Tuesday, 25 October 2016
VIDEO:Majambazi Wenye Pikipiki Wapora $40,000 Ofisini Kwa Mohamed Ishaq (Scandinavia)
Jamaa katika Nissan kaibiwa usd 40,000 na majambazi ofisini kwa Mohamed Ishaq (scandinavia)
Majambazi walimfuatilia tokea benki.
Hans van Pluijm amejiuzulu Yanga Baada ya Kusikia Ujio wa Kocha Mpya

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm ameandika barua ya kujiuzulu kuifundisha klabu hiyo ya Jangwani.
Uamuzi wa Pluijm umekuja baada ya tetesi kuzangaa kwamba uongozi wa klabu hiyo unampango wa kubadili benchi la ufundi la klabu hiyo huku yeye kama kocha wa sasa akiwa hana taarifa rasmi kutoka kwa klabu.
“Nimeandika barua ya kujiuzulu kutokana na jinsi mambo yanavyokwenda, sikufurahishwa nayo. Nimeamua kujiuzulu na tayari nimekabidhi barua kwa uongozi wa Yanga, kama watapitisha nahitaji wanikamilishie stahiki zangu,” Van Pluijm amenukuliwa na chanzo cha habari hii.
Wakati huohuo, mzambia George Lwandamina amesema hajasaini mkataba wowote na Yanga ingawa amekiri Yanga inamuhitaji.
Amesema kwamba, kama watakubaliana yupo tayari kuja na kuipa Yanga mafanikio zaidi.
YANGA Yamleta Kocha Mpya Kisiri na Kumsainisha Mkataba wa Miaka Miwili

DAR: Kocha Mzambia aliyekuwa akiinoa Klabu ya Zesco United ya Zambia, George Lwandamina amesaini mkataba wa miaka 2 wa kuifundisha Klabu ya Yanga.
Kocha huyo alitua jijini Dar kwa usiri huku uongozi wa Yanga ukimficha kwa kile kilichotajwa kutotaka kuivuruga timu ambayo imerejea kwenye kiwango chake.
Inadaiwa pia Yanga huenda ikalifumua benchi kote la ufundi la sasa.
Monday, 24 October 2016
Sunday, 23 October 2016
Majambazi wanne wauawa Katika Mapambano Makali Mkuranga
Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke limeua watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Saturday, 22 October 2016
MPYA:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO 2016/2017-BATCH 1 & 2
Habari yako,kama kawaida yetu huwa tunapenda sana kuwapa kitu roho inapenda wadau wetu wakubwa ambae wewe hapo unaesoma habari hii ni mmojawapo.










































