Friday, 6 November 2015

Kikwete Aaga Kwa Kusamehe Wafungwa 4,160

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Dk Magufuli aliapishwa jana kuwa Rais wa Tano wa Tanzania katika sherehe zilizofana kwenye...
Share:

Thursday, 5 November 2015

5th Batch of Selected Students to join with Bachelor Degree at SJUT 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 5th Batch of Selected Students to join with Bachelor Degree at SJUT 2015/20...
Share:

ANGALIA ADA KAMILI KWA WANAFUNZI MLIOCHAGULIWA MBEYA UNIVERSITY MUST 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY >>>>>TAFADHALI BONYEZA HAPA KUANGALIA<<<<&l...
Share:

HAYA HAPA MAJINA 3RD BATCH WALIOCHAGULIWA MZUMBE UNIVERSITY 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY KINDLY CLICK HERE TO DOWNLOAD THE NAMES SELCTED MZUMBE 3RD BATCH 2015/20...
Share:

DOWNLOAD HAPA JOINING INSTRUCTIONS NA NAMES OF DIPLOMA STUDENTS SELECTED KCMC 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Selected Candidates for Diploma Admission Offer / joining instructions for 20...
Share:

ANGALIA HAPA ADA KWA WANAFUNZI WA DUCE 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD ADA NZIMA YA DUCE 2015/20...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI NOVEMBA 5 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-B...
Share:

Jukwaa la Wahariri Walaani Tukio la Kuzomewa Dk Reginald Mengi na Wafuasi wa CCM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY JUKWAA la Wahariri (TEF), limelaani kitendo cha kuzomewa na kudhalilishwa kwa waandishi wa habari wa ITV, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, Oktoba 30 mwaka huu.Akizungunza na waandishi wa habari Katibu wa Jukwaa hilo, Neville Meena amesema kuwa kitendo...
Share:

New AUDIO | Baba Jonii Ft. Dolafosalamitido - AEIOU | Download/Listen

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DOWNLOAD via HULKSHARE...
Share:

BEN POL AKIMBILIA SAUZ KUPAKUA MZIGO MPYA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mkali wa R&B Bongo, Ben Pol. KACHAA mkali wa R&B Bongo, Ben Pol muda wowote kuanzia sasa anatarajia kuelekea nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ kwenda ku-shoot video zake mbili mpya.Ben ameliambia Championi Jumatano kuwa akiwa ‘bondeni’ atatengeneza video mbili za...
Share:

Maalim Seif akutana na JK

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika Ikulu ya Rais Jijini...
Share:

Masanja Mkandamizaji Achukua Form za Kugombea Ubunge Ludewa na Ktangaza nia Kuchukua Nafasi ya Marehemu Filikunjombe

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Masanja Mkandamizaji MSANII maarufu na mwigizaji Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la (Masanja mkandamizaji) ameahidi kuvaa viatu vya Deo H. Filikunjombe kwa kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo la Ludewa na kusema ana uwezo mkubwa na kasi kama ya marehemu Filikunjombe ambaye...
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO RUAHA UNIVERSITY-RUCU 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Students Eligible for loan (2015/2016) <<Download Here>&g...
Share:

Wednesday, 4 November 2015

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA UDSM 8TH BATCH 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY The following additional applicants have been selected to join various undergraduate degree programmes for the 2015/2016 academic year. The selected applicants should report at the Mwl. J.K. Nyerere Mlimani Campus for the orientation week which  will end on Saturday...
Share:

FIFTH AND FOURTH BATCH -STUDENTS SELECTED MWENGE UNIVERSITY 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY SELECTED APPLICANT FOR ACADEMIC YEAR 2015/2016 FIFTH BATCH SELECTED APPLICANT FOR ACADEMIC YEAR 2015/2016 FOURTH BATCH ...
Share:

Tume ya taifa ya uchaguzi yaombwa kutoa tarehe ya kupiga kura jimbo la Lulindi.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Tume ya taifa ya uchaguzi imeombwa kuweka wazi mapema iwezekanavyo tarehe ya kupiga kura ya ubunge jimbo la Lulindi vinginevyo ucheleweshaji huo unaathari kwa wapiga kura na vyama vyenye wagombea. Tume ya taifa ya uchaguzi ililazimika kusitisha upigaji kura ya ubunge...
Share:

Marais 8 Kushuhudia Magufuli Akiapishwa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MARAIS wanane wa Afrika ni miongoni mwa viongozi mbalimbali kutoka nje ya nchi, watakaohudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli. Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Magufuli ataapishwa rasmi kuwa Rais...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger