INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mixed opinions have been raised as to whether good
command of English language or inadequate skills among Tanzanian
graduates push them out of the job market in East African Region and
beyond.

Association of Tanzanian Employers (ATE).




BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma, limemsomea rasmi mashitaka
aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna
Tibaijuka (pichani), na kubainisha kuwa kiongozi huyo anastahili kujibu
mashitaka kwa kosa la kuomba na kujipatia fedha kinyume na Sheria ya
Maadili ya Viongozi wa Umma.


