Tuesday, 5 April 2016

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 5.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Magazetini Leo Jumanne April 5, 2016


20160405_044344
MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 5/4/2016
20160405_044357
20160405_044411
20160405_044421
20160405_044433
20160405_044449
20160405_044459
20160405_044515
20160405_044537
20160405_044555
20160405_044607
20160405_044618
20160405_044629
20160405_044638
20160405_044654
20160405_044705
20160405_044729
20160405_044740
20160405_044756
20160405_044806
20160405_044818
20160405_044831
20160405_044845
20160405_044854
20160405_044909
20160405_044919
20160405_044945
20160405_044953
Share:

Monday, 4 April 2016

MAGUFULI AFUTA SHEREHE ZA MUUNGANO TAREHE 26/4/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

Msimamo wa Ligi Kuu England mpaka sasa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

CfIuX3zWIAAhA1i.jpg large

Share:

HESLB: Tumejipanga kukusanya Tshs 8 bilioni kwa mwezi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema imeanza kutekeleza mikakati mipya ya ukusanyaji wa mikopo ya elimu ya juu kutoka wadaiwa ambayo itaongeza wastani wa ukusanyaji wa Tshs 2.6 bilioni za sasa hadi kufikia Tshs 8 bilioni ifikapo mwezi Julai mwaka huu.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Jerry Sabi  ameyasema hayo leo (Jumatano, Machi 30, 2016) jijini Dar es Salaam alipokuwa akiongea mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii iliyotembelea ofisi za Bodi hiyo zilizopo Mwenge.

“Hadi mwezi uliopita (Februari, 2016) tulikuwa tunakusanya wastani wa shilingi bilioni 2.6 kwa mwezi, lakini sasa tumeongeza kasi na mikakati mipya ambayo itawezesha kukusanya shilingi bilioni 6 mwezi Aprili na shilingi bilioni 8 ifikapo mwezi Juni mwaka huu,” amesema Bw. Sabi aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo na miezi miwili iliyopita.

HESLB ilianzishwa ilianza kazi mwaka 2005 ili kutoa mikopo kwa wanafunzi wahitaji na pia kukusanya mikopo kwa wanufaika. Hadi sasa, zaidi ya shilingi 2.1 trilioni zimetolewa kwa wanufaika na kati ya fedha hizi, mikopo iliyoiva na inayopaswa kukusanywa ni shilingi 258 bilioni ambazo wanufaika wake wamemaliza au kusitisha  masomo yao na vilevile kumaliza muda wa kujipanga kuanza kulipa (grace period).

Kwa mujibu wa Bw. Sabi, hadi sasa, HESLB imekusanya shilingi 91 bilioni kati ya shilingi 258 bilioni zilizoiva na hivyo kupaswa kukusanya.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji huyo alikuwa akijibu hoja zilizotolewa na Wajumbe wa Kamati hiyo waliokutana na watendaji wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi na HESLB wakiongozwa na Waziri Prof. Joyce Ndalichako na Naibu wake Mhandisi Stella Manyanya.

Bw. Sabi alitaja mikakati mipya iliyobuniwa na HESLB kuwa ni pamoja na kuimarisha mtandao baina ya Bodi na waajiri kutoka sekta binafsi na umma ambao unalenga kubaini na kukusanya kiasi cha shilingi 7.02 bilioni kwa mwaka kutoka kwa  wanufaika 136,252.

“Tunapata ushirikiano mkubwa kutoka kwa taasisi za Serikali na sasa tumejipanga kupitia upya mitandao ya waajiri kwa kushirikiano na taasisi kama Chama cha Waajiri (ATE), Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF) na Shirikisho la Asasi zisizo za Kiserikali (TANGO) ili kuhuisha takwimu zetu kuhusu waajiri ili kukusanya taarifa za wadaiwa wapya kwa haraka,” alifafanua Bw. Sabi.

Mikakati mingine ni kutoa elimu na kuimarisha ushirikiano na wadau mahsusi kama Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mamlaka ya Usimamizi wa Mashirika ya Hifadhi za Jamii (SSRA), Wakala wa Usajili wa Makampuni (BRELA), Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na vyama vya kitaaluma.

Akizungumza katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Bw. Peter Serukamba ameitaka HESLB kuongeza kasi ya kudai mikopo iliyoiva na kuutaka uongozi wa HESLB kuandaa orodha ya wadaiwa wote na kuiwasilisha kwa kamati ili ifanyiwe kazi.

“Ni lazima kuwe na fedha ili kuwezesha kutoa mikopo kwa wahitaji wengine ...haiwezekani mtu anapata mkopo halafu halipi...andaeni orodha ya wote walionufaika na mikopo ambayo itaonyesha nani halipi, nani analipa na nani amemaliza na tutaamua tufanye nini,” alisema Serukamba.

HESLB ilianzishwa mwaka 2004 na kuanza kazi rasmi mwezi Julai mwaka 2005 kwa lengo la kutoa mikopo kwa watanzania wahitaji waliopata nafasi za masomo katika vyuo vya elimu ya juu na kukusanya mikopo iliyoiva kutoka kwa wadaiwa walionufaika na mikopo tangu mwaka 1994.   

Mwisho.
Share:

MWANAFUNZI(DENTI) DARASA LA TANO AJINYONGA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Dada wa marehemu akilia baada ya mdogo wake kujinyonga.

STORI: Dustan Shekidele, Wikienda
Morogoro: Mshtuko! Mwanafunzi wa wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Mchikichini ‘B’ ya mjini hapa, Anosisye Gidion (12), ameacha viulizo kibao baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge cha mama yake, Judith Kilalu ‘Mama Kapipi’.

Tukio hilo la kuhuzunisha lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita, majira ya saa 1:00 asubuhi nyumbani kwao maeneo ya Mji Mpya mjini hapa.


Kitenge cha mama yake alichotumia kujinyongea.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, Ashura na rafiki wa marehemu, Hussein walisema kuwa chanzo cha denti huyo kujinyonga kilidaiwa kuwa ni kitendo cha mama yake kumchapa na kumtishia kumpeleka polisi baada ya kuchukizwa na kitendo chake cha kurudi nyumbani saa 6:00 usiku huku akidaiwa kuonekana akiwa na kundi haramu la vibaka la Kizazi Jeuri.

Mama mzazi akilia kwa uchungu.

“Anosisye alichelewa kurudi nyumbani, ilipofika saa 4:00 usiku, mama yake aliamua kumtafuta akaambiwa alionekana akiwa na lile kundi lililokupora wewe (mwandishi wetu) maeneo ya Stendi ya Daladala ya Mji Mpya,” alisema mmoja wa mashuhuda hao huku akirekodiwa.

Mashuhuda wakifuatilia tukio hilo.

Kwa upande wake, mama mzazi wa denti huyo aliyeangushiwa zigo la lawama juu ya kifo cha mwanaye alisema: “Mwanangu alichelewa kurudi nyumbani usiku. Nilizunguka kumtafuta, nikaambiwa alionekana akiwa na Kizazi Jeuri hivyo nilimchapa sana na kumtisha kukicha nitampeleka polisi.

“Kulipokucha aliandaa nguo za shule, cha ajabu nimemkuta amejinyonga. Inauma sana jamani.”
Naye Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Makaburi B, Amiri Kombo aliyekuwepo eneo la tukio alithibitisha kutokea kwa tukio hilo katika mtaa wake.

Polisi wakichukua mwili wa marehemu kwaajili ya uchunguzi.

Wazazi wanahofia watoto wao kujiunga na kundi hilo lililomvamia mwandishi wetu na kumpora kamera na simu ambao aliwafungulia jalada la kesi namba MOR\RB\140\2016 hivyo wanasakwa na polisi.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 4.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Magazetini Leo Jumatatu April 4, 2016

20160404_044121
20160404_044132
20160404_044154
20160404_044205
20160404_044220
20160404_044229
20160404_044238
20160404_044248
20160404_044301
20160404_044310
20160404_044320
20160404_044327
20160404_044337
20160404_044346
20160404_044358
20160404_044407
20160404_044416
20160404_044423
20160404_044537
20160404_044553
20160404_044601
20160404_044610
20160404_044619
20160404_044630
20160404_044641
20160404_044711
20160404_044726
Share:

ST.JOSEPH UNIVERSITY YAPIGWA STOP KUDAHILI WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2016/17

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Minister for Education and Vocational Training Joyce Ndalichako.
St  Joseph University of Tanzania (SJUIT) will run next academic year due to start in October without new students, succumbing to pressure by the nation’s high academic overseer organization, Tanzania Commission for Universities (TCU) that barred the new entry pending settlements of academic discrepancies.
 
The academic hitches defying TCU standards that led to the latest intake freeze in a row of other sanctioned harassments involving closure of the Catholic Church-run Songea and Arusha campuses, included an allegedly poor quality education.
 
The decision by TCU at the SJUIT Luguruni campus in Dar es Salaam comes barely a month after it revoked the registration of the subsidiary campus in Songea and Arusha for failure to meet the quality assurance standards.
 
The Luguruni campus was then spared, pending the release of evaluation report from TCU before the commencement of the second semester this week.
 
However, it was all not that bad news for the struggling university as TCU released the evaluation report this week, saying it would not revoke approval of the remaining Luguruni and Boko campuses in Dar es Salaam.
 
“TCU has made its evaluation and found out that the existing challenges at the  Luguruni campus can be solved at the university’s administrative levels under our supervision” the TCU Executive Secretary Professor Yunus Mgaya  told the Guardian on Sunday on Friday.
 
 “We allow commencement of their daily academic activities on a condition that they do not enroll new students for this academic year until the outlined challenges are settled,” he said.
 
The Commission, among others, has ordered the university authority to equip the institution with an adequate number of qualified lecturers including Ph.D. holders and professors, to increase the number of workshops, laboratories and other facilities. 
 
Earlier, students at the university staged a strike in a protest against high tuition fees and low quality education, but the Minister for Education and Vocational Training Joyce Ndalichako ordered them to go back to classes, amid pledges she would work with the university authorities to address their claims.
 
However, Professor Mgaya confirmed to this paper that TCU is currently scrutinizing the International Medical and Technological University (IMTU) on its way to Kampala International University (KIU), the two institutions notoriously chronic in violation of the commission’s values centred on the provision of quality education.
 
 “This is the nationwide exercise to awaken universities into proper implementation of their duties and challenging them into delivering quality university education,” he said. 
 
He said a team of experts from the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, a professor from Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) and TCU started evaluation processes at IMTU earlier this week.
 
He said the report on IMTU may be released to public if so deemed necessary, noting the commission  was especially keen in inspecting a number of universities whose records call for consistent scrutiny.
 
 “We cannot do it all alone because it is an exercise that needs a lot of human resources, that’s why we have to involve professors and officials from relevant ministries in this,” said Prof. Mgaya.
 
In February TCU  revoked accreditation of St Joseph University College of Agricultural Science (SJUCAST) and St Joseph University College of Information (SJUCIT) based in Ruvuma region and Saint Joseph Arusha Campus barely five years since its establishment, citing gross underperformance.
 
Following the revocation, more than 3,603 students of the three constituent colleges were transferred by TCU to other higher learning institutions with immediate effect.
 
According to section 5(1) of the Universities Act, Cap.346 of the Laws of Tanzania, the Commission is mandated among other things, to oversee and regulate quality as well as the general management and performance of universities.
SOURCE: THE GUARDIAN

Share:

Sunday, 3 April 2016

New AUDIO | Jose Chameleone Ft. Waje & J Martins - Feeling You | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DOWNLAOD via HULKSHARE
http://old.hulkshare.com/dl/jqcss9r30zr4/Jose_Chameleone_Ft._Waje_%26_J_Martins_-_Feeling_You.mp3?d=1
Share:

Breaking News:Ajali ya Gari Mbezi, Dereva Aungua na Kufariki

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
 Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema, Gari lenye namba za usajili T598 BEL Toyota Landcruser,limepata ajali maeneo ya Mbezi Beach Africana, Dereva hajafahamika kutokana na kuungua .Gari lipo Polisi Kawe.


Share:

New AUDIO | THT - Shusha | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DOWNLOAD via HULKSHARE
http://old.hulkshare.com/dl/10nekq6gif2h/THT_-_Shusha.mp3?d=1
Share:

DOWNLOAD OFFSIDE TRICK-WERA WERA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

New AUDIO | Offside TRick - Wera Wera | Download

DOWNLOAD via HULKSHARE
http://old.hulkshare.com/dl/nnm4k9lww16o/Offside_TRick_-_Wera_Wera.mp3?d=1
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger