Thursday, 26 June 2014

BABY MADAHA:VIFO VYANIPA SOMO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kufuatia vifo vya wasanii vilivyotokea mfululizo, mwigizaji Baby Joseph Madaha amelazimika kubadili mtindo wake wa maisha na kuishi kitakatifu.
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
01_99c8b.jpg
Share:

Wednesday, 25 June 2014

RATIBA YA MTIHANI CSEE 2014,MITIHANI KUANZA 03/11/2014


NECTA'S LOGO(06th – 23rd October, 2014 – 051/2 FOOD AND NUTRITION PRACTICAL) 

Monday 03/11/2014  
011 
Civics  (SC & PC) 
   8:00 – 10:30 
022 
English Language (SC & PC) 
2:00 – 5:00
Tuesday 04/11/2014  
041
Share:

NIGERIA YATINGA 16 BORA KUTOKA AFRIKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
Ahmed Musa (kulia) akishangilia na wenzake wa Nigeria baada ya kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya Argentina.
Share:

MTOTO AKOTWA KAMBI YA JESHI-MOROGORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kambi ya Pangawe mkoani Morogoro wamemuokota mtoto mwenye umri wa miaka sita, Mwajuma Athuman aliyedai kukimbia mateso kutoka kwa mama yake mkubwa Juni 17, mwaka huu.
Share:

WEMA SEPETU AZIMIA GHAFLA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu.
Share:

MARCIO MAXIMO ATUA DAR-KUIFUNDISHA YANGA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MWANAFUNZI WA RUAHA UNIVERSITY -IRINGA ACHOMWA MAFUTA YA TAA BAADA YA KUTOKA USIKU KUANGALIA KOMBE LA DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
munh_bb1a1.jpg
Polisi mkoani iringa wanawashikilia walinzi 4 amabo wanatuhumiwa kumchoma moto mwanafunzi wa chuo kikuu cha ruaha (25) anaesomea masomo ya sheria.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATANO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 
3_55acf.jpg
Share:

SUAREZ ANG'ATA MTU MENO-KOMBE LA DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOYLuis Suarez faces lengthy ban for biting Italy defender Giorgio Chiellini in World Cup clash as Fifa investigate
Jana tumeona mcheza wa soka umevamiwa na wasiopaswa kuwa uwanjani. Nimetania kwenye KwanzaJamii sports extra leo asubuhi kuwa Suarez unapoanza mpira alipaswa akamatwe na apelekwe kufungiwa kwenye matyndu ya wanyama wakali wafugwao!
Share:

ANAOMBA MSAADA-TUMWONEE HURUMA,ANA MIAKA 25

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MSICHANA Selitian Nata (25) mkazi wa Kijiji cha Kisogo kata ya Vigwaza Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani yuko kwenye hali mbaya ya kiafya baada ya kuvimba mguu na kuwa kwenye maumivu makali.Ugonjwa huo uvimbe huo ulianza kama 
Share:

MUIMBAJI INJILI AKUTWA ANAJIUZA MAENEO YA LUMUMBA DAR-NI MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MAMBO YA VIGODORO HAYA TAZAMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


       

Mi sitii neno hapa leo, jionee mwenyewe balaa la wazee hawa....Kweli ujana mwisho Chalinze niaje..!
Share:

INJINIA SUA WAFANYA SHEREHE:KUMPONGEZA BEDON(UNPERISHABLE) KUWA WAZIRI MKUU,JERIMIAH KUWA MBUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

                                                  
JUMUIYA YA WANA SUA WANAFUNZI WASOMAO INJINIA LEO HII WAMEFANYA SHEREHE AMBAYO ITAKUMBUKWA NA WATU WENGI BAADA YA MTAJWA HAPO JUU MH.BEDON KUTEULIWA NA MH.RAS KUWA WAZIRI MKUU WA CHUO HICHO.
Share:

Tuesday, 24 June 2014

TOA MAONI YAKO:Unalizungumziaje suala la nguo fupi kwenye filamu?


Unalizungumziaje suala la nguo fupi kwenye filamu?
Moja ya mambo yanayojadiliwa sana na vyombo vya habari kwa sasa, ni suala la kina dada wa bongo movies kupenda kuvaa nguo fupi sana wanapokuwa wanaigiza filamu zetu hizi. Ikizingatiwa ni karibuni tu, suala hili lilijadiliwa mpaka bungeni na pia siku chache zilizopita
Share:

DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPY 2FACE IDIBA &BRIDGET KELLY-I LOVE YOU


Share:

MOE:TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO 2014

                                   

 TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO

KIDATO CHA TANO KWA TAHASUSI ZA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI, ENGLISH NA UALIMU KWA MUDA WA MIAKA 3

UTANGULIZI
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inakaribisha maombi ya kujiunga na Masomo ya Kidato cha Tano kwa tahasusi za masomo ya Sayansi, Hisabati English, na Ualimu kwa muda miaka 3 kwa wahitimu wa Kidato cha IV wenye ufaulu wa Daraja la I hadi III kati ya mwaka 2004 na 2013. Katika masomo haya mwanafunzi atasoma masomo ya Sekondari ya Kidato cha V na VI na kufanya mtihani wa taifa wa Kidato cha VI na kuendelea na Mafunzo ya Ualimu kwa mwaka mwingine mmoja ambapo atatunukiwa Stashahada ya Ualimu. Awali, mfumo huu ulikuwa unajulikana kama half combination.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger