Sunday, 20 March 2016

magazeti ya leo jumapili march 20,2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
20160320_051704
20160320_051717
20160320_051730
20160320_051744
20160320_051756
20160320_051808
20160320_051818
20160320_051832
20160320_051845
20160320_051858
20160320_051910
20160320_051921
20160320_051932
20160320_051942
20160320_052011
20160320_052026
20160320_052040
20160320_052103
20160320_052126
20160320_052138
Share:

Saturday, 19 March 2016

New AUDIO | Peter Msechu - Nikumbatie BWANA | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/nzx8aov89s00/Peter_Msechu_-_Nikumbatie.mp3?d=1
Share:

New AUDIO | Algebra ft Stereo, P The Mc, Kigi Rhymes, Nician, Hood C, Canty Didas & Kaa la Moto - SADAKA YA VERSE REMIX | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/7vf5ga4u2hog/Algebra_ft_Stereo%2C_P_The_Mc%2C_Kigi_Rhymes%2C_Nician%2C_Hood_C%2C_Canty_Didas_%26_Kaa_la_Moto_-_SADAKA_YA_VERSE_REMIX.mp3?d=1
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MARCH 19 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Friday, 18 March 2016

TANGAZO LA KAZI CHUO KIKUU CHA KILIMO CH MWALIMU NYERERE-MNJUAT-18 MARCH 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


PropertyValue
Name:TANGAZO LA KAZI-MNJUAT-18 MARCH 2016
Description:Deadline for submissions/uploading of applications with all the required supporting documents is 03 April 2016 at 00.00 hrs.
Filename:NYERERE-TANGAZO.pdf
Filesize: 493.64 kB
Filetype:pdf (Mime Type: application/pdf)
Creator:psrsweb
Created On: 03/19/2016 02:36
Viewers:Everybody
Maintained by:Editor
Hits:1424 Hits
Last updated on: 03/19/2016 02:38
Homepage:
Share:

WABUNGE CUF KUJIUZULU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 

Breaking news: Wabunge wa CUF wajivua Ubunge
Share:

RAIS MAGUFULI AKABIDHI GARI LA WAGONJWA WILAYA YA CHALINZE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu : +255-22-2114512, 2116898
Email : press@ikulu.go.tz
Tovuti : www.ikulu.go.tz
Faksi : 255-22-2113425
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM,
TANZANIA

Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekabidhi  gari la kubebea wagonjwa kwa hosipitali ya wilaya ya Chalinze, Ikiwa ni utekelezaji wa ilani na  ahadi ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa wananchi ikiwa ni pamoja na wa jimbo la Chalinze.

Gari hilo la kubebea wagonjwa limekabidhiwa kwa niaba ya Rais, na Katibu Mkuu Ikulu Peter Ilomo kwa  Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi gari hilo, Katibu Mkuu Ikulu Ndugu Peter Ilomo amesema gari hilo limetolewa na Mheshimiwa Rais kwa hosipitali hiyo ikiwa ni kuitikia wito na utekelezaji wa ilani na ahadi ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya kuboresha huduma ya afya kwa wananchi wake kote nchini.

Aidha, Ndugu Ilomo amewaomba viongozi wa jimbo la Chalinze kulitumia gari hilo kwa matumizi yaliyokusudiwa ya kuwahudumia wananchi wa eneo hilo.

Akipokea gari hilo kwa niaba ya wananchi wa jimbo na  Wilaya ya Chalinze, Mbunge wa jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete amemshukuru Mheshimiwa Rais    Dkt. John Pombe Magufuli kwa msaada huo na kuahidi kulitumia gari hilo kwa malengo yaliyokusudiwa, na kusema kuwa, utendaji kazi wa Rais Magufuli umekuwa ukiungwa mkono na wananchi wa kada mbalimbali na kuwaomba watanzania kuzidi kumuombea kwa Mungu.

Kwa upande wake Dakta Nasoro Ally Matuzya, amesema gari hilo limekuja kwa wakati muafaka kwa kuwa umezingatia utekelezaji wa malengo ya Milenia hususan lengo namba nne  linalosisitiza kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano

Naye Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Chalinze Ndugu Saidi Omar Zikatimu amesema gari hilo la kubebea wagonjwa litakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa jimbo hilo la Chalinze hususan katika kusaidia kutoa wagonjwa ambao wako katika maeneo ya vijijini wilayani humo na kuwafikisha katika hospitali ya Chalinze na hivyo kunusuru maisha yao kwa kupata huduma za afya kwa haraka.

Mbali na Wilaya ya Chalinze kupata msaada wa gari hilo la kubebea wagonjwa, tayari magari mengine mawili ya kubebea wagonjwa yameshakabidhiwa katika vituo vya afya vya Kiroka na Kisemu mkoani Morogoro.

Hospitali mpya ya Wilaya ya Chalinze imepanda hadhi kutoka kituo cha Msoga ambayo ilikuwa haina gari la kubebea wagonjwa na hivyo kufanya usafirishaji wa wagonjwa kutoka hospitali hiyo hadi hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Pwani ya Tumbi au kutoka maeneo ya vijijini kuwa mgumu.




Imetolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu

18 Machi 2016.

Share:

MAJINA YA WANAFUNZI WA SUA WALIOSHINDA APPEAL ZAO BODI YA MIKOPO 2016

Share:

NEW:Withheld Students from SJUCAST and SJUCIT transferred to other Institutions

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger