Friday, 7 October 2022

DC SHEKIMWERI AIPONGEZA TANESCO DODOMA KWA KUTOA HUDUMA KWA WATEJA

MKUU wa Wilaya ya Dodoma,Jabir Shekimweri,akizungumza wakati wa kilele cha wiki ya huduma kwa wateja kwa Shirika la TANESCO Mkoa wa Dodoma hafla iliyoendana sambamba na ukataji wa keki pamoja na uchangiaji damu iliyofanyika leo Oktoba 7,2022 jijini Dodoma. MKUU wa Wilaya ya Dodoma,Jabir Shekimweri,akisisitiza...
Share:

BOSI WANGU KANIONGEZEA MSHAHARA MARA NNE

...
Share:

MABANGO YENYE UJUMBE MZITO KWENYE TAMASHA LA JINSIA 2022 'KEKETENI RUSHWA'

Washiriki wa Tamasha la Jinsia Kanda ya Kaskazini wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali kuhusu Mila Kandamizi ambazo ni kikwazo cha kufikia haki za uchumi na maisha endelevu leo Ijumaa Oktoba 7,2022 katika viwanja vya Kwasa Kwasa wilayani Same. Tamasha la Jinsia Kanda ya Kaskazini limeandaliwa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA OKTOBA 7,2022

  0...
Share:

Thursday, 6 October 2022

WAZIRI JAFFO ATEMBELEA BANDA LA PSSSF MAONESHO YA SEKTA YA MADINI GEITA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jaffo (kushoto) akizungumza na Kaimu Meneja wa PSSSF Mkoa wa Geita Bw. Kiwamba Saidi (kulia) wakati Waziri huyo alipotembelea katika Banda la Mfuko huo katika Maonesho ya tano ya Sekta ya Madini yanayofanyika katika viwanja...
Share:

MAFUNZO YA KUENDELEZA UJUZI YATENGENEZA AJIRA KWA VIJANA NA WANAWAKE MKOANI MBEYA.

Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia (WB) Bi. Innocent Mulindwa (wa kwanza kushoto) akifafanua jambo wakati wa ziara katika kampuni ya RiversBank Fish Farm Wilayani Rungwe Mkurugenzi wa Kampuni ya RiversBank Fish Farm Pius Nyambacha (mwenye kofia) akifurahia jambo na ujumbe uliofanya ziara katika mashamba...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger