selekta – Kiss & Love | Download

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE OCTOBER 25 2016

Share:

Monday, 24 October 2016

Sunday, 23 October 2016

Majambazi wanne wauawa Katika Mapambano Makali Mkuranga


Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke limeua watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OCTOBER TAREHE 23.10.2016

Share:

Bodi ya Mikopo Ya Elimu Ya Juu Zanzibar Yasitisha Kutoa Mikopo Kwa Wanafunzi Vyuo Vikuu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ameiagiza Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, kusimamisha utoaji wa mikopo ya elimu ya juu, hadi hapo serikali itakapojiridhisha na utaratibu mzima wa utoaji wa mikopo hiyo.
Share:

Saturday, 22 October 2016

MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO 2016/2017-BATCH 1 & 2

Habari yako,kama kawaida yetu huwa tunapenda sana kuwapa kitu roho inapenda wadau wetu wakubwa ambae wewe hapo unaesoma habari hii ni mmojawapo.
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI FORM SIX WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU KCMC 2016/2017-BATCH 2


 
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger