Thursday, 23 July 2015

WANAWAKE 2,430,000 WAGUNDULIKA KUTOLEWA MIMBA KIHOLE NA ASILIMIA 18 WALIKUMBWA NA VIFO HUKU WENGINE MIFUKO YA UZAZI IKIOZA NCHINI TANZANIA.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Baadhi ya njia zisizo salama ambazo hutumika ni spoku za baiskeli, utomvu wa mti wa muhogo, vyuma vyenye ncha kali na vidonge bila kufuata maelekezo ya madaktari.Utomvu huo una sumu ya ‘oxytocin’ inayoweza kuharibu mimba na wengine hutumia vidonge vya “misoprostol” na “morning after” vyenye uwezo wa kuharibu mimba, ambavyo vinauzwa kiholela katika maduka mengi ya...
Share:

Sugu ajibu mapigo tuhuma za Afande Sele

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

MATOKEO YA KURA ZA MAONI UBUNGE CHADEMA- SUGU AENDELEA KUPETA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Wanachama wa Jumuiya ya Vijana Cahkechake wapanda miti

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Wednesday, 22 July 2015

Wema, Aunt wakutana wapigana vikumbo!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Wema, Aunt wakutana wapigana vikumbo!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Jamani Dada Martha…looh!-24

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: Martha kule nyumbani, akakumbuka kwamba alipanga kwenda kufanya usafi nyumbani kwa Roi, hivyo alijiandaa, akatoka akipanga kwamba atakapokaribia kufika ampigie simu Roi kumwambia ampitishie funguo za nyumba.  JIACHIE MWENYEWE SASA… Aliwaaga wapangaji wenzake akisema anatoka mara moja… “Jamani natoka, nitarudi lakini,” alisema Martha...
Share:

Kemikali zinavyoathiri sehemu za siri za wanawake

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wanawake hupenda sana kutumia marashi na vitu vingine kama sabuni zenye kemikali kwa ajili ya kujirembesha. Baadhi yao wamekuwa wakipenda usafi wao binafsi wakitumia vitu  ambavyo baadhi yake ni hatari kwani wengine wanapenda kusafisha sehemu zao za siri kwa kutumia sabuni zenye kemikali,...
Share:

Ulisema ukiolewa, ukipata kazi, ukiongezwa mshahara utafurahi; mbona sasa hufurahi?

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Karibu kila mtu anatafuta furaha kwa njia mbalimbali anazoona zinafaa. Wapo wanaoamini kuwa wakipata wake/waume, kazi, utajiri, wakijenga nyumba, wakipandishwa cheo na kufaulu mitihani watafurahi sana. Lakini tafiti zinaonesha kuwa asilimia 87 ya wanaohangaika kutafuta hayo wanayodhani yatawafurahisha huwa hawafurahi sawa na...
Share:

Mwenye nyumba amchukua mke wa mpangaji

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Ni siku nyingine tena tunakutana katika kona yetu ya Vituko Mtaani, leo tunapata simulizi kutoka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mbuyuni, Kata ya Azimio, Temeke jijini Dar es Salaam, Selemani Mponyo (pichani), hapa anaanza kusimulia kisa cha kusisimua. “Mambo mengine ni aibu kuyaongea kwa umri kama wetu lakini ngoja nisimulie...
Share:

Manyanyaso ya wadada wa kazi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY UTAKUWA umesikia au kuona simulizi nyingi zinazowahusu wadada wa kazi wanazokutana nazo katika familia mbalimbali. Licha ya umuhimu wao mkubwa, lakini baadhi yao wamekuwa wakichukuliwa kama watu wenye shida, wasio na maana ambao licha ya kazi yao ngumu na muhimu kwa familia, wamekuwa wakibezwa, kutukanwa na hata kupigwa. Filamu...
Share:

Mzazi umeharibika, utamnyoosha vipi mtoto?

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jamani mbona tunajisahau na kuamini kabisa kinachotokea leo tunaonewa. Mzazi jamani anazungumza mpaka mdomo unataka kupasuka lakini mtoto ndiyo kwanza kama katiwa moto anaambiwa afanye. Juzi nimemkuta mama mtu mzima akitokwa na machozi baada ya mabinti zake kushindwa kumsikiliza kila alilokuwa akiwaambia, lilikuwa likipitia kulia na kutokea kushot...
Share:

Ray c awapiga mizinga wanaomchumbia

...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 22,2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Monday, 20 July 2015

DOWNLOAD EMMANUEL AUSTIN FT BEN POL-RUKA JUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

Kura ya Maoni ubunge na udiwani Chadema Julai 20-25 mwaka huu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Baada ya zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kugombea ubunge kukamilika Majimbo yote yanatakiwa kuanza zoezi la kura ya maoni tarehe 20-25 Julai mwaka huu kwa kuzingatia Mwongozo wa Taratibu za Kura ya Maoni ambao umeshatumwa nchi nzi...
Share:

Saturday, 18 July 2015

MTV MAMA 2015 : DIAMOND PLATINUMS ASHINDA TUZO YA KWANZA BEST LIVE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   MTV MAMA 2015 : DIAMOND PLATINUMS ASHINDA TUZO YA KWANZA BEST LIVE...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger