Rais John Magufuli
amemshangaa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kwa kuidhinisha fedha
za matibabu ya mpinzani wake wa kisiasa, Maalim Seif Sharif Hamad
wakati alikataa kumpa mkono wa salamu walipokutana kwenye mazishi wiki
mbili zilizopita.
“Mtu mmekutana kwenye msiba, mahali...
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
amewahakikishia wananchi wa Zanzibar kuwa atasimamia kwa nguvu zote
masuala yote yanayohusu maendeleo, kudumisha Muungano wa Tanzania Bara
na Tanzania Zanzibar na kudumisha amani kwa faida ya wananchi.
Rais
...
List of banned cosmetics
upload document:
LIST OF BANNED COSMETICS (2005-2006).pdf
LIST OF BANNED COSMETICS (2004-2005).pdf
LIST OF BANNED COSMETICS...
ELIZABETH
Asenga (40), mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini jana
katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuandika maneno ya
kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa kijamii wa What’s App.
Akisomewa
mashtaka yake na Leonard Chalu, wakili...
WAZIRI
MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na
Ufundi iweke mpango maalumu wa kuongeza wataalamu zaidi katika sekta ya
afya ndani ya nchi ili kuipunguzia Serikali gharama za kusomesha
wataalam hao nje ya nchi.
Ametoa
agizo hilo Ijumaa, Septemba...
RAIS
John Magufuli, amemtaka Dk. Ali Mohamed Shein, kumpa tuzo Jecha Salim,
mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar, kutokana na kile alichokiita
kazi nzuri aliyoifanya visiwani humo mwaka jana, kwa kufuta matokeo ya
uchaguzi mkuu.
Rais Magufuli aliyasema hayo jana
...