MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM
Mvua zinazoendelea
kunyesha jijini Dar es Salaam, zimeleta adha kubwa, huku baadhi ya
wakazi wakilazimika kuhama baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko.
Gazeti la Mwananchi lilitembelea sehemu mbalimbali jijini jana...
Sunday, 30 March 2014
Mbowe-Tumalize mjadala kwa maridhiano badala ya vijembe

Mbowe-Tumalize mjadala kwa maridhiano badala ya vijembe
Baada
ya mvutano mkali ndani ya Bunge Maalum la Katiba, Mwenyekiti wa Umoja
wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, ameshauri wajumbe kumaliza
mjadala kwa maridhiano badala ya kulumbana na kurushiana vijembe.
Mbowe
...
VIDEO:MATCH BETWEEN MANCITY AND ARSENAL
The above video shows the match played soon between arsenal and man city where arsenal played well and attain results of draw of 1 goal against man city.watch it belo...
Saturday, 29 March 2014
VIDEO:HOW CANCER IS THE BIG PROBLEM
Just watch here below how cancer has caused a lots of problems in our life,just watch below
...
DR.BWIRE,JAMES MWALIMU BORA PHYSICS MATOKEO KIDATO CHA NNE 2013.
Hii hapa juu ni shule ya kata iliyopo mkoani simiyu ambayo imejitahidi ukilinganisha na shule kongwe za mkoa huo ambazo imezizidi,shule imefanyavizuri hasa katika somo la physics ambapo matokeo yake hapo chini yanajieleza yenyewe.
Walimu wafuatao wapewe pongezi kwa kusababisha matokeo hayo Bwire,James(Dr) ambaye ndo aliefanya vizuri katika somo la physics,wakati mwalimu wa biology Denis,Nkulu...
UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013
v\:* {behavior:url(#default#VML);}
o\:* {behavior:url(#default#VML);}
w\:* {behavior:url(#default#VML);}
.shape {behavior:url(#default#VML);}
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...