Sunday, 16 October 2016
Diamond na Harmonize Washinda tuzo za AFRIMMA 2016,Orodha kamili ya washindi ipo hapa
Utoaji
wa tuzo za AFRIMMA kwa mwaka 2016 umefanyika Dallas, Marekani huku
watanzania watatu, Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D Ommy wakiibuka na
tuzo kila mmoja akipata tuzo moja.
Diamond
ameshinda tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume kwa Afrika Mashariki,
Harmonize kashinda tuzo ya msanii anayechipukia Afrika na DJ D Ommy
akishinda tuzo ya DJ bora Afrika.
Orodha kamili ya washindi waweza isoma hapa chini;
Best Male West Africa – Olamide (Nigeria)
Best Female West Africa – Efya
Best Male North Africa – Amr Diab
Best Female North Africa – Ibtissam
Best African DJ USA – Dj Dee Money
Best Male Central Africa – C4 Pedro
AFRIMMA Video of the year – Brother brother Bisa Kdei
Best Female Central Africa – Daphne
Music Producer of the year – Masterkraft
Best male South Africa – AKA
Best Female Southern Africa – Chikune
Best Rap Act – Phyno (Nigeria)
Best African Group – Sauti Sol (Kenya)
Best collaboration – Reggae blues ( Harrysong, Kcee) Nigeria
Crossing boundaries with Music – Wizkid (Nigeria)
Song of the year – Tecno Duro (Nigeria)
Best Gospel Act – Willy Paul (Kenya)
Best Male East Africa – Diamond Platnumz ( Tanzania)
Artist of the year – Flavour ( Nigeria)
Best Newcomer – Harmonize (Tanzania)
Best Dancehall Act – Shatta Wale
Best Video Director – Patrick Elis
Carribean Artist of the year – Machel Montano
Mwana Samatta Atajwa Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Wachezaji wengine ni pamoja na Mkenya Victor Wanyama anayecheza ligi kuu ya Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspur, Denis Onyango kutoka Uganda anayekipiga katika klabu ya Mamelodi Sundowns.
Hapa chini ni orodha kamili.
1. Riyad Mahrez (Algeria & Leicester City)
2. El Arabi Hillel Soudani (Algeria & Dinamo Zagreb)
3. Islam Slimani (Algeria & Leicester City)
4. Samuel Eto’o (Cameroon & Antalyaspor)
5. Benjamin Mounkandjo (Cameroon & Lorient)
6. Serge Aurier (Cote d’Ivoire & PSG)
7. Eric Bailly (Cote d’Ivoire & Manchester City)
8. Yao Kouasi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire & Hebei Fortune)
9. Mohamed Salah (Egypt & Roma)
10. Mohamed El Neny (Egypt & Arsenal)
11. Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon & Dortmund)
12. Andre Ayew (Ghana & West Ham)
13. Victor Wanyama (Kenya & Tottenham)
14. William Jebor (Liberia & Wydad Athletic Club)
15. Mehdi Benatia (Morocco & Juventus)
16. Hakim Ziyech (Morocco & Ajax)
17. John Mikel Obi (Nigeria & Chelsea)
18. Kelechi Iheanacho (Nigeria & Manchester City)
19. Ahmed Musa (Nigeria & Leicester City)
20. Cedric Bakambu (DR Congo & Villareal)
21. Yannick Bolasie (DR Congo & Everton)
22. Sadio Mane (Senegal & Liverpool)
23. Kalidou Koulibaly (Senegal & Napoli)
24. Keegan Dolly (South Africa & Mamelodi Sundowns)
25. Itumeleng Khune (South Africa & Kaizer Chiefs)
26. Mbwana Samatta (Tanzania & Genk)
27. Aymen Abdennour Tunisia & Valencia)
28. Wahbi Khazri (Tunisia & Sunderland)
29. Dennis Onyango (Uganda & Mamelodi Sundowns)
30. Khama Billiat (Zimbabwe & Mamelodi Sundowns)
MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WA CHUO CHA MAJI UBUNGO WALIOPATA MKOPO 2016/2017
Names of WTF Loan Beneficiaries 2016-17
ATTENTION TO THE WTF LOAN APPLICANTS
The Board of The Registered Trustees of Water Technicians Fund (RTWTF) hereby wishes to inform all loan applicants that by applying and meeting the loan allocation criteria, eighty eight (88) applicants have qualified to be beneficiaries of the loan
The Board of The Registered Trustees of Water Technicians Fund (RTWTF) hereby wishes to inform all loan applicants that by applying and meeting the loan allocation criteria, eighty eight (88) applicants have qualified to be beneficiaries of the loan
Upepo Mkali Waezua Nyumba 44 Musoma
Upepo mkali ukiambatana na mvua umeezua nyumba 44 katika
Kijiji cha Kiemba Kata ya Ifulifu, Wilaya ya Musoma mkoani Mara.
Kati ya
nyumba hizo, tano ziliathirika vibaya kiasi cha kusababisha wamiliki
wake kulala nje. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo
alikagua baadhi ya nyumba zilizoathirika ili kuona athari za uharibifu
huo.
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dk Vicent Naano na viongozi wa
halmashauri, walitembelea eneo hilo baada ya kupata taarifa za athari za
kuezuliwa paa na kuagiza tathmini ifanyike ili Serikali iweze kutoa
msaada kwa wananchi hao.
Profesa Muhongo aliwaambia waathirika hao
kuwa Serikali ya Rais John Magufuli ipo pamoja nao na ametumwa kuwapa
pole kutoka kwa viongozi wa juu wa Serikali.
“Ndugu wananchi, nimetumwa na Rais wetu Dk John Magufuli niwape pole sana kwa kukutwa na
kadhia hii ya kuezuliwa na upepo kwa paa za nyumba zenu. Makamu wa Rais
na Waziri Mkuu wanawapa pole pia na wanawatakia heri wale wote
walioathirika,” alisema.
Profesa Muhongo aliwaelekeza viongozi wa
kijiji hicho wahakikishe wanafanya tathmini ya kweli kwa kupita kila
nyumba iliyoathirika na yoyote atakayegundulika amedanganya ili Serikali
imlipe, zoezi zima litaahirishwa na kurudiwa upya, pia wahusika
watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Aliwaahidi wananchi hao kuanza kupewa
misaada baada ya kikao cha halmashauri kupitia taarifa ya tathmini
kesho, na kuwaelekeza viongozi kufanya kazi hiyo kwa haraka.
Profesa
Muhongo alikuwa mkoani Mara kwa ziara ya kikazi ya kukagua umeme na
kushiriki maadhimisho ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius
Nyerere iliyofanyika nyumbani kwake Butiama juzi.
Saturday, 15 October 2016
Friday, 14 October 2016
JINSI YA KUHAMA CHUO ULICHOCHAGULIWA KWENDA CHUO KINGINE 2016/2017
Habari zenu,
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu utaratibu wa kuhama chuo kwa wanafunzi waliochaguliwa vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017.
TCRA yapiga ‘Stop’ Simu za Samsung

Thursday, 13 October 2016
MPYA:TCU IMEACHIA SELECTION ZOTE ZA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VIKUU MBALIMBALI TANZANIA 2016/2017
Kupitia ukurasa wake wa CAS.TCU.GO.TZ tume ya vyuo vikuu Tanzania,imeamua kuachia link ambayo inaonyesha kila mtu chuo alichochaguliwa mwaka wa masomo 2016/2017.





































