Saturday, 30 November 2024

TRA YAENDELEZA REKODI YAKE UANDAAJI WA MAHESABU TUZO ZA NBAA

Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA) yaibuka mshindi wa jumla kwenye uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS) na Sekta za Kibiashara (IFRS). Tuzo hizo zimetolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) jana 29/11/2024. Vilevile,...
Share:

NAIBU WAZIRI SAGINI- MSIKATISHWE TAMAA KATIKA KUPAMBANIA HAKI ZA BINADAMU

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM MTANDAO wa Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu umetakiwa kutokukata tamaa licha ya kupitia kadhia ya vitisho,kutukanwa na kupewa majina mabaya wakiwa katika jukumu lao la mapambano yao dhidi ya udhalimu na dhuluma dhidi ya haki za binadamu. Hayo yamesemwa leo...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI NOVEMBA 30,2024

...
Share:

Friday, 29 November 2024

BUTONDO ASHIRIKI UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

  Mbunge wa jimbo la Kishapu Boniphace Butondo,ameshiriki kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwenye kituo cha kitongoji cha Nzugimtogwe Lagana. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefanyika leo Novemba 27,2024 ambapo wananchi  wamechagua Mwenyekiti wa kijiji,kitongoji, Mtaa na...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger