Friday, 26 February 2016

Basi La Mashimba Express La Kahama- Mwanza Lapata ajali Kuua Watu Wanne

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Watu wanne wamefariki dunia katika ajali baada ya basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo  katika eneo la njia panda kuelekea wilayani Kishapu  Mkoani Shinyanga

Ajali hiyo imetokea jana jioni ambapo mashuhuda wa tukio hilo wamedai kuwa ilisababishwa  na  gari ndogo iliyokuwa katika mwendo kasi ambayo ilipoteza uelekeo na kisha kuligonga basi hilo.Watu  wawili  waliokuwa  katika  gari  hilo  akiwemo  dereva  walifariki  dunia  papo hapo

Mganga mfawidhi wa hospitali ya  rufaa ya mkoa wa Shinyanga Dkt Albert George Masigati amesema kati ya saa 12 na saa moja usiku wa kuamkia leo  walipokea miili ya marehemu wanne katika hospitali hiyo ,wote wakiwa ni wanaume na majeruhi wanane,kati yao wanawake wanne na wanaume wanne.

Hata hivyo Dkt Masigati amesema huenda idadi ya majeruhi ikaongezeka kutokana na taarifa kuwa baada ya ajali hiyo kutokea baadhi ya majeruhi walikimbizwa katika hospitali ya Kolandoto na Kishapu.

Dkt Masigati amesema hakuna majeruhi aliye katika hali mbaya na kwamba bado wanaendelea kuwafanyia uchunguzi .
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA FEBRUARY 26 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Thursday, 25 February 2016

Download | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
https://my.notjustok.com/track/download/id/71508/by/zWVUMsRAZa

Download | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]

https://my.notjustok.com/track/download/id/71508/by/zWVUMsRAZa
- See more at: http://www.johventuretz.com/2016/02/millian-ft-diamond-platnumz-nyota-ya-mashariki.html#sthash.2mlWkRF1.dpuf

Download | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]

https://my.notjustok.com/track/download/id/71508/by/zWVUMsRAZa
- See more at: http://www.johventuretz.com/2016/02/millian-ft-diamond-platnumz-nyota-ya-mashariki.html#sthash.2mlWkRF1.dpuf
Share:

Tangazo la nafasi za masomo kwa awamu ya pili ya mwaka wa masomo 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO AWAMU YA PILI – MWAKA WA MASOMO 2015/2016
MKUU WA CHUO – TAASISI YA UHASIBU TANZANIA [TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)] ANAWAKARIBISHA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 NA WALE WALIOMALIZA MIAKA YA NYUMA, KUJIUNGA NA KOZI YA CHETI CHA AWALI YAANI BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE (NTA LEVEL 4) KWA MWAKA WA MASOMO 2015/2016 AWAMU YA PILI (SECOND INTAKE) KATIKA KAMPASI ZAKE ZA DAR ES SALAAM, MBEYA, SINGIDA, MTWARA, MWANZA NA KIGOMA KWENYE FANI ZIFUATAZO:-
  • UHASIBU (ACCOUNTANCY)
  • UNUNUZI NA UGAVI (PROCUREMENT & LOGISTICS MANAGEMENT)
SIFA ZA KUJIUNGA NA KOZI ZA CHETI CHA AWALI:
  • Mwombaji awe amefaulu angalau masomo 3 kwa kiwango cha alama “D” au zaidi kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au

  • Awe na cheti cha mafunzo ya ufundi daraja la pili (NVA 2) kutoka chuo cha VETA, ambaye pia ana ufaulu wa masomo angalau mawili kwenye matokeo ya kidato cha nne.
FOMU ZA KUJIUNGA NA CHUO ZINAPATIKANA OFISINI NA KWENYE TOVUTI YA TAASISI www.tia.ac.tz. FOMU ZIRUDISHWE KATIKA KAMPASI ZETU.
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI IJUMAA TAREHE 04/03/2016.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA:
SIMU Na. 0714 914 805, 0754 376 371; AU
Baruapepe: tia@tia.ac.tz
Share:

HUYU NDIO BABA MZAZI WA MOROMBOSO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Maromboso kutoka Yamoto Band ameamua kumuonyesha baba yake Mzazi baada ya Jamaa mmoja wa Bodaboda Kujitangaza kuwa yeye ndiye Baba Maromboso, Maromboso aliposti Picha na Kuandika “Huyu Ndo Baba yangu …..Mzee Yusuph Kilungi … Sasa huyo jamaa Wa Tegua mtego ” Boda boda anayejita Baba Maromboso ajipange“
Share:

HII NDI NYUMBA MPYA YA MENEJA WA DIAMOND PLATNUZM "BABU TALE"-VIDEO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Meneja wa  Msanii mkali Tanzaia Diamond Platnumz na Mkurugenzi wa Tiptop Conection, Babu Tale leo amepost video kwenye Instagram yake ikionyesha Mjengo ambao anaumiliki.
Share:

Jibu la Diamond Kwa Wanaosema Ame Copy Video ya ‘Make Me Sing’ Kwa Lil Wayne.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Msanii Diamond ameamua kuwatolea uvivu watu wanaosema kuwa video yake mpya ya wimbo wa make me sing
alioshirikiana na rapper A.K.A kutoka Afrika kusini ameiga video ya Got money ya Lil wayne.

Aidha Diamond amethibitisha ule usemi wa hakuna jipya chini ya jua kwa kusema kuwa hakuna mtu yeyote atayefanya kitu kwenye muziki ambacho hakijafanyika.

“Watu wanashindwa kuelewa,kila kitu ambacho kinafanyika sasa hivi kwenye muziki kuanzia video,mashairi vyote vilishafanyika,vyote vilishaimbwa ,ni kama vinafanyika kwa marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye,kwa sababu ukisema nakupenda watu washaimba,sikupendi washaimba vyote yaani” alifunguka Diamond.
Share:

New AUDIO | DOGO JANJA - My Life | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DOWNLOAD via MKITO
Share:

Shawshank Fugitive Frank Freshwaters Could Win Freedom in Parole Hearing

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
He spent 56 years on the run, believing he could live out his twilight years in the marshy lowlands of Melbourne, Florida. But a relentless ruse by police led to the recapture of Ohio's "Shawshank Fugitive" last year.
Now, Frank Freshwaters could soon gain what he once desperately clung to — his freedom.
Freshwaters, who turns 80 in April, will have a parole hearing Thursday afternoon in Columbus, where lawyers will argue over whether he deserves another crack at life outside of prison.
Shawshank Escapee Captured After 56 Years 1:38
The family of Freshwaters' victim, Eugene Flynt, is expected to testify. Flynt was a married father of three in 1957 when a then-21-year-old Freshwaters accidentally struck and killed him with his car on an Akron street, according to Florida Today.
"In essence, he caused my life nothing but trouble," Richard Flynt, who was 3 when his father died, told the newspaper. "I don't think they can just pat him on the back and send him home."
Related: Frank Freshwaters, Convict Who Escaped Prison, Arrested After 56 Years
It's unclear if Freshwaters will appear at the parole board hearing. Prosecutors told the newspaper that he deserves no clemency.
"Freshwaters failed to comply with his probation, and did not pay a dime of the $1,500 he was ordered to pay in restitution to Flynt's family," Summit County Prosecutor Sherri Bevan Walsh said Wednesday. "Freshwaters was eventually sentenced to serve between one and 20 years in prison, yet spent only seven months behind bars before escaping in 1959. Since then, Freshwaters has lived free, had a family, and even collected Social Security under an assumed name."
Image: Frank Freshwater
Frank Freshwater, 79, was arrested in Melbourne, Fla., after information was received from the Cold Case Unit of the U.S. Marshall's Northern Ohio Violent Fugitive Task Force showed that Freshwater might be staying in the Melbourne area. Brevard County Sheriff's Office
Freshwaters' winding saga started after he pleaded guilty to second-degree manslaughter in Flynt's death. In lieu of up to 20 years behind bars, he was given a five-year probation. But he violated it, prosecutors said, and was incarcerated in the Ohio State Reformatory in Mansfield, which became immortalized in the 1994 film "The Shawshank Redemption."
For his good behavior, he was transferred to a less-restrictive state prison farm. Seven months later, he escaped.
He resurfaced in 1975, when he was picked up in West Virginia following an outstanding warrant for his arrest. But the U.S. Marshals said the governor there declined to extradite him, citing his "flawless 16-year residency" in West Virginia. He was released.
For years, Freshwaters — who went under multiple aliases and was also referred to as Freshwater in court documents — worked as a truck driver and managed to collect Social Security, Florida Sheriff Maj. Tod Goodyear said last year.
But authorities never forgot about the "Shawshank Fugitive" who eluded them for so many years.
Florida Escapee Arrested after 56 Years on the Run 2:33
Investigators hatched a plan to get a man living on Florida's eastern shores named William H. Cox — believed to be Freshwaters — to sign papers that they could use to match fingerprints belonging to their escapee.
Last May, Florida police arrived at his secluded and shabbily-kept trailer holding a photo of Freshwaters from 56 years earlier. At first, he claimed that he hadn't seen that man in years. But after questioning, the white bearded-Freshwaters confessed, Goodyear told The Associated Press.
While he appeared to be living a quiet life without any troubles with law enforcement, that shouldn't excuse him for not owning up to his past transgressions, Ohio prosecutors say — no matter his age.
Share:

New AUDIO | Barnaba - Maya[LIVE] | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/wskr5w1p3shs/Barnaba_-_Maya__live.mp3?d=1
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger