Monday, 16 June 2014

SEKRETARIETI YA AJIRA:TAARIFA KWA UMMA(SOMA TAFADHALI)


Sekretarieti ya Ajira inapenda kutoa tahadhari kwa waombaji wote wa nafasi za kazi kupitia chombo hiki kuwa kumezuka kundi la watu wanaojifanya ni watumishi wa Sekretarieti ya Ajira ambao kwa makusudi wamekuwa wakiwapigia simu kwa lengo la kuwalaghai baadhi ya waombaji wa nafasi za kazi Serikali wakidai wapewe fedha  ili waweze kuwasaidia kupata kazi Serikalini kwa urahisi  mara baada ya kufanya usaili.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi amefikia hatua ya kutoa tamko hili kutokana na baadhi ya waombaji wa nafasi za kazi Serikalini kukumbwa na kadhia hiyo na kutoa taarifa. Amesema Ofisi yake haina utaratibu wa kuwapigia simu waombaji wa fursa za ajira Serikalini na kuwadai fedha ili kuweza kuwapatia nafasi ya ajira. Hivyo, endapo kuna msailiwa yeyote atakayepigiwa simu ajue hao watu ni matapeli na ni vyema akawapuuza kw akutokuwapa ushirikiano na badala yake kuwaripoti katika vyombo vya dola ili waweze kuwachukulia hatua stahiki.
Share:

ANGALIA RATIBA KAMILI ,MATOKEO NA WAFUNGAJI WA KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014

                                  

                                Thursday, 12 June


Friday, 13 June



Share:

UDOM WASITISHA MITIHANI YA UE,KISA WALIMU WAMEGOMA

Wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma leo wameshindwa kufanya mtihani yao ya mwisho wa muhula ijulikanayo kama UE kutokana na walimu kutokulipwa pesa zao wanazoidai chuo hicho.
                                 
Share:

WANAWAKE TU:HATUA ZA KUFATA KUSAFISHA UKE




Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke
mara tu baada ya kuondolea bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi?
Share:

HII BALAA:FUNDI SIMU AVUJISHA PICHA ZA UCHI ZA MTEJA WAKE,SOMA HAPA


Fundi simu azua balaa baada ya kusambaza picha hizi maana hii sasa imekuwa official kwamba wasichana wengi sasa wa generation hii wamepotea in the name of love. 
Share:

MAHUSIANO:UKIONA UMETENDWA NA UMPENDAE FANYA HAYA


KATIKA MAISHA YA KIMAPENZI HAKUNA KITU KINACHOUMA KAMA KUSALITIWA, TENA KUSALITIWA KUNAKOUMA ZAIDI NI PALE UNAPOBAINI MPENZI WAKO KAMPA PENZI MTU UNAYEMJUA HALAFU UKIJILINGANISHA WEWE NA HUYO ALIYEPEWA UNASHINDWA KUELEWA KILICHOMSHAWISHI MPENZI WAKO KUMPA PENZI HUYO MTU...
Share:

HII NDIO AINA YA WANAWAKE WANAOFAA KUWEKA NDANI 'WIFE MATERIAL'


http://theclicktz.com/


Stacey Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba, vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawaida wanaume hupima uzuri wa mwanamke kwa sura au mwili, lakini linapokuja suala la kupata mtu ambaye wanataka kuishi naye kama mke, suala la haiba, yaani tabia na mwenendo, linachukua nafasi kubwa.
Share:

KAHABA AKAMATWA AKIJUZA NJE YA OFISI ZA SERIKALI

Njaa mbaya! Kama ulikuwa unadhani ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imenywea, basi umenoa! Safari hii imenasa tukio la mrembo akijihusisha na biashara haramu ya ngono nje ya ofisi za serikali, Ijumaa Wikienda lina kitu laivu.
Mrembo aliyekuwa akijihusisha na biashara haramu ya ngono nje ya ofisi za serikaliakikurupuka mara baada ya kunaswa mtegoni.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU'MWANANCHI,DIRA,MTANAZNIA,NIPASHE,GURDIAN,THE CITIZEN,MSIMBAZI,TANZANIA DAIMA,MWANAHABARI,MWANA SPOTI,NA MENGINE MENGI.

                       




1_49d33.jpg
                         3_a71b3.jpg                          
2_8ee95.jpg
Share:

Sunday, 15 June 2014

MAGAZETI YA LEO,"BINGWA,MWANANCHI,MAJIRA,MTANZANIA,HABARI LEO,SPOTI STAREHE,DIMBA"

.
.
.
Share:

MAKAHABA WAONGEZEKA BRAZIL,HUKU WACHEZAJI WA UIENGEREZA WAJIPAPATIKIWA


BIASHARA ya ukahaba imeanza kunoga Brazil kutokana na kufanyika kwa fainali za Kombe la Dunia ambazo zilianza jana usiku nchini humo ambapo wenyeji Brazil walifungua na Croatia.

Share:

ZAIDI YA 10,000 WAFANYA USAILI WA NAFASI YA MKAGUZI MSAIDIZI UHAMIAJI UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM


 Sehemu ya waombaji zaidi ya 10,000 wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi, Idara ya
Share:

WIMBO MPYA WA VANESSA:Baada ya Closer na Come Over…hii ni mpya kutoka kwa Vanessa Mdee.

Hawajui artwork
Hii ndiyo teaser/ jingle ya wimbo mpya wa Vanessa Mdee pamoja
Share:

SOMA HISTORIA YA MH.JAKAYA MRISHO KIKWETE,RAIS WA TANZANIA

Jakaya Mrisho Kikwete tangu tarehe 21 Desemba 2005 ni rais wa nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
                                    
                                             
Share:

HATIMAE MAREHEMU :GEORGE TYSON AZIKWA LEO KIJIJINI KWAO SIAYA,NCHINI KENYA


Hapa ndipo mwili wa Marehemu George Tyson ulipozikwa mapema leo mchana katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya.George Tyson ambaye alikuwa ni mmoja wa Waongozaji filamu
Share:

MATUKIO MBALIMBALI TAMASHA LAUZINDUZI VIDEO YA MUUNGANO LAFANA MJINI DODOMA


Msanii wa mziki alietokea EBSS,
Share:

MHESHIMIWA KOMBA:BAADA YA PICHA ZAKE AKILA URODA NA BINTI KUSAMBAA MTANDAONI AIBUKA NA HAYA SOMA HAPA


“Sijawahi  kuona  mwanamke  mzuri  na  mwenye  imani  kama  mama  Komba ( Salome ) jamani, unajua  kulea  watoto  ambao  mama  zao  wapo  duniani  ni  kazi  sana,”alisema  Komba  katika  kipindi  cha  mkasi  kinachorushwa  na  East  African  Television
Mheshimiwa  Komba  alisema  ana  watoto  tisa  wakiwemo  wa  ndani  ya  ndoa  na  nje ya  ndoa  na  wote  wamelelewa  na  mke  wake  Salome  na  ndio  maana  anampenda  na  kumjali  kila  siku  za  maisha  yake  kwani  anastahili  kuitwa  mwanamke  haswa…..
John Komba  aliyasema  hayo  siku  chache  baada  ya  kuonekana  picha  zake  mbaya  za  kimahaba  alizopiga  akiwa  na  msichana  anayedaiwa  kuwa  ni  mpenzi  wake…..
komba na mkewe
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger