Thursday, 24 March 2016

New Music Video: Vanessa Mdee – Niroge.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
vanessa 1
Baada ya Never Ever ambayo ilifanya vizuri katika soka la muziki ndani na nje ya nchi, Vanessa Mdee ameachia nyimbo mpya ambayo ina jina la ‘Niroge’.
 
Share:

Scholarship Opportunity for a PhD Programme under the Project in the Field of Hydrology and Water Resources Engineering

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 

Scholarship Opportunity for a PhD Programme under the Project in the Field of Hydrology and Water Resources Engineering

Please click ><HERE>> for more information
Share:

Google Is Working On YouTube Connect, Aiming To Beat Periscope At Its Own Game

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


VentureBeat is claiming to have wind of a new app by YouTube, named 'Connect.' The app will reportedly be used for live-streaming, in much the same way as Periscope and Facebook. According to VentureBeat's sources, Connect has many of the same features as those two apps, including a 'news feed' to see which of your subscriptions are streaming or have shared video, and chat among users.

This marks the fourth YouTube spin-off app, following Gaming, Music, and Kids. It's interesting to note that Connect will introduce a social element to the internet's go-to video service. While YouTube does have a subscription feed updated with videos from creators you subscribe to, it's a poor rendition of a true news feed à la Facebook. You, of course, log into the app with your Google account and can then immediately begin streaming your life in all its glory. Simples.

Videos will be watchable in-app, and VentureBeat says that these videos will also be 'storable,' meaning others can watch them later. Currently, Periscope only offers the ability to watch replays 24 hours after the broadcast; after that they disappear. Facebook Live replays will stay on Facebook until the uploader chooses to delete them. However, Connect does not have the ability to share to social networks other than YouTube yet; VentureBeat does not say if this feature will be added when the app launches.

The publication closes the rumor by saying that a release before or at I/O seems likely, which is probably a reasonable assumption.
Share:

Facebook takes action against profile identity-theft

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Imagine this happening to you: you log onto Facebook and you see someone else, with your name and photo. The person is pretending to be you. Pretty creepy, right? What would you even do about it?

While stuff like this does happen, its not something that affects a lot of users. Right now, though, Facebook has been making a big effort to crack down on hate speech and harassment, so the company is taking action to stop this kind of identity-theft.

For the last few months the company has been working on a new feature which will automatically alert users if someone is trying to impersonate them, according to a report from Mashable on Thursday.

If such a thing occurs, the user will get an alert, and will be allowed to tell Facebook if that other account is actually impersonating them or not.

Facebook first began testing this in November, and it will soon be available to everybody.

This does not seem to be a very widespread problem; according to Facebook in its 10-K filing from earlier this year, said that duplicate accounts, which it called "an account that a user maintains in addition to his or her principal account" made up less than 5 percent of the company's 1.55 billion MAUs. (By the way, that would equal 75 million accounts at the high end. That's how many users Facebook has)

It also said there were less than 2 percent of what it called "false" accounts, meaning either those that are misclassified, like personal pages for businesses, and "undesirable accounts, which represent user profiles that we determine are intended to be used for purposes that violate our terms of service, such as spamming."

The percentage of accounts that are duplicate or false is higher in developing markets, such as India and Turkey.

So why tackle such a seemingly small problem like this? Because Facebook has been under fire lately to curb hate speech on the platform, and to up its anti-harassment features, especially in the wake of the Syrian refugee crisis, which led to heated rhetoric on the site.

Late last year, Facebook, Google, Twitter all agreed to delete hate speech that violates German laws from their websites within 24 hours, following an investigation into Facebook by the Germany government over whether or not Facebook had failed to remove hate speech.

The new agreement made it easier for users and anti-racism groups to report hate speech by creating specialist teams to deal with these incidents at the three companies.

In January Facebook launched a new anti-hate speech initiative in Europe and pledged over 1 million euros (or $1.09 million) to support non-governmental organizations in their efforts to rid its platform of racist and xenophobic posts.

Last month the company began offering incentives to users who stood up to hate speech on the site.

In addition to the new anti-impersonation feature, Facebook is also said to be testing out a better way to deal with someone putting up inappropriate pictures. While nudity on Facebook is already banned (something that has gotten the company in trouble in the past), the new feature would give victims of that kind of harassment guides to other resources they could user, including support groups and legal options.

Keeping users safe has to be a top priority for social networks, as we've seen what can happen to a company that gains a reputation for not protecting its users.

VatorNews reached out to Facebook to confirm these new features. We will update this story if we learn more.

(Image source: screenshadowsgroup.com)
Share:

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA MAKAO MAKUU JKT KUHUSU AJIRA KWA VIJANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linakanusha taarifa zilizotolewa kwa Umma kupitia mtandao wa Jamii Forum, tarehe 11 Machi 2016 kuwa, JKT limeanza mchakato wa kuchagua vijana mikoani na wilayani kujitolea kwa nia ya kujiunga na mafunzo ya JKT.
Aidha tangazo hilo linasomeka kuwa mwombaji awe mtanzania mwenye umri wa miaka 18 hadi 23 kwa wenye elimu ya darasa la saba hadi kidato cha sita, miaka 18 hadi 26 kwa wenye stashahada na miaka 18 hadi 35 kwa wenye shahada na kuendelea. Pia asiwe amewahi kuajiriwa na chombo chochote cha Ulinzi na Usalama.

Tangazo hilo kwa umma siyo sahihi na halijatolewa na uongozi wa JKT kama linavyosomeka na kuenezwa kwenye mitandao ya kijamii.
Hadi tarehe 15 Machi 2016 JKT halijaanza mchakato wa kuchukua vijana wa kujiunga na mafunzo ya kujitolea. Muda mwafaka utakapowadia, wananchi watajulishwa rasmi kupitia vyombo vya habari vitakavyoainishwa.
Aidha JKT linazidi kuwakumbusha wananchi kuwa utaratibu wa kuwapata vijana wa kujiunga na mafunzo ya JKT haujabadilika.Maombi yanaanzia wilayani na mikoani kwa kutoa uteuzi wa vijana, kulinagana na nafasi zitakazotolewa kwa kila Mkoa. JKT linaomba wananchi wote kuzingatia utaratibu huo muda utakapowadia.


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya JKT
Tarehe 15 Machi 2016
Share:

Students who were undertaking Bachelor of Science in Education with Chemistry from SJUIT

Share:

NAFASI MPYA ZA KAZI LEO TAREHE 24 MARCH 2016 TCU

INNOCENT-THE BLOGGER-BO

Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 100 WA ST.JOSEPH UNIVERSITY-SJUIT WALIOHAMISHIWA MUCE 2016

Share:

Bunge Latoa Ufafanuzi Kuhusu Madiliko Yaliyofanywa Na Spika Kwa Baadhi Ya Wajumbe Wa Kamati Za Bunge

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kufuatia Mabadiliko ya Wajumbe kwenye Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanywa na Mhe. Job Ndugai (Mb) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana tarehe 22 Machi, 2016; baadhi ya Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii imenukuliwa ikihusisha mabadiliko hayo kuwa yamefanywa kutokana na tuhuma za rushwa kwa baadhi ya Kamati za Bunge kufuatia ripoti ya chombo kimoja cha Habari. 
Ofisi ya Bunge inapenda kutoa ufafanuzi kuwa madai hayo hayana ukweli wowote, bali mabadiliko yaliyofanywa na Mhe. Spika ni ya kawaida na wala hayakuanisha dosari zozote katika Utendaji wa kamati za Kudumu za Bunge. 
Msingi wa Mabadiliko ya Wajumbe kwenye kamati, umelenga kuzingatia mahitaji mapya na changamoto zilizojitokeza baada ya kuunda Kamati hizo mwezi Januari 2016 ambapo alikuwa ameanza kufanyia kazi mabadiliko hayo tangu mapema mwezi huu. 
Waheshimiwa Wabunge wanaosakamwa kwa uvunjifu wa Maadili kupitia Mitandao ya kijamii na Magazeti, ni budi wakatendewa haki kwa sababu Mhe. Spika anazingatia sana Utawala wa Sheria na kama kuna Mbunge yoyote anaetuhumiwa kwa makosa ya Jinai, Mamlaka za kiuchunguzi zinawajibu wa kutekeleza majukumu yao na pale inapobidi, Bunge lenyewe kupitia kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inaweza kufanya uchunguzi kwa Mamlaka ya Spika. 
Aidha, ifahamike vyema kuwa, kwa mujibu wa Kanuni ya 116 (3) Mamlaka ya kufanya mabadiliko kwenye Kamati za Kudumu za Bunge ni ya Spika na anaweza kufanya hivyo wakati wowote kama alivyofanya mapema mwezi huu ambapo alizingatia maombi ya baadhi ya Wajumbe 15 kuhamia Kamati nyingine kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya kwa baadhi ya Wajumbe na pia kuboresha Utendaji wa Kamati hizo kama ilivyojitokeza jana kwa wajumbe 27 kuhamishiwa kamati zingine pia. 
Mhe. Spika anawasihi Wajumbe wote kuendelea kutekeleza majukumu yao kama kawaida katika kamati zao. 

Imetolewa na: 
Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge
DAR ES SALAAM
23 Machi, 2016
Share:

Wabunge Waanza Kuhojiwa TAKUKURU Kwa Tuhuma za Rushwa....Zitto Kabwe Apongeza

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Siku mbili baada ya baadhi ya wabunge kudaiwa kuhusika katika vitendo vya rushwa, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), Valentino Mlowola amesema taasisi yake inawahoji wote waliotajwa kuhusika na tuhuma hizo.

Hatua hiyo imekuja kutokana na tuhuma za rushwa dhidi ya wabunge wa baadhi ya kamati za Bunge na kusababisha baadhi yao kuomba kujiuzulu ujumbe wakishinikiza uchunguzi ufanyike ili waliohusika wawekwe hadharani na kuchukuliwa hatua.

Mkuu huyo wa zamani wa Intelijensia ya jinai katika Jeshi la Polisi alisema:“Sisi tunachunguza tuhuma zote zinazohusiana na rushwa, kwa maana hiyo tunawachunguza wabunge wote waliotajwa.”

Alisema uchunguzi huo unakwenda zaidi hadi kuyagusa mashirika ya umma kwa kuwa lengo ni kushughulikia kashfa ambayo inaweza kuharibu heshima ya Bunge.

Mashirika ya umma yaliyoguswa katika tuhuma hizo ni Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura).

Alipoulizwa uchunguzi huo utakamilika lini, alisema hawezi kubashiri kwa kuwa hilo ni suala la utendaji ambalo linafuata sheria na taratibu.

Wabunge wafunguka
Wakati Takukuru ikichukua hatua hiyo, wabunge watano waliokumbwa na mabadiliko ya kuhamishwa kamati yaliyosababisha baadhi yao kupoteza nyadhifa zao huku yakielezwa kuwa ni ya kawaida, wamefunguka kuhusu uamuzi huo huku baadhi yao wakiushangaa.

Waliopoteza nafasi zao kutokana na mabadiliko hayo ni Richard Ndassa, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji na Mitaji (PIC), Mary Mwanjelwa (Ardhi, Maliasili na Mazingira), Martha Mlata (Nishati na Madini).

Waliovuliwa umakamu mwenyekiti ni Dk Raphael Chegeni (Huduma za Maendeleo ya Jamii) na Kangi Lugola (Hesabu za Serikali za Mitaa).

Mwanjelwa alisema inasikitisha na kushangaza kusikia tuhuma zikitolewa kwenye vyombo vya habari na baadaye kuona mabadiliko ya kamati hizo yakifanyika.

Alisema kwa sasa bado anatafakari: “Lakini kwa kuwa Spika ndiyo amepewa mamlaka kwa mujibu wa kanuni za Bunge basi huwezi kupinga,” alisema.

Mlata alisema kwa sasa hawezi kuzungumza kauli yoyote kabla ya kuonana na Spika.

Ndasa alisema Serikali ina mkono mrefu wa kufuatilia na kuchunguza tuhuma hizo ili kujiridhisha huku akisema mabadiliko yaliyofanyika ni kawaida na yapo ndani ya mamlaka ya Bunge na hawezi kuhusisha mabadiliko hayo na tuhuma za rushwa.

Chegeni alikubaliana na mabadiliko hayo huku akibainisha kuwapo kwa kundi la watu wanaojaribu kuchafua taswira ya kamati yake.

“Mabadiliko ni kawaida tu, anaweza kukupeleka kamati fulani na kukurudisha kamati yako ya zamani na wala siwezi kuhusisha na tuhuma za rushwa, lakini kama kuna rushwa kweli lazima iwe na upande wa mpokeaji na mtoaji, mashirika nayo yachunguzwe na Takukuru kama sehemu ya kuanzia,” alisema.

Zitto Kabwe apongeza
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zitto Kabwe amepongeza hatua ya TAKUKURU kuanza uchunguzi mara moja ili kurejesha heshima ya bunge.

Zitto Kabwe
about an hour ago
Ni hatua muhimu kwamba TAKUKURU imeanza uchunguzi dhidi ya tuhuma za rushwa kwa Wabunge. Ni hatua kubwa itakayopelekea ukweli kujulikana na watakaokutwa na makosa kuchukuliwa hatua stahiki. Uchunguzi wa vyombo vya dola ni moja ya njia mwafaka ya kuhakikisha kila lisemwalo linakuwa na ukweli na pale ambapo suala limezushwa tu itajulikana na wazushaji hatimaye wataacha. Pale ambapo itakuwa ni kweli na hatua zikachukuliwa tabia za namna hii zitakoma. Bila uchunguzi wa kina Bunge litaendelea kugubikwa na kashfa hizi kwa ukweli au kwa hisia. Hatua iliyochukuliwa na TAKUKURU ni kubwa na ya kuungwa mkono kwa dhati
Share:

Uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji La Dar es Salaam Kufanyika Mapema Baada ya Sikukuu ya Pasaka

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Baada ya kumpata Meya wa Jiji la Dar es Salaam, mchakato wa kumchagua naibu meya umeanza.

Juzi, Diwani wa Kata ya Vijibweni (Chadema), Isaya Mwita alichaguliwa kuwa umeya akimshinda mpinzani wake Yusuph Yenga (CCM) kwa kura 84 dhidi ya 67.

Akizungumza jana, Meya Mwita alisema tarehe rasmi ya uchaguzi wa kumpata naibu meya haijafahamika na kwamba leo atashauriana na uongozi wa jiji na kwamba mara tu baada ya Sikukuu ya Pasaka ataitisha kikao cha baraza.

Mchakato wa kumpata naibu meya ni tofauti kwani idadi ya wajumbe watakaopiga ni ndogo ikilinganishwa na ile ya juzi ambayo madiwani wote na wabunge wote wa Mkoa wa Dar es Salaam walipigakura.

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe alisema jana kuwa wajumbe watakaomchagua naibu meya hawatazidi 25 kutokana na kanuni zilizopo .

Alisema naibu meya atapatikana katika kikao cha kwanza cha Baraza kitakachoongozwa na meya.

Alisema wajumbe watakaoshiriki kikao hicho ni wabunge wa majimbo, kila manispaa; Ilala, Temeke na Kinondoni itatoa wajumbe watatu watakaoteuliwa na mameya wao na Meya wa Jiji atateua watatu.
Share:

Kiti cha UPDP chayeyuka Zanzibar....ZEC Yasema Yalifanyika Makosa ya Kiufundi Wakati wa Kujaza Karatasi ya Matokeo

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Ofisa mdhamini wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Ali Mohammed Dadi amesema mshindi wa uwakilishi katika Jimbo la Ziwani ni Suleiman Ali wa CCM na si Asaa Hamad wa UPDP aliyetangazwa awali.

Dadi kutoka ofisi ndogo ya Pemba alisema jana kuwa msimamizi wa uchaguzi katika Wilaya ya Chakechake, Othman Hamisi alikosea wakati wa kujaza karatasi ya matokeo ya mshindi wa jimbo hilo.

“Nimezungumza naye na amesema kwamba alitoa ufafanuzi kuwa walifanya makosa katika kuandika matokeo, hivyo aliyeshinda ni mgombea wa CCM,” alisema.

Katika karatasi hiyo ya matokeo iliyokuwa imebandikwa ukutani, Asaa Ali Hamad alionekana kuwa amepata kura 221 dhidi ya 121 za mgombea wa CCM, lakini kwa ufafanuzi huo wa ZEC hakuna chama cha upinzani kilichoshinda nafasi ya uwakilishi au udiwani.

Kwa matokeo hayo, CCM imeshinda majimbo yote ya uwakilishi Unguja na Pemba na hivyo kuzidisha utata kwa Rais mteule, Dk Ali Mohamed Shein anayeapishwa leo, kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwa mujibu wa ibara ya 9 (3) ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 toleo la 2010.

Awali, kulikuwa na uwezekano wa UPDP kutoa mteule wa nafasi ya makamu wa kwanza wa Rais kwa kuwa kilitangazwa kimakosa kupata kiti cha uwakilishi baada ya CCM lakini baada ya ufafanuzi huo wa ZEC matumaini hayo yameyeyuka. 
 
Kuyeyuka kwa ndoto hiyo ya UPDP kunamaanisha kwamba hakuna chama kilichoshika nafasi ya pili kwa kupata kura asilimia 10 au zaidi, ambacho kwa mujibu wa Katiba hiyo kingekuwa na nafasi ya moja kwa moja kutoa makamu wa kwanza wa rais na baadaye mawaziri wa upinzani kuunda SUK. 
 
Tangu Dk Shein atangazwe kushinda urais katika uchaguzi wa marudio baada ya matokeo ya ule wa awali kufutwa, mjadala mkubwa kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii umekuwa ni jinsi gani atateua Serikali yake kukidhi matakwa ya Katiba ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ili kuendeleza maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa baina ya CCM na CUF kabla ya uchaguzi wa 2010.

Wakati Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai akisema Rais Shein atatumia busara zake kumpata makamu wa kwanza wa rais, baadhi ya wanasheria wamesema hawaoni ufumbuzi wa moja kwa moja kutokana na upungufu huo wa kikatiba.

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar, Rais atateua makamu wa kwanza wa Rais kutoka chama kilichoshika nafasi ya pili na mgombea wa
Share:

Waziri Mkuu Majaliwa Akutana Na Wawekezaji Wa Sukari Kutoka India

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na ujumbe wa Wawekezaji kutoka India wanaokusudia kuwekeza katika kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari hapa nchini, Ofisini kwake jijini Dar es salaam machi 23, 2016. 
Kushoto kwake ni Waziri wa Kilimo, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MARCH 24 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Wednesday, 23 March 2016

New AUDIO | Soggy Doggy Ft. J Deal - Nimemiss kukabwa | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

http://old.hulkshare.com/dl/i7uiqg4c1hq8/Soggy_Doggy_Feat.J_Deal_-_Nimemiss_kukabwa.mp3?d=1
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MARCH 23 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger