Friday, 16 July 2021

KAY JAY :KUTOKA KUANDIKIA WASANII WENZAKE MPAKA KUWA "ORDINARY GUY"

...
Kay Jay

Kayjay ni Mwandishi wa nyimbo na mwimbaji kutoka nchini Nigeria ambaye amewahi kuwaandikia wasanii wakubwa kama vile TundeEdnut ('Catching Cold'), Iyanya ('IyanuMashele'), KCEE ('Burn' & 'Psycho'), Naeto C, Kach ('Olo'), Chuddy K ('Nenda chini'), Stunna ('Balance' akishirikiana na Iyanya), Samklef, Tillaman, BimbiPhiliphs (Duro Dada).

Licha ya hivyo Kayjay amefanikiwa kushirikiana na wasanii wengi kama vile Shaydee,skales ,Samklef na wengine.

Lakini kwa sasa ameachia kazi yake mpya ambayo inapatikana katika mitandao kama vile Spotfiy ,Itunes ,Boomplay,Audiomack ,Youtube na kwingine.

Unaweza Kusikiliza na kudownload kazi yake "Ordinary Guy" @kayjayogbonna
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger