Sunday, 28 May 2017

Rais Magufuli amteua Kamishna Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania(IGP)

Rais Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu atapangiwa kazi nyingine. ...
Share:

Saturday, 27 May 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MAY TAREHE 27.5.2017

...
Share:

Thursday, 25 May 2017

Wednesday, 24 May 2017

APPLICATION FOR DIPLOMA AND CERTIFICATE IN HEALTH PROGRAMMES OFFERED BY GOVERNMENT HEALTH TRAINING INSTITUTIONS 2017/18

Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC) PUBLIC NOTICE APPLICANTION FOR DIPLOMA AND CERTIFICATE IN HEALTH PROGRAMMES OFFERED BY GOVERNMENT HEALTH TRAINING INSTITUTIO...
Share:

MPYA KUTOKA TCU:TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA FORM SIX WALIOMALIZA MWAKA HUU NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA KUHUSU APPLICATION ZA DIGRII MWAKA WA MASOMO 2017/2018

...
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WALIOPANGWA JKT 2017

TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheri...
Share:

Breaking News!! RAIS MAGUFULI AMTAKA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF MUHONGO AJIUZULU

Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kwa kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye makonten...
Share:

TAARIFA KUHUSU ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WANAOJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU 2017

Wanafunzi wa kidato cha sita waliohitimu mwaka huu May 2017 takribani 14,747 sawa na asilimia 23.2%, wamepangiwa katika vituo mbalimbali vya Jeshi kati ya wahitimu 63,623, wanatakiwa kufika kambini kuanzia 25-30 May. Taarifa imetolewa na Mkuu wa JKT Akiongea na ITV amesema Orodha ya waliochaguliwa...
Share:

Taarifa ya TANESCO kuhusu katizo la umeme Mikoa ya Kinondoni Kaskazini, Ilala na Temeke.

...
Share:

TANGAZO:TUNAFANYA USAJILI WA WANAFUNZI WANAOTAKA KUJIUNGA NA VYUO VYA NACTE NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

Habari zenu, Maswayetu blog tunafanya usajili kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali katika kozi za afya,kilimo etc mwaka wa masomo 2017/2018. Pia tunatoa ushauri kabla ya kufanya application kulingana na matokeo yako uliyopata. Gharama zetu ni nafuu sana. Kama unataka ushauri unaweza ukauliza swali lako kwa kutuma na maksi zako ulizopata,kwa kutuma kwenda namba 0652740927 Karibuni...
Share:

MPYA:NAFASI ZA KILIMO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWA WA MASOMO 2017/2018

APPLICATION FOR ADMISSION INTO DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018 The Permanent Secretary Ministry of Agriculture...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MAY 24 2017

...
Share:

Tuesday, 16 May 2017

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO YA KIDATO CHA TANO-ZANZIBAR PEMBA

...
Share:

WANAFUNZI WALIOTEULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2017-ZANZIBAR UNGUJA

...
Share:

BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ZANZIBAR: ANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO MWAKA WA MASOMO 2017/18

TANGAZO Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inawatangazia wanafunzi wote wanaohitaji kujiendeleza katika fani mbalimbali za Elimu ya Juu kuwa fomu za maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/18 zitaanza kutolewa kwa miezi mitatu kuanzia tarehe 02/05/2017 hadi tarehe ...
Share:

NACTE:GUIDE BOOK AFYA-CHETI NA DIPLOMA 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION ADMISSION REQUIREMENTS - 2017/2018 Guidebooks Tue May 16 2017 22:08:31 GMT+0300 (E. Africa Standard Time) ...
Share:

Sunday, 14 May 2017

Treni ya Abiria Yapata Ajali Morogoro

Treni ya abiria imepata ajali usiku saa 5 eneo la Stesheni ya Mazimbu Morogoro ambapo mabehewa manne yameegama na matatu yameacha reli. Ashura Mrisho aliyekuwa anakwenda Tabora amejeruhiwa kwa kuangukiwa na mizigo. Mabehewa 13 yamerejeshwa Morogoro kuwapangia usafiri mbadala  ...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MAY 14 2017

...
Share:

TCRA yawatahadharisha watumiaji wa kompyuta juu ya shambulio la Kirusi Kiitwacho WANNACRY kwenye kompyuta

Shambulizi la kihalifu mitandaoni lililotendeka kupitia vifaa vinavyoaminika kuibwa kutoka kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA limeathiri mashirika tofauti duniani. Kampuni ya kulinda uhalifu wa mitandao Avast, imesema kuwa imeona kesi 75,000 za programu zinazotumika kufanya uhalifu...
Share:

Wednesday, 10 May 2017

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

  BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu...
Share:

ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) PUBLIC NOTICE ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018 The National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body established under the National Council for Technical...
Share:

NACTE : Udahili na uchaguzi 2017/18 wa Astashahada na Stashahada kutafanyika moja kwa moja vyuoni

Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa...
Share:

Sunday, 7 May 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MAY TAREHE 7.5.2017

...
Share:

Barua ya Bodi ya Ligi kuhusu sakata la alama tatu kati ya Kagera Sugar na Simba SC.

Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC juu ya sakata lao la kupokwa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar wakidai kumcheza mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano.   Kwa mujibu wa barua kutoka...
Share:

Saturday, 6 May 2017

Habari Mbaya: Wanafunzi 20 wahofiwa kufa katika ajali ya basi Karatu

Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi. Habari zinaarifu kuwa , basi hilo limeanguka kabla ya kuingia karatu mjini na kuua watoto wengi . Inaarifiwa kuwa Wanafunzi hao  ni wa shule inayoitwa Lucky Vicent ya Arusha ambao...
Share:

Update: Wanafunzi Waliofariki Katika Ajali Leo Wafika 32

Kamanda wa Polisi, mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema wanafunzi 31 na walimu wao wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, ulipo mto Mlera. Mkumbo amesema wanafunzi waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni wa shule ya mchepuo wa Kiingereza, iitwayo Luck Vicent ya mjini Arusha. Kati...
Share:

Lowassa awalilia wanafunzi Waliofariki katika Ajali........Maiti 32 zapelekwa mochwari katika Hospitali ya Lutheran Karatu.

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ametuma salamu za rambi rambi kutokana na tukio la watu 32 kufariki dunia katika ajali ya basi. Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo. “Nimepokea kwa masikitiko taarifa...
Share:

Friday, 5 May 2017

TANZANIA YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI

  TANZANIA YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI Jitihada za Wizara ya Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea Serikali kupokea Tuzo ya Uwezeshaji wa Mazingira Bora ya Upatikanaji wa Umeme Vijijini kwa Nchi zinazoendelea. Serikali...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger