Sunday, 18 July 2021

Tanzia : ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA ALLY NASSORO RUFUNGA AFARIKI DUNIA

...
Ally Nassoro Rufunga enzi za uhai wake

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga amefariki dunia leo Jumapili Julai 18,2021.

Taarifa za chanzo cha kifo chake bado hazijajulikana na mwili wa marehemu upo katika chumba cha kuhifadhia maiti (Mochwari)  katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga.

Ally Nassoro Rufunga alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kuanzia mwaka 2011 hadi mwaka 2016.

R.I.P Rufunga

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger