
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hivi
karibuni kumekuwa na uvumi unaoeleza kuwa JWTZ limetoa nafasi za kazi
kwa vijana wenye fani ya Udaktari na kuwataka vijana hao kuripoti Makao
Makuu na vyeti vyao kwaajili ya usaili.
Habari
hizo si za kweli,JWTZ kama zilivyo taasisi nyingine za serilikali lina
mfumo...