INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Friday 26 February 2016
Thursday 25 February 2016
Download | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Download | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]
- See more at: http://www.johventuretz.com/2016/02/millian-ft-diamond-platnumz-nyota-ya-mashariki.html#sthash.2mlWkRF1.dpufDownload | Millian Ft. Diamond Platnumz - Nyota Ya Mashariki [Audio]
- See more at: http://www.johventuretz.com/2016/02/millian-ft-diamond-platnumz-nyota-ya-mashariki.html#sthash.2mlWkRF1.dpufTangazo la nafasi za masomo kwa awamu ya pili ya mwaka wa masomo 2015/2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO AWAMU YA PILI – MWAKA WA MASOMO 2015/2016
MKUU WA CHUO – TAASISI YA UHASIBU TANZANIA [TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)] ANAWAKARIBISHA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 NA WALE WALIOMALIZA MIAKA YA NYUMA, KUJIUNGA NA KOZI YA CHETI CHA AWALI YAANI BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE (NTA LEVEL 4) KWA MWAKA WA MASOMO 2015/2016 AWAMU YA PILI (SECOND INTAKE) KATIKA KAMPASI ZAKE ZA DAR ES SALAAM, MBEYA, SINGIDA, MTWARA, MWANZA NA KIGOMA KWENYE FANI ZIFUATAZO:-
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI IJUMAA TAREHE 04/03/2016.
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA:
SIMU Na. 0714 914 805, 0754 376 371; AU
Baruapepe: tia@tia.ac.tz
MKUU WA CHUO – TAASISI YA UHASIBU TANZANIA [TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA)] ANAWAKARIBISHA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 NA WALE WALIOMALIZA MIAKA YA NYUMA, KUJIUNGA NA KOZI YA CHETI CHA AWALI YAANI BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE (NTA LEVEL 4) KWA MWAKA WA MASOMO 2015/2016 AWAMU YA PILI (SECOND INTAKE) KATIKA KAMPASI ZAKE ZA DAR ES SALAAM, MBEYA, SINGIDA, MTWARA, MWANZA NA KIGOMA KWENYE FANI ZIFUATAZO:-
- UHASIBU (ACCOUNTANCY)
- UNUNUZI NA UGAVI (PROCUREMENT & LOGISTICS MANAGEMENT)
- Mwombaji awe amefaulu angalau masomo 3 kwa kiwango cha alama “D” au zaidi kwenye mtihani wa kidato cha nne; Au
- Awe na cheti cha mafunzo ya ufundi daraja la pili (NVA 2) kutoka chuo cha VETA, ambaye pia ana ufaulu wa masomo angalau mawili kwenye matokeo ya kidato cha nne.
MWISHO WA KUPOKEA MAOMBI NI IJUMAA TAREHE 04/03/2016.
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA:
SIMU Na. 0714 914 805, 0754 376 371; AU
Baruapepe: tia@tia.ac.tz
HUYU NDIO BABA MZAZI WA MOROMBOSO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Maromboso kutoka Yamoto Band ameamua kumuonyesha baba yake Mzazi baada
ya Jamaa mmoja wa Bodaboda Kujitangaza kuwa yeye ndiye Baba Maromboso,
Maromboso aliposti Picha na Kuandika “Huyu Ndo Baba yangu …..Mzee Yusuph
Kilungi … Sasa huyo jamaa Wa Tegua mtego ” Boda boda anayejita Baba
Maromboso ajipange“
HII NDI NYUMBA MPYA YA MENEJA WA DIAMOND PLATNUZM "BABU TALE"-VIDEO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Meneja wa Msanii mkali Tanzaia Diamond Platnumz na Mkurugenzi wa Tiptop
Conection, Babu Tale leo amepost video kwenye Instagram yake ikionyesha
Mjengo ambao anaumiliki.
Jibu la Diamond Kwa Wanaosema Ame Copy Video ya ‘Make Me Sing’ Kwa Lil Wayne.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Msanii Diamond ameamua kuwatolea uvivu watu wanaosema kuwa video yake mpya ya wimbo wa make me sing
alioshirikiana na rapper A.K.A kutoka Afrika kusini ameiga video ya Got money ya Lil wayne.
Aidha Diamond amethibitisha ule usemi wa hakuna jipya chini ya jua kwa kusema kuwa hakuna mtu yeyote atayefanya kitu kwenye muziki ambacho hakijafanyika.
alioshirikiana na rapper A.K.A kutoka Afrika kusini ameiga video ya Got money ya Lil wayne.
Aidha Diamond amethibitisha ule usemi wa hakuna jipya chini ya jua kwa kusema kuwa hakuna mtu yeyote atayefanya kitu kwenye muziki ambacho hakijafanyika.
“Watu wanashindwa kuelewa,kila kitu ambacho kinafanyika sasa hivi kwenye muziki kuanzia video,mashairi vyote vilishafanyika,vyote vilishaimbwa ,ni kama vinafanyika kwa marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye,kwa sababu ukisema nakupenda watu washaimba,sikupendi washaimba vyote yaani” alifunguka Diamond.
Shawshank Fugitive Frank Freshwaters Could Win Freedom in Parole Hearing
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
He spent 56 years on the run, believing he could live out his twilight years in the marshy lowlands of Melbourne, Florida. But a relentless ruse by police led to the recapture of Ohio's "Shawshank Fugitive" last year.
Now, Frank Freshwaters could soon gain what he once desperately clung to — his freedom.
Freshwaters, who turns 80 in April, will have a parole hearing Thursday afternoon in Columbus, where lawyers will argue over whether he deserves another crack at life outside of prison.
The family of Freshwaters' victim, Eugene Flynt,
is expected to testify. Flynt was a married father of three in 1957
when a then-21-year-old Freshwaters accidentally struck and killed him
with his car on an Akron street, according to Florida Today.
"In essence, he caused my life nothing but trouble," Richard Flynt, who was 3 when his father died, told the newspaper. "I don't think they can just pat him on the back and send him home."
Related: Frank Freshwaters, Convict Who Escaped Prison, Arrested After 56 Years
It's unclear if Freshwaters will appear at the parole board hearing. Prosecutors told the newspaper that he deserves no clemency.
"Freshwaters failed to comply with his probation, and did not pay a dime of the $1,500 he was ordered to pay in restitution to Flynt's family," Summit County Prosecutor Sherri Bevan Walsh said Wednesday. "Freshwaters was eventually sentenced to serve between one and 20 years in prison, yet spent only seven months behind bars before escaping in 1959. Since then, Freshwaters has lived free, had a family, and even collected Social Security under an assumed name."
Freshwaters' winding saga started after he pleaded guilty to second-degree manslaughter in Flynt's death. In lieu of up to 20 years behind bars, he was given a five-year probation. But he violated it, prosecutors said, and was incarcerated in the Ohio State Reformatory in Mansfield, which became immortalized in the 1994 film "The Shawshank Redemption."
For his good behavior, he was transferred to a less-restrictive state prison farm. Seven months later, he escaped.
He resurfaced in 1975, when he was picked up in West Virginia following an outstanding warrant for his arrest. But the U.S. Marshals said the governor there declined to extradite him, citing his "flawless 16-year residency" in West Virginia. He was released.
For years, Freshwaters — who went under multiple aliases and was also referred to as Freshwater in court documents — worked as a truck driver and managed to collect Social Security, Florida Sheriff Maj. Tod Goodyear said last year.
But authorities never forgot about the "Shawshank Fugitive" who eluded them for so many years.
Investigators hatched a plan to get a man living
on Florida's eastern shores named William H. Cox — believed to be
Freshwaters — to sign papers that they could use to match fingerprints
belonging to their escapee.
Last May, Florida police arrived at his secluded and shabbily-kept trailer holding a photo of Freshwaters from 56 years earlier. At first, he claimed that he hadn't seen that man in years. But after questioning, the white bearded-Freshwaters confessed, Goodyear told The Associated Press.
While he appeared to be living a quiet life without any troubles with law enforcement, that shouldn't excuse him for not owning up to his past transgressions, Ohio prosecutors say — no matter his age.
He spent 56 years on the run, believing he could live out his twilight years in the marshy lowlands of Melbourne, Florida. But a relentless ruse by police led to the recapture of Ohio's "Shawshank Fugitive" last year.
Now, Frank Freshwaters could soon gain what he once desperately clung to — his freedom.
Freshwaters, who turns 80 in April, will have a parole hearing Thursday afternoon in Columbus, where lawyers will argue over whether he deserves another crack at life outside of prison.
"In essence, he caused my life nothing but trouble," Richard Flynt, who was 3 when his father died, told the newspaper. "I don't think they can just pat him on the back and send him home."
Related: Frank Freshwaters, Convict Who Escaped Prison, Arrested After 56 Years
It's unclear if Freshwaters will appear at the parole board hearing. Prosecutors told the newspaper that he deserves no clemency.
"Freshwaters failed to comply with his probation, and did not pay a dime of the $1,500 he was ordered to pay in restitution to Flynt's family," Summit County Prosecutor Sherri Bevan Walsh said Wednesday. "Freshwaters was eventually sentenced to serve between one and 20 years in prison, yet spent only seven months behind bars before escaping in 1959. Since then, Freshwaters has lived free, had a family, and even collected Social Security under an assumed name."
Freshwaters' winding saga started after he pleaded guilty to second-degree manslaughter in Flynt's death. In lieu of up to 20 years behind bars, he was given a five-year probation. But he violated it, prosecutors said, and was incarcerated in the Ohio State Reformatory in Mansfield, which became immortalized in the 1994 film "The Shawshank Redemption."
For his good behavior, he was transferred to a less-restrictive state prison farm. Seven months later, he escaped.
He resurfaced in 1975, when he was picked up in West Virginia following an outstanding warrant for his arrest. But the U.S. Marshals said the governor there declined to extradite him, citing his "flawless 16-year residency" in West Virginia. He was released.
For years, Freshwaters — who went under multiple aliases and was also referred to as Freshwater in court documents — worked as a truck driver and managed to collect Social Security, Florida Sheriff Maj. Tod Goodyear said last year.
But authorities never forgot about the "Shawshank Fugitive" who eluded them for so many years.
Last May, Florida police arrived at his secluded and shabbily-kept trailer holding a photo of Freshwaters from 56 years earlier. At first, he claimed that he hadn't seen that man in years. But after questioning, the white bearded-Freshwaters confessed, Goodyear told The Associated Press.
While he appeared to be living a quiet life without any troubles with law enforcement, that shouldn't excuse him for not owning up to his past transgressions, Ohio prosecutors say — no matter his age.
Taarifa Kwa Umma Toka TCU Kuhusu Mgogoro wa Chuo Cha St. Joseph (SJUIT) Kampasa ya Arusha
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA KWA UMMA
MGOGORO WA CHUO KIKUU CHA MT. YOSEFU TANZANIA(SJUIT) KAMPASI YA ARUSHA
1.
Tunapenda kuuarifu umma kwamba, Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu
Tanzania (SJUIT) Kampasi ya Arusha ni mojawapo ya vyuo vikuu
vilivyosajiliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ambacho kilianza
kudahili wanafunzi kwa mara ya kwanza mwaka wa masomo 2013/2014.
2.
Kwa mujibu wa kifungu cha 5(1) cha Sheria ya Vyuo Vikuu, Sura ya 346 ya
Sheria za Tanzania, Tume ina mamlaka ya kusimamia na kudhibiti ubora na
usimamizi wa uendeshaji wa Vyuo Vikuu hapa nchini.
3.
Tume inatambua kuwa kwa nyakati tofauti kumekuwapo na matukio
ya migogoro baina ya uongozi wa Chuo Arusha na wanafunzi.
Tume
imekuwa ikifuatilia kwa karibu chimbuko la migogoro hiyo na kuchukua
hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kutoa maelekezo kwa uongozi wa chuo
kurekebisha kasoro zinazosababisha migogoro chuoni hapo.
Katika
kutekeleza azma hiyo, hivi karibuni Tume iliunda jopo la wataalam
kufanya ukaguzi wa kina katika Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu Tanzania
Kampasi ya Arusha. Ripoti ya ukaguzi huo iliwasilishwa tarehe
22/02/2016.
4.
Kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa kisheria, ripoti hii inatakiwa
kuwasilishwa na kujadiliwa na Kamati ya Ithibati ya Tume ya Vyuo Vikuu,
ambayo itatoa mapendekezo kwa Tume kuhusu hatua stahiki za maamuzi.
Kamati hii itakutana katika kikao cha dharura tarehe 25/02/2016 saa 3:00
asubuhi, na taarifa ya Kamati hiyo itawasilishwa kwenye Mkutano
wa dharura wa Tume tarehe hiyohiyo saa 9:00 alasiri.
5.
Kwa mantiki hiyo, taarifa rasmi kuhusu maamuzi yaliyofikiwa juu ya
hatma ya Kampasi hiyo ya Arusha ya Chuo cha Mt. Yosefu itatolewa siku ya
Ijumaa tarehe 26/02/2016.
6.
Kwa taarifa hii, Tume inawaomba wanafunzi wote wa Chuo cha Mt. Yosefu
Kampasi ya Arusha kuwa watulivu wakati huu ambapo suala lao
linashughulikiwa.
7.
Tume inapenda kutumia fursa hii pia kuwaarifu wanafunzi wote wa
vilivyokuwa Vyuo Vikuu Vishiriki vya Sayansi za Kilimo na Teknolojia
(SJUCAST) na Teknolojia ya Habari (SJUCIT), kuwa orodha ya majina yao na
vyuo walivyopangiwa inapatikana katika tovuti ya Tume ya Vyuo
Vikuu. Hivyo wanashauriwa kuondoka Chuoni mara moja na kujiandaa kwa
ajili ya kuripoti katika vyuo walivyopangiwa katika muhula wa pili.
Imetolewa na
PROF.
YUNUS
D. MGAYA
Katibu
Mtendaji
Tume
ya Vyuo Vikuu Tanzania
24 Februari 2016