Tuesday, 8 July 2014

DOWNLOAD NA SIKILIZA VIDEO MPYA YA BUM BUM-DIAMOND PLATINUMZ

&&
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

DOWNLOAD NA SIKILIZA VIDEO MPYA YA MDOGOMDOGO-DIAMOND PLATINUMZ

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

ANGALIA MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 5 JULAI 2014 -SEKRETARIETI YA AJIRA DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                  MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 5 JULAI 2014
Usaili utafanyika sehemu zifuatazo:
1. Kada za GCLA zitafanyika OFISI ZA MKEMIA MKUU WA SERIKALI (GCLA), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
2. Kada za CBE zitafanyika  CHUO CHA BIASHARA (CBE), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
3. Kada za MNMA zitafanyika CHUO CHA MWALIMU NYERERE (MNMA) - KIGAMBONI, 9/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
4. Kada za SIDO zitafanyika OFISI ZA SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
5. Kada za SSRA zitafanyika CHUO KIKUU CHA ARDHI, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.

NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).

KADA: CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST GRADE II
MWARIJI:GOVERNMENT CHEMIST  LABORATORY AGENCY (GCLA)
Share:

WATU NANE WAJERUHIWA NA BOMU ARUSHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Watu 8, wengi wao ni wenye asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa kwa bomu lililotupwa kwenye Mgahawa wa Gymkhana Arusha usiku wa kuamkia leo!

TUTAWALETEA HABARI KAMILI MDA SI MREFU
Share:

SOMA KISA KIZIMA JINSI HOUSE GIRL ALIVYOMUUA BOSI WAKE KWA KISU-SINGIDA




SAKATA la wafanyakazi wa ndani kunyanyaswa na mabosi wao limeingia katika sura ya kipekee, safari hii mabosi wamegeukwa ambapo mmoja amedaiwa kuuawa na hausigeli wake aliyetajwa kwa jina la Valentina Karenge (17).
Share:

MAJINA YA WAUZA MADAWA YA KULEVYA YAANIKWA,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

HATIMAYE gazeti namba moja kwa habari za uchunguzi Tanzania, Uwazi limeyanasa majina 403 ya Watanzania waliokamatwa, kufungwa au kushikiliwa katika magereza mbalimbali duniani kwa makosa ya madawa ya kulevya ‘unga’.
Share:

WATANZANIA WAFURAHI KUMUONA RAIS KIKWETE AKIJUMUIKA NAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

rais_3_d4691.jpg
rais_b3443.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Jumapili Julai 6, 2014 alitembelea kwa mara ya pili maonesho ya
Share:

DIAMOND PLATNUMZ AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Toyota Lexus New Model yenye thamani ya milioni 38.1 aliyozawadiwa mama Diamond na mwanaye.
Share:

Monday, 7 July 2014

ANGALIA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI (BRIDGING COURSE)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                    


ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI (BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI MWAKA WA MASOMO 2014/2015.
 

Share:

LINA AFUNGUKA:ADAI WANAOSEMA GARI ALIYOPEWA KAHONGWA NA SHAHIDI???

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mafanikio! Taarifa ikufikie kuwa staa wa Bongo Fleva, Estalina Sanga ‘Linah’ amekanusha stori za madai ya kuhongwa gari jipya analosukuma mjini kwa sasa aina ya Toyota Mark X.
Share:

JACK PATRICK :AZIDI KUMTESA JUX

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MOYO unauma! Staa wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux Vuitton’ amekiri kuteswa na ishu ya mwanamitindo Jacqueline Fitzpatric Cliff ‘Jack Patrick’ akiomba asiulizwe habari za modo huyo aliyekuwa mpenzi wake ambaye kwa sasa yupo nyuma ya nondo kwa madai ya kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ huko Macau, Hong Kong nchini China.
Share:

LULU AWASEMA WABAYA WAKE WA BONGO MUVI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kumbe! Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwamba amewajua wabaya wake wanaomfuatilia na kumsakama kwa ubaya katika maisha yake, amewaonya kuwa dawa yao ipo jikoni.
Share:

ELIMU:HATUA ZA KUFATA ENDAPO UNAHITAJI KUSHIKA MIMBA MAPEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY



1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.


2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia. 
Share:

JAMAA APIGWA RISASI NA POLISI BAADA YA KUHISIWA KUTAKA KUIBA KWENYE BENKI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 
Share:

Sunday, 6 July 2014

WANAFUNZI WA DODOMA UNIVERSITY WATOA TAMKO-KUHUSU SKENDO JUU YA UKAHABA,WASEMA KUWA WANAOFANYA BIASHARA HIYO HUTUMIA STATUS YA UDOM KUPATA WATEJA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mji wa Dodoma unakua kwa kasi kubwa, ofisi  za serikali na taasisi zisizo za kiserikali zinajengwa kwa wingi.



Wafanyabiashara nao hawapo nyuma wakiwamo wanaonadi miili yao kama bidhaa. Hawa ni maarufu kwa majina kama vile makahaba, machangudoa na dada poa.
Share:

FREEMASONS WATOA TAMKO KUHUSU MMWISHO WA DUNIA-SOMA TAMKO HILO HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WAKATI binadamu wakiendelea na mipango yao ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kimazingira, kiulinzi na usalama, utabiri mpya wa kutisha unaonesha kuwa mwaka 2032 ndiyo mwisho wa sayari hii ya tatu katika mfumo wa jua. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali katika mitandao ya internet,
sayari iitwayo Nibiru, ambayo kisayansi inafahamika kama Planet X ipo njiani kuigonga dunia na hivyo kusababisha majanga mbalimbali kutokea. 
Share:

WANAFUNZI WA CBE-DODOMA WATUKANANA MITANDAONI-SOMA HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Baadhi ya wanafunzi
wa CBE Dodoma  wamekerwa na kitendo cha kuchafuliwa kwenye mtandao wa Intagram  na mtu ambaye hawajamfamu kwa jina ingawa baadhi yao wanadai kuwa ni mwanafunzi mwenzao ambaye anatumia jina tofauti kabisa na lake na pia yupo miongoni mwao lkn bado hawajamfahamu....

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger