Wednesday 28 July 2021

Breaking : HAJI MANARA ANG'OLEWA SIMBA SC...EZEKIEL KAMWAGA SASA MSEMAJI



BODI ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba leo Julai 28, 2021 kwa kauli moja, imeridhia matakwa ya Haji Manara ya kutokuendelea kuhudumu katika nafasi ya Msemajiwa Klabu hiyo. Bodi inamshukuru kwa maneno aliyotumia kuwaaga wana Simba.

Klabu ya Simba imemteua, Ezekiel Kamwaga kuwa Kaimu Mkuu wa Idaa ya Habari na Mawasiliano ya Klabu kwa kipindi cha miezi miwili.
Share:

Ruaha Catholic University RUCU Prospectus 2021/2022

Ruaha Catholic University RUCU Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Ruaha Catholic University – RUCU have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details about RUCU Prospectus 2021/2022, […]

This post Ruaha Catholic University RUCU Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Head of Clearing & Forwarding at Alistair Group Tanzania

Position: Head of Clearing & Forwarding  Multiple Countries Full Time Customs Clearance Senior Manager/Supervisor Do you want to be responsible for the growth of a highly profitable business? Do you have experience running a team in Freight Forwarding and have what it takes to take on the top role? We are looking for a strong leader […]

This post Head of Clearing & Forwarding at Alistair Group Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Field Officer Direct at THPS

PMTCT Field Officer Direct 2 Posts   Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under non-governmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MOHCDGEC) and Regional Administration and Local Government (PORALG), The Ministry of Home Affairs and […]

This post Field Officer Direct at THPS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Community service Assistant (6) at Amref Health Africa

Community service Assistant (6)   BACKGROUND: Amref Health Africa in Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria and Nutrition in Tanzania since 1987. Amref Health Africa in Tanzania is funded by The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS […]

This post Community service Assistant (6) at Amref Health Africa has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Registration Clerks at Tanzania Red Cross Society

Registration Clerks – 7 Positions   TANZANIA RED CROSS SOCIETY The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by the Parliament of Tanzania in 2019. Tanzania Red Cross Society was recognised and admitted to […]

This post Registration Clerks at Tanzania Red Cross Society has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Assistant Pharmaceutical Technician at Tanzania Red Cross Society

Assistant Pharmaceutical Technician (4 Positions)   TANZANIA RED CROSS SOCIETY The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by the Parliament of Tanzania in 2019. Tanzania Red Cross Society was recognised and admitted to […]

This post Assistant Pharmaceutical Technician at Tanzania Red Cross Society has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Nutritionist at Tanzania Red Cross Society

NUTRITIONIST    TANZANIA RED CROSS SOCIETY The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by the Parliament of Tanzania in 2019. Tanzania Red Cross Society was recognised and admitted to the membership of […]

This post Nutritionist at Tanzania Red Cross Society has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

SUZA : NJOONI KWENYE BANDA LETU KWENYE MAONYESHO YA TCU



 Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimewakaribisha na kuwashauri  wananchi wakiwemo wazazi walezi kutembelea banda lao la Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia Vyuo Vikuu wapatiwe maelekezo sahihi ya kozi zitolewazo na chuo hicho ili waweze kuwashauri watoto wao taaluma bora za kusoma katika mwaka wa masomo wa 2021/22.

Aidha, chuo hicho kimewakaribisha wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kufika katika banda lao ili wapatiwe maelekezo ya kufanya udahili kutoka kwa wataalamu na taaluma bora za kusoma zinazofundishwa na SUZA.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam  katika Viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye uzinduzi wa maonesho hayo yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) na Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko wa SUZA, Khadija Sadiq Mahumba.

Amesesma wazazi wataofika katika banda lao watapatiwa elimu bora ya namna ya kuchagua kozi zinazowafaa watoto huku akibainisha wanafunzi watapatiwa elimu bora ya namna ya kuchagua kozi zinazowafaa kwani chuo hicho kina mazingira bora ya kujisomea.

" Wanafunzi wahudhurie kwenye banda letu wasiwe na wasiwasi watapata elimu sahihi ya kufanya udahili mwaka wa  masomo wa 2021/22 hata wazazi tunawashauri watembelee hapa kuna wataalamu watawaelekeza kozi tulizonazo kwa manufaa ya watoto wao," amesema Khadija.

Amebainisha kuwa wanafunzi watakaojiunga na chuo hicho watapata fursa ya kusomea taaluma mbalmbali katika ngazi za Cheti, Astashahada, Shahada, Shahada ya Uzamili, Shahada ya Pili ya Uzamili.

Amesisitiza kuwa chuo hicho kinafundisha taaluma mbalimbali kwa nadharia na vitendo na kwamba wanafunzi wataokajiunga na taaluma za afya, udaktari pamoja na upasuaji wa meno watasoma kwa vitendo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja iliyopo visiwani humo.

Alizitaja taaluma zinazofundishwa na SUZA  ni Kilimo, Ualimu,Utalii, Upasuaji wa meno, ufundishaji wa Lugha ya Kiswahili na za kigeni, usimamizi wa biashara, afya na udaktari, kompyuta, mawasiliano na uhandishi wa habari pamoja na ufamasia. 

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Udahili wa SUZA, Ali Shauri Jecha amesema katika udahili wa mwaka wa masomo wa 2021/22 chuo hicho kimejipanga kutoa sapoti ili kuhakikisha wanafunzi wanafanya udahili wa vyuo na kozi kwa usahihi.

Ali amesema watafanya matembezi katika shule lengo likiwa kuwafikia wanafunzi wajue kozi zitolewazo na SUZA  pamoja namna bora ya kufanya udahili kupitia mtandaoni na kwamba Zanzibar wametenga dawati maalum la kutoa elimu na udahili kwa wanafunzi.


Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 28,2021


Share:

Tuesday 27 July 2021

Laboratory Technician at Kazini Kwetu

LABORATORY TECHNICIAN We are looking for a Laboratory Technician to work in a paints factory in Dar es Salaam. For application send your CV only. Shortlisted candidates will be contacted. Responsibilities Maintain, clean, or sterilize laboratory instruments or equipment. Monitor product quality to ensure compliance with standards and specifications. Conduct chemical or physical laboratory tests […]

This post Laboratory Technician at Kazini Kwetu has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sales Executives/Representative at WC Enterprises CO. LTD

Sales Executives/Representative WC Enterprises CO. LTD is Tanzania based company, which deals with sales and distribution of various products in Tanzania with its office in Dar es Salaam. WC Enterprises CO. LTD is advertising for sales executive/representative posts for Dar es Salaam based residents.   JOB REQUIREMENT Certificate of Secondary Education Ordinary level or Advanced […]

This post Sales Executives/Representative at WC Enterprises CO. LTD has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Dar es Salaam Institute of Technology DIT Prospectus 2021/2022

Dar es Salaam Institute of Technology DIT Prospectus 2021/2022: Prospective students at the Dar es Salaam Institute of Technology – DIT have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared […]

This post Dar es Salaam Institute of Technology DIT Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sales and marketing Officer at TechFix

Sales and marketing Officer   Summary: Techifx Tanzania is looking for sales and marketing officer for our Dar Es Salaam offices. Job Description: This role includes research and development of various marketing strategies for our products and services. You will implement marketing plans and work to meet sales quotas. Tracking marketing and sales data and […]

This post Sales and marketing Officer at TechFix has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

University of Dar es Salaam UDSM Prospectus 2021/2022

University of Dar es Salaam UDSM Prospectus 2021/2022: Prospective students at the University of Dar es Salaam – UDSM have been very anxious to search for information about the respective college, such as information on the courses they are going to study in each semester of the year. Knowing this we have prepared full details […]

This post University of Dar es Salaam UDSM Prospectus 2021/2022 has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Branch Logistics Manager-JD at Sokowatch

Branch Logistics Manager-JD   About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Thousands of […]

This post Branch Logistics Manager-JD at Sokowatch has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Namna Ya Kuandika Barua Ya Kuomba Kazi .....Hapa Kuna Mifano ya Barua 15 za Kuomba Kazi


Yawezekana Umewekeza katika elimu yako, una kila sifa ya kupata kazi fulani lakini hupati kazi hiyo, inawezekana kabisa sababu mojawapo inayokufanya usipate kazi unayoitaka ni kutokujua kuandika barua ya maombi ya kazi.
 
 
Barua ya maombi ya kazi huandikwa kwa malengo ya kuomba kazi. Kujifunza namna sahihi ya uandishi wa barua ya maombi ya kazi si kwamba utakusaidia katika kujibu maswali pekee, bali ujuzi huu utakufanya upate kazi halisi wakati utakapo hitaji kufanya hivyo.
 

Hapa nitakuelekeza mambo yote  unayotakiwa kuyafanya unapoandika barua ya maombi ya kazi. Jifunze taratibu ili baadaye uweze kuandika barua unayotaka na uweze kupata kazi

_____
==>>Muundo wa Barua ya Maombi ya Kazi

i. Anuani ya mwandishi. Yaani anuani yako wewe unayeandika barua hiyo.

ii. Tarehe.

iii. Anuani ya anayeandikiwa.

iv. Salamu.

v. Kichwa cha habari.

vi. Kiini cha barua. Hii ni roho ya barua yako, ukikosea mahali hapa, kama unajibu swali katika mtihani, utapoteza alama. Na kama unaomba kazi halisi, utaikosa. Kiini kina aya nne:

- Katika aya ya kwanza, eleza kazi unayoomba na mahali ulipoona tangazo la kazi hiyo. Ni katika sehemu hii unaweza kutaja umri wako.

- Katika aya ya pili, eleza ujuzi wako kwa ufupi. Usieleze sana. Barua hii haipaswi kuwa ndefu kupindukia.

- Aya ya tatu eleza kwa nini upewe kazi hii wewe na si mtu mwingine. Epuka kueleza shida zako binafsi ili upewe kazi. Maneno kama, ninaomba kazi hii ili niweze kumtibia mama yangu mgonjwa kitandani, hayana msaada.

- Aya ya nne eleza uko tayari kwa usahili siku gani?

vii. Mwisho wa barua. Mwisho wa barua yako uwe na:

- Neno la kufungia. Wako mtiifu. Wako katika ujenzi wa taifa n.k

- Sahihi yako.

- Jina lako

________

==>>Kupata Mifano  zaidi ya 50 ya Barua ya Maombi ya Kazi kwa Lugha ya Kiingereza, Bofya hapo chini kulingana na taaluma yako uliyosomea.

_______

1. Cover Letter Sample for Qualified Teacher 

2.Cover Letter Sample for a French Teacher 

3.Cover Letter Sample for Economist 

4.Cover Letter Sample for an Insurance Graduate

5.Cover Letter Sample for Administrative Officer  

6.Cover Letter Sample for Human Resource Manager  

7.Cover Letter Sample for Marketing Executives

8.Cover Letter Sample for a Law Graduate

9.Cover Letter Sample for Psychologist

10.Cover Letter Sample for Accounting Graduate

11.Cover Letter/Resume Sample for Computer Science

12. Cover Letter Sample for Tourism

13. Cover Letter Sample for Logistics 


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger