Sunday, 4 September 2016

List of Students MIST:Selected for Various Ordinary Diploma Programmes Offered by MUST for Academic Year 2016/2017 (Batch One) Dat

List of Students Selected for Various Ordinary Diploma Programmes Offered by MUST for Academic Year 2016/2017 (Batch One)....PD...
Share:

Rais Magufuli Azungumzia Tukio la Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein

Rais John Magufuli amemshangaa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kwa kuidhinisha fedha za matibabu ya mpinzani wake wa kisiasa, Maalim Seif Sharif Hamad wakati alikataa kumpa mkono wa salamu walipokutana kwenye mazishi wiki mbili zilizopita.  “Mtu mmekutana kwenye msiba, mahali...
Share:

Rais Magufuli aahidi kulinda Muungano na kudumisha amani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi wa Zanzibar kuwa atasimamia kwa nguvu zote masuala yote yanayohusu maendeleo, kudumisha Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar na kudumisha amani kwa faida ya wananchi. Rais ...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI SEP 4 2016

...
Share:

Saturday, 3 September 2016

HVI HAPA VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU TANZANIA KUTOKA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA -TFDA

  List of banned cosmetics upload document:  LIST OF BANNED COSMETICS (2005-2006).pdf   LIST OF BANNED COSMETICS (2004-2005).pdf   LIST OF BANNED COSMETICS...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 3.9.2016

...
Share:

Afikishwa Mahakamani Kwa Kumuita Rais Magufuli ni Kilaza

ELIZABETH Asenga (40), mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuandika maneno ya kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa kijamii wa What’s App. Akisomewa mashtaka yake na Leonard Chalu, wakili...
Share:

Waziri Mkuu aitaka Wizara ya Elimu kuongeza wataalamu wa Afya nchini.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi iweke mpango maalumu wa kuongeza wataalamu zaidi katika sekta ya afya ndani ya nchi ili kuipunguzia Serikali gharama za kusomesha wataalam hao nje ya nchi. Ametoa agizo hilo Ijumaa, Septemba...
Share:

Rais Magufuli ataka Jecha apewe Tuzo ya heshima .........Amtaka Dr Shein Apunguze Upole, Watakaomsumbua Awataje Washughulikiwe

RAIS John Magufuli, amemtaka Dk. Ali Mohamed Shein, kumpa tuzo Jecha Salim, mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Zanzibar, kutokana na kile alichokiita kazi nzuri aliyoifanya visiwani humo mwaka jana, kwa kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu. Rais Magufuli aliyasema hayo jana  ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger