












Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe Innocent Bashungwa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa taarifa kuhusu Mapato na Matumizi ya Ndani ya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 leo Agosti 2,2022 Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu mpya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Prof. Riziki Shemdoe akizungumza na wakuu wa Mikoa pamoja na Makatiibu Tawala wa Mkoa wakati wakitoa taarifa kuhusu Mapato na Matumizi ya Ndani ya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 leo Agosti 2, 2022 Jijini Dar es Salaam
Wakuu wa Mikoa wakifuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe Innocent Bashungwa wakati akitoa taarifa kuhusu Mapato na Matumizi ya Ndani ya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 leo Agosti 2, 2022 Jijini Dar es Salaam
Wakuu wa Mikoa wakifuatilia mkutano wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe Innocent Bashungwa wakati akitoa taarifa kuhusu Mapato na Matumizi ya Ndani ya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 leo Agosti 2, 2022 Jijini Dar es Salaam
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma, akikata Utepe kwenye Mradi wa Majisafi na salama wa Nyamilangano Halmashauri ya Ushetu ambao unatekelezwa na RUWASA.
Na Marco Maduhu, USHETU
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma, ameweka jiwe la Msingi katika Mradi wa Majisafi na salama Katika kijji cha Ididi Kata ya Nyamilangano Ushetu wilayani Kahama ambao utaondoa adha ya ukosefu wa maji kwa wananchi.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma akizungumza wakati akiweka jiwe la Msingi kwenye Mradi wa Maji wa Nyamilangano Halmashauri ya Ushetu ambao umetekelezwa na RUWASA.
Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani akizungumza kwenye mradi huo wa Maji.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Festo Kiswaga, akizungumza kwenye mradi huo wa Maji.
Meneja wa RUWASA wilayani Kahama Mhandisi Magili Maduhu, akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi huo wa Maji.
Meneja wa RUWASA Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Juliety Payovela, akitetea jambo na mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Sahili Nyanzabara Geraruma, akiweka jiwe la Msingi kwenye Mradi wa Maji wa Nyamilangano Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama ambao unatekelezwa na RUWASA.
Tenki la kuhifadhia Maji kwenye Mradi wa Maji wa Nyamilangano Halmshauri ya Ushetu.
Mwenge wa Uhuru ukiwa kwenye Mradi wa Maji wa Nyamilangano Halmashauri ya Ushetu.