Rais Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu atapangiwa kazi nyingine.
...
Sunday, 28 May 2017
Saturday, 27 May 2017
Thursday, 25 May 2017
Wednesday, 24 May 2017
APPLICATION FOR DIPLOMA AND CERTIFICATE IN HEALTH PROGRAMMES OFFERED BY GOVERNMENT HEALTH TRAINING INSTITUTIONS 2017/18

Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC)
PUBLIC NOTICE
APPLICANTION FOR DIPLOMA AND CERTIFICATE IN HEALTH PROGRAMMES OFFERED BY GOVERNMENT HEALTH TRAINING INSTITUTIO...
HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WALIOPANGWA JKT 2017

TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT),
limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa
mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT
kwa Mujibu wa Sheri...
Breaking News!! RAIS MAGUFULI AMTAKA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF MUHONGO AJIUZULU

Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa
Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kwa
kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye
makonten...
TAARIFA KUHUSU ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WANAOJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU 2017

Wanafunzi wa kidato cha sita waliohitimu mwaka huu May 2017 takribani
14,747 sawa na asilimia 23.2%, wamepangiwa katika vituo mbalimbali vya
Jeshi kati ya wahitimu 63,623, wanatakiwa kufika kambini kuanzia 25-30
May.
Taarifa imetolewa na Mkuu wa JKT
Akiongea na ITV amesema Orodha ya waliochaguliwa...
TANGAZO:TUNAFANYA USAJILI WA WANAFUNZI WANAOTAKA KUJIUNGA NA VYUO VYA NACTE NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Habari zenu,
Maswayetu blog tunafanya usajili kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali katika kozi za afya,kilimo etc mwaka wa masomo 2017/2018.
Pia tunatoa ushauri kabla ya kufanya application kulingana na matokeo yako uliyopata.
Gharama zetu ni nafuu sana.
Kama unataka ushauri unaweza ukauliza swali lako kwa kutuma na maksi zako ulizopata,kwa kutuma kwenda namba 0652740927
Karibuni...
MPYA:NAFASI ZA KILIMO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA MWA WA MASOMO 2017/2018

APPLICATION FOR ADMISSION INTO DIPLOMA AND CERTIFICATE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018
The Permanent Secretary Ministry
of Agriculture...
Tuesday, 16 May 2017
BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ZANZIBAR: ANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO MWAKA WA MASOMO 2017/18

TANGAZO
Bodi
ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar inawatangazia wanafunzi wote
wanaohitaji kujiendeleza katika fani mbalimbali za Elimu ya Juu kuwa
fomu za maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/18
zitaanza kutolewa kwa miezi mitatu kuanzia tarehe 02/05/2017 hadi tarehe
...
NACTE:GUIDE BOOK AFYA-CHETI NA DIPLOMA 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
ADMISSION REQUIREMENTS - 2017/2018
Guidebooks
Tue May 16 2017 22:08:31 GMT+0300 (E. Africa Standard Time)
...
Sunday, 14 May 2017
Treni ya Abiria Yapata Ajali Morogoro

Treni ya abiria imepata ajali usiku saa 5 eneo la Stesheni ya Mazimbu
Morogoro ambapo mabehewa manne yameegama na matatu yameacha reli.
Ashura Mrisho aliyekuwa anakwenda Tabora amejeruhiwa kwa kuangukiwa na
mizigo. Mabehewa 13 yamerejeshwa Morogoro kuwapangia usafiri mbadala
...
TCRA yawatahadharisha watumiaji wa kompyuta juu ya shambulio la Kirusi Kiitwacho WANNACRY kwenye kompyuta

Shambulizi
la kihalifu mitandaoni lililotendeka kupitia vifaa vinavyoaminika
kuibwa kutoka kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA limeathiri
mashirika tofauti duniani.
Kampuni
ya kulinda uhalifu wa mitandao Avast, imesema kuwa imeona kesi 75,000
za programu zinazotumika kufanya uhalifu...
Wednesday, 10 May 2017
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria
ya Baraza la Taifa la Elimu...
ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018

THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
(NACTE)
PUBLIC NOTICE
ADMISSION OF STUDENTS FOR VARIOUS CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2017/2018
The
National Council for Technical Education (NACTE) is a statutory body
established under the National Council for Technical...
NACTE : Udahili na uchaguzi 2017/18 wa Astashahada na Stashahada kutafanyika moja kwa moja vyuoni
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni,
isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa...
Sunday, 7 May 2017
Barua ya Bodi ya Ligi kuhusu sakata la alama tatu kati ya Kagera Sugar na Simba SC.

Bodi
ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC
juu ya sakata lao la kupokwa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya
rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar wakidai kumcheza mchezaji Mohamed Fakhi
akiwa na kadi tatu za njano.
Kwa
mujibu wa barua kutoka...
Saturday, 6 May 2017
Habari Mbaya: Wanafunzi 20 wahofiwa kufa katika ajali ya basi Karatu

Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.
Habari zinaarifu kuwa , basi hilo limeanguka kabla ya kuingia karatu mjini na kuua watoto wengi .
Inaarifiwa
kuwa Wanafunzi hao ni wa shule inayoitwa Lucky Vicent ya Arusha ambao...
Update: Wanafunzi Waliofariki Katika Ajali Leo Wafika 32

Kamanda
wa Polisi, mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema wanafunzi 31 na
walimu wao wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, ulipo mto
Mlera.
Mkumbo
amesema wanafunzi waliopoteza maisha katika ajali hiyo ni wa shule ya
mchepuo wa Kiingereza, iitwayo Luck Vicent ya mjini Arusha.
Kati...
Lowassa awalilia wanafunzi Waliofariki katika Ajali........Maiti 32 zapelekwa mochwari katika Hospitali ya Lutheran Karatu.

Waziri
Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ametuma salamu za rambi rambi kutokana na
tukio la watu 32 kufariki dunia katika ajali ya basi.
Waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo asubuhi Karatu, ni wanafunzi 29, walimu wawili, pamoja na dereva wa gari hilo.
“Nimepokea
kwa masikitiko taarifa...
Friday, 5 May 2017
TANZANIA YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI
TANZANIA
YAPOKEA TUZO UMEME VIJIJINI
Jitihada za Wizara ya
Nishati na Madini za kuhakikisha umeme unafika na kusambaa maeneo ya vijijini
zimetambuliwa kimataifa hali iliyopelekea Serikali kupokea Tuzo ya Uwezeshaji
wa Mazingira Bora ya Upatikanaji wa Umeme Vijijini kwa Nchi zinazoendelea.
Serikali...