Sunday 22 January 2023

SIMBA SC YAONDOKA NA ALAMA TATU MBELE YA DODOMA JIJI

...


NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini wakiinyuka Dodoma Jiji 1-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Katika mechi hiyo tumeshuhudia Simba Sc ikiwaanzisha wachezaji wao wapya waliowasajili kwenye dirisha dogo ambao ni Sawadogo pamoja na mshambuliaji kutoka DR Congo Jean Baleke.

Bao hilo pekee limefungwa na mshambuliaji wao mpya Jean Baleke akitumia makosa ya beki wa Dodoma Jijini na kuweza kufunga bao kwenye mchezo huo muhimu.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger