Tuesday, 19 April 2016
Monday, 18 April 2016
MWENGE WAWASHWA NA MAKAMU WA RAIS MH.SAMIA ,ANGALIA HAPA RATIBA YA MBIO ZA MWENGE 2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Uzinduzi huo utakaofanyika kwenye
Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambao utatanguliwa na shamrashamra za
halaiki kutoka kwa vijana zaidi ya 1,000 na vikundi vya utamaduni kutoka
wilaya za Morogoro na nje ya mkoa huo.























