














Paul Ngido na Asha Yahya wanaolelewa kwenye kituo cha watoto wenye matatizo mbalimbali waliowazaa watoto Keisha na Glory.

NINAWASALIMU kwa jina la Bwana Mungu, mwingi wa rehema na muweza wa
kila jambo. Siku zote nimekuwa nikiwasihi kumuweka mbele muumba wa nchi
na mbingu, kwani kwake hakuna lisilowezekana.
BADO tunaendelea na somo letu ambalo safari hii nagusia upande wa
maisha. Ndugu zangu, kukubalika kwenye jamii kuna manufaa makubwa kama
nilivyosema wiki iliyopita.
KWA NINI HUKUBALIKI?

WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wanaendelea na mchakato wa kupitia
vifungu vya Rasimu katika ngazi ya kamati, kabla ya keshokutwa kuanza
rasmi mjadala wa namna gani Tanzania inaweza kupata katiba mpya, miaka
50 baada ya kuungana kwa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar.