Wednesday 28 July 2021

Tanzia : MKURUGENZI WA KAMPUNI YA FRESHO INVESTMENT, FREDY SHOO 'Fresho' AFARIKI DUNIA


Fredy Shoo maarufu Fresho enzi za uhai wake
Mkurugenzi wa Kampuni ya Fresho Investment Company (1999) Ltd ya Mjini Shinyanga Fredy Shoo maarufu Fresho amefariki dunia leo jioni Jumatano Julai 28,2021 wakati akiendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam.

Mwekezaji Mzawa Fredy Shoo ndiye mmiliki wa kiwanda cha kuchambulia pamba , kiwanda cha vifungashio na kiwanda cha kuchakata mafuta ya pamba pamoja na uwanja Mpya wa Kisasa uliopewa jina la ‘Fresho Complex’ uliopo katika eneo la Ugweto kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga.

Mungu Ailaze Mahali Pema Peponi Roho ya Marehemu Fresho. Amina
Share:

NAMNA NILIVYOWEZA SAIDIA MME WANGU KUACHA KUTUMIAJI WA POMBE


Wanasemaga pombe sio kitu kibaya lakini inategemea na mnywaji wa hiyo pombe yupo katika hali gani au kichwa chake kinaweza kuhimili pombe kiasi gani, ukilitambua hilo basi pombe haitokusumbua kwani hata watengenezaji wa bidhaa hizo wanashauri tunywe kistaarabu.

Lakini pia matatizo yanaweza kutokea endapo mnywaji wa pombe hiyo amekunywa kiasi gani, katika hali ya kawaida unywaji wa pombe unaweza kupelekea kutoelewana katika familia, kutoisaidia familia yako na kujikita kwenye pombe na hata kutokufanya mambo ya maendeleo ya mtu binafsi.

Kwa majina naitwa Wini Kweka nafanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji jijini Mwanza nimeolewa na bwana yangu ameajiriwa katika Benki moja hapa jijini Dar es salaam, na tuna watoto wawili mmoja yuko kidato cha pili mwingine darasa la nne.

Mme wangu yeye ni mtumiaji wa pombe lakini naweza sema yeye ni mmoja kati ya watu wanaoitumia pombe vibaya kwa sababu maana anakunywa pombe nyingi kiasi kwamba anavua nguo na kulala baa kabisa mara nyingine.

Matumizi yake ya pombe yamepelekea tukose maendeleo kwa muda mrefu sana ukizingatia mshahara wake karibia wote alikua akiumalizia huko anaponywea pombe, ilikuwa anapokea mshahara halafu anasema bado hajapokea kisha wote anaumalizia kwenye pombe na kabla mwezi haujaisha pesa yake inakuwa ishakata.

Na hio inapelekea kwamba anakuwa na marafiki wenzake akiwa baa hivyo huwanunulia watu wengi katika meza yake na kupelekea kiasi kingi cha pesa kutumika kwa mara moja hasa hasa katika suala la kijinga la unywaji wa pombe.

Mimi nikiwa kama mke wangu nilikuwa namshauri kila mara nikimwambia kwanini asiache pombe na tufanye mambo ya maana akawa ananijibu kazi zake ndo zinamfanya awe mlevi, kwa hiyo mzigo wote ukawa umenielemea mimi kuanzia watoto, chakula na kila kitu.

Maisha yetu yalikuwa hivyo hivyo tu, maana mme wangu kabla hajapokea mshahara wake tunapanga vitu muhimu vya kufanya ila akishapokea anakuwa tofauti hadi nikimkumbusha naambulia kipigo.

Niliweza washirikisha marafiki zangu ili kupata ushauri kutoka kwao ila majibu niliyopata ni kuwa wanasema kampani yake ya marafiki ndo tatizo kwani wamekuwa na utaratibu wa kunywa pombe kila wakitoka kufanya kazi zao za siku hiyo.

Mimi sikukata tamaa juu ya mme wangu kwa sababu nilitazama upande wa pili wa watoto wetu nikikata tamaa juu ya Baba yao maisha gani wataishi. Siku moja nikiwa nilimtembelea shangazi yangu na katika maongezi nikamshirikisha na tatizo langu akaniambia hata yeye mme wake alikuwa na tatizo hilo zamani na kunipatia namba ya mtu aliyemsaidia mme wake kuacha pombe.

Niliwasiliana na Kiwangadoctors kisha nikawatembelea ofisini kwao. Nilipata huduma kutoka kwa Dr. Kiwanga kisha nikarejea nyumbani kwa ajiri ya kutumia ile dawa ambayo nilipewa na Dr. Kiwanga.

Nikiwa natumia ile dawa mme wangu alianza kutapika kila akinywa pombe au akihisi harufu ya pombe, na mwisho wake aliacha mwenyewe na hivi sasa mme wangu hatumii pombe kabisa au kinywaji chochote cha kulewesha.

Nikiwa ofisini kwa Dr. Kiwanga niliambiwa kuwa wana dawa ya Nguvu za kiume, dawa ya kufanya nyota yako ing’ae, dawa ya mapenzi, dawa ya Sukari pamoja na dawa ya kurejesha mpenzi wako.

Wasiliana na kiwangadoctors kwa namba ya simu +254 769404965 au tembelea website yao www.kiwangadoctors.com kupata taarifa zaidi kuhusu kiwanga doctors.
Share:

MME WANGU KANIFUKUZA KWA NYUMBA YETU BAADA KUGUNDUA KUWA ANATEMBEA NA MDADA WA KAZI

Share:

Institute of Rural Development Planning IRDP Prospectus 2021/2022

Institute of Rural Development Planning IRDP Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Institute of Rural Development Planning – IRDP have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details […]

This post Institute of Rural Development Planning IRDP Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

DC MKINGA KANALI SURUMBU AWATAKA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF) ILIYOBORESHWA

 

MKUU wa wilaya ya Mkinga Kanali Maulid Surumbu akizungumza wakati akizindua mpango wa bima ya Afya iliyoboreshwa wilayani Mkinga (CHF) iliyofanyika kwenye eneo la Maramba wilayani humo kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga Amani Kasinya na kushoto ni Mratibu wa CHF mkoa wa Tanga Imani Rwatamabanga

 

Mratibu wa CHF mkoa wa Tanga Imani Rwatamabanga akizungumza wakati wa uzinduzi huo
Mganga Mkuu wawilaya ya Mkinga (DMO) akizungumza wakati wa uzinduzi
Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilaya ya Mkinga Elizaberth Dickson akieleza umuhimu wa mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) katika uzinduzi huo
MKUU wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga,Kanali Maulidi Surumbu katikati aliyevaa tisheti nyeupe akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga Amani Kasinya na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkinga Rashid Gembe  na kulia ni Mganga Mkuu wa wilaya ya Mkinga wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa uzinduzi huo

KATIBU Tawala wa wilaya ya Mkinga (DAS) Joseph Sura kushoto akifuatilia kwa umakini matukio wakati wa uzinduzi huo
Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilaya ya Mkinga Elizaberth Dickson kushoto akimsikiliza kwa umakini mkazi wa wilaya hiyo Seif Selemani aliyekwenda kwenye banda lao wakati uzinduzi wa mpango huo
Sehemu ya wananchi wakifuatilia uzinduzi huo

NA OSCAR ASSENGA, MKINGA

MKUU wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga,Kanali Maulidi Surumbu amewahamasisha wananchi wa wilaya hiyo kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) iliyoboreshwa ili kuweza kupata matibabu wanapougua na hivyo kuwaondolewa changamoto ambazo wanaweza kukutana nazo.

Kanali Surumbu aliyasema hayo wakati akizindua kampeni ya Uhamasishaji wananchi wa Mkinga kujiunga na Bima ya Afya ya Jamii (CHF) iliyoboreshwa iliyofanyika kata ya Maramba wilayani Mkinga.

Alisema mpango huo ni mzuri kwa sababu una wahakikishia huduma ya matibabu pindi wanapougua na hivyo kupunguza kiasi kikubwa cha changamoto za kupata huduma za matibabu na kusaidia kuboresha huduma za afya kwenye vituo husika.

“Mwanachama anapojiunga na CHF kuna asilimia 10 ambazo hurudishwa kwenye vituo vya afya hivyo nitumie nafasi hii kuwahamasisha wananchi wa wilaya ya Mkinga kuhakikisha mnachangamkia mpango huu “Alisema

Mkuu huyo wa wilaya alisema wilaya hiyo ilianza kusajili wanachama kwa kutumia mfumo wa kieletroniki Januari mwaka jana na kaya wanafika watu wasiozidi sita wanapata matibabu kwenye wilaya ya Mkinga na Mkoa wa Tanga kwa miezi 12.

“Mpaka kufikia leo 26,Julai Mkinga imesaijili kaya 661 kati ya kaya 6071 zilizotakiwa kusajili kwa mwaka kati ya hizo kata 661 zilizosajiliwa kaya 506 zimechangiwa na wafadhili,kaya 155 wananchi wa mkinga wamejiunga kwa hiari hivyo ni sawa na asilimia 2.7 ya lengo iliyowekewa wilaya hiyo kwa mwaka”Alisema

Alisema hali hiyo inaonyesha wananchi Mkinga bado hawajahamasika vya kutosha kuhusu umuhiumu wa kujiungaa na mfuko wa afya ya jamii hivyo kupitia kampeni hiyo ambayo inaizindua itakwenda kuwa chachu ya kuhamaksisha kuwa juu ya uhumu wa kujiunga mfuko wa afya ua jamii iliyoboresha.

“Kauli mbiu ya kampeni hii inasema CHF iliyoboreshwa kwa afya ya kila mtanzania jiunge leo hivyo ni matarajio yangu kwamba baada ya uzinduzi huo wananchi wote mtajiunga na kujisajili”Alisema

Awali akizungumza wakati wa uzinduzi huo,Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii Mkoa wa Tanga Imani Rwatamabanga alisema lengo la kitaifa kwa CHF ni kufikia asilimia 30 ya watanzania wote wanaopaswa kujiunga na CHF ifikapo June 2021 sasa leo ni Julai mwisho ni asilimai 30 kwa Taifa.

Alisema kwa mkoa wa Tanga ili kufikia lengo hilo la asilimia 30 ya wakazi wa mkoa huo walipaswa kufikia kaya zipatazo 146,954 hadi June 2021 katika kufikia lengo hilo mkoa unapaswa kuandikisha kaya 14,695 ambao ni sawa na asilimia 3 kwa kila mwezi,Kaya 48,985 ambayo ni sawa na asilimia kwa robo mwaka na kaya 146,954 ambayo ni asilimia 30 kwa mwaka.

Aidha alisema takwimu za leo kwa wilaya hiyo kwa mujibu wa tamisemi ina watu 137,268 sawa na kaya 27,454 kama walikuwa wanataka kwenda vizuri kila mwezi walipaswa kusajili kaya 824 na robo mwaka wawe wamesajili kaya 2,745 ambapo wangekuwa wamesajili kwa mwaka kaya 8,230 ambayo ingewapa asilimia 30.

Alisema hadi asubuhi kaya ambazo zimesajiliwa ni 155 hivyo kwa pamoja viongozi viongozi ,wananchi washirikiane wameane hamasa ili kuweza kuongeza idadi ya kaya ambazo zitakuwa zimesajiliwa.

Hata hivyo kwa upande wake Mratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii CHF wilaya ya Mkinga Elizaberth Dickson alisema mfuko huo unafaida kubwa sana kwa wananchi hivyo wanapaswa kuchangamkia kujiunga nao ili waweze kunufaika na huduma za matibabu katika vituo vya Afya.

Alisema fursa hiyo ni muhimu na nzuri hivyo wajitokeze kujiunga ili kuweza kunufaika na mfuko huo.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkinga Amani Kasinya alisema mpango huo ni mzuri na ni matunda ya serikali yetu inayoongozwa na Rais Samia Suluhu kuhakikisha wananchi wananufaika na huduma za Matibabu.

Kasinya aliwataka wananchi wa wilaya hiyo kuhakikisha wanachangamkie mfuko huo ambao unafaida kubwa kwao kutokana na kuwa na uhakika wa kupata matibabu wanapokuwa wakiugua.
Share:

Live : RAIS SAMIA ANAZINDUA CHANJO YA CORONA TANZANIA MUDA HUU


Rais wa Jamhuri ya Muungano a Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Julai 28,2021 anatarajiwa kuzindua utoaji wa chanjo nchini ambapo pia atachoma chanjo hiyo…
Share:

Tanzania Institute of Accountancy TIA Prospectus 2021/2022

Tanzania Institute of Accountancy TIA Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Tanzania Institute of Accountancy – TIA have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about TIA […]

This post Tanzania Institute of Accountancy TIA Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Institute of Tax Administration ITA Prospectus 2021/2022

Institute of Tax Administration ITA Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Institute of Tax Administration – ITA have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about ITA […]

This post Institute of Tax Administration ITA Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Water Institute WI Prospectus 2021/2022

Water Institute WI Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Water Institute – WI have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about WI Prospectus 2021/2022, how to […]

This post Water Institute WI Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Public Health Specialist – Data Analyst at United States Embassy Tanzania

U.S. MISSION DAR ES SALAAM VACANCY ANNOUNCEMENT The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the positions below (Click link below to read full job descriptions and mode of application…): Position Title: Public Health Specialist – Data Analyst (All Interested Candidates) Vacancy Number: DaresSalaam-2021-029 Open to: All Interested Candidates/All Sources Opening […]

This post Public Health Specialist – Data Analyst at United States Embassy Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kilimanjaro Christian Medical College KCMUCO Prospectus 2021/2022

Kilimanjaro Christian Medical College KCMUCO Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Kilimanjaro Christian Medical College – KCMUCO have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about KCMUCO […]

This post Kilimanjaro Christian Medical College KCMUCO Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Stella Maris Mtwara University College STEMMUCO Prospectus 2021/2022

Stella Maris Mtwara University College STEMMUCO Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Stella Maris Mtwara University College – STEMMUCO have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details […]

This post Stella Maris Mtwara University College STEMMUCO Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Dar es Salaam University College of Education DUCE Prospectus 2021/2022

Dar es Salaam University College of Education DUCE Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Dar es Salaam University College of Education – DUCE have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we […]

This post Dar es Salaam University College of Education DUCE Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tumaini University Makumira Dar es Salaam College TUDARCO Prospectus 2021/2022

Tumaini University Makumira Dar es Salaam College TUDARCO Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Tumaini University Makumira Dar es Salaam College – TUDARCO have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we […]

This post Tumaini University Makumira Dar es Salaam College TUDARCO Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Programme Manager at Norwegian Refugee Council (NRC) Tanzania

Position: Programme Manager Job Details Kibondo, Tanzania, United Republic of Job Identification 2469 Job Category Management Locations Kibondo Posting Date 07/26/2021, 05:02 PM Degree Level Bachelor’s Degree Job Schedule Full time Job Description The primary purpose of the Programme Manager position is to ensure programme quality and maximize the positive impact of NRC response at the […]

This post Programme Manager at Norwegian Refugee Council (NRC) Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mwenge Catholic University MWECAU Prospectus 2021/2022

Mwenge Catholic University MWECAU Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Mwenge Catholic University – MWECAU have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about MWECAU Prospectus 2021/2022, […]

This post Mwenge Catholic University MWECAU Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Breaking : HAJI MANARA ANG'OLEWA SIMBA SC...EZEKIEL KAMWAGA SASA MSEMAJI



BODI ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba leo Julai 28, 2021 kwa kauli moja, imeridhia matakwa ya Haji Manara ya kutokuendelea kuhudumu katika nafasi ya Msemajiwa Klabu hiyo. Bodi inamshukuru kwa maneno aliyotumia kuwaaga wana Simba.

Klabu ya Simba imemteua, Ezekiel Kamwaga kuwa Kaimu Mkuu wa Idaa ya Habari na Mawasiliano ya Klabu kwa kipindi cha miezi miwili.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger