Friday, 4 June 2021

NEC yatangaza ratiba ya uchaguzi mdogo jimbo la Konde

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba na Kata 6 za Tanzania Bara. Tayari Tume imekwisha kupokea Barua kutoka kwa Spika wa Bunge kuwa kiti hicho kiko wazi. Taarifa iliyotolewa kwa Vyombo vya habari...
Share:

Mwanafunzi Mbaroni Kwa Kumuua Mpenzi Wake

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, linamshikilia mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa, Prudence Patrick (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumnyonga shingo mpenzi wake Petronila Mwanisawa (21), mkazi wa Semtema, Kata ya Kihesa, Iringa. Imedaiwa kuwa mtuhumiwa wa mauaji hayo ni mwenyeji wa Sumbawanga na...
Share:

NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA MAZIWA KUTEKELEZA AGIZO LA KUWAFIKIA SEKTA ISIYORASMI NA WAFANYABIASHARA WADOGO WADOGO

  Afisa Mwandamizi Mkuu Idara ya Matekelezo Mkoa wa NSSF Tanga Abubakari Mshangama akizungumza na waandishi wa habari wakati maonyesho ya wiki ya maziwa inayoendelea kwenye viwanja vya Tangamano Jijini Tanga Meneja Kiongozi Mahusiano na Elimu kwa Umma, Bi. Lulu Mengele akizungumza na waandishi...
Share:

HAYA HAPA MAGAZTI YA LEO IJUMAA JUNI 4,2021

...
Share:

Thursday, 3 June 2021

HALMASHAURI YA SHINYANGA YAZINDUA ZOEZI LA UTOAJI WA KINGATIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WANAFUNZI

  Wanafunzi wa shule ya Msingi Iselamagazi wakipata chakula kwa ajili ya kujiweka sawa ili wapewe kingatiba ya kichocho na  minyoo ya tumbo  Na Shinyanga Press Club Blog HALMASHAURI ya Wilaya ya Shinyanga, imezindua zoezi la utoaji wa kingatiba ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele...
Share:

MWANAFUNZI CHUO KIKUU CHA IRINGA AUAWA KWA KUNYONGWA NA MPENZI WAKE

Mwanafunzi Petronila Mwanisawa aliyeuawa *** Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia Prudence Patrick (21) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Iringa mkazi wa Semtema Iringa ,mwenyeji wa mkoa wa Kagera kwa tuhuma za kumnyonga mpenzi wake Petronila Mwanisawa (22) ambaye...
Share:

Zuchu Na Professor Jay Ndani Ya Jukwaa Moja Uzinduzi Wa Infinix Note 10 Pro.....Fanya Yote Kwa Wepesi Na Infinix Note 10 Pro G95 Processor.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa Kampuni ya simu Infinix kuzindua Infinix simu ya kwanza yenye sifa kuu ya G95 processor NOTE 10 pro. Infinix NOTE 10 pro kuzinduliwa kesho 4/6/2021 majira ya saa 12 jioni Mlimani City. Uzinduzi wa Infinix NOTE pro kupewa heshima ya namna yake kwa kuhudhuriwa na Mh. Joseph...
Share:

Waziri Mkuu: Hakuna Makinikia Yanayouzwa Bila Kulipiwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema makinikia yote yanayosafirishwa yamefuata taratibu na hakuna makinikia yanayouzwa bila kulipiwa kwanza. “Makontena yote yanayosafirishwa hivi sasa, tayari yameshauzwa na kulipiwa na fedha iko kwenye akaunti zetu. Hapo yako chini ya mnunuzi na yeye yuko huru kuyapeleka...
Share:

Hatutaruhusu Mtendaji Abaki Na Fedha Akisubiri Muda Wa Nyongeza – Waziri Mkuu

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali haitaruhusu mtendaji wake abaki na fedha kwa uzembe halafu ategemee kupewa muda wa nyongeza baada ya mwaka wa fedha kuisha. “Tunatarajia kufanya maboresho ya kanuni ambayo yataruhusu matumizi ya fedha miezi kadhaa baada ya mwaka fedha kuisha ili...
Share:

Dkt. Ndugulile Ataka Wasiolipa Kodi Waondolewe

Na Loema Joseph, DSM   Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile amelitaka Shirika la Posta Tanzania kukusanya madeni kutoka kwa watu wote wanaotumia milki za Shirika (wapangaji) ikiwemo wa majengo na viwanja kulipa kodi zao ndani ya miezi mitatu na kinyume...
Share:

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA RATIBA YA UCHAGUZI JIMBO LA KONDE, KATA SITA

 Na Mwandishi Maalum, Dodoma TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba na Kata 6 za Tanzania bara. Tayari Tume imekwisha kupokea Barua kutoka kwa Spika wa Bunge kuwa kiti hicho kiko wazi. Taarifa iliyotolewa...
Share:

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAJULIA HALI MAJERUHI BASI LA CLASSIC, AONYA MADEREVA KUENDESHA KWA MWENDOKASI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Khamis Hamza Chilo akizungumza na waandishi wa Habari ,alipotembelea kuona majeruhi wa ajali ya basi katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Shinyanga **** Na Marco Maduhu, Shinyanga NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Khamis Hamza Chilo, amesikitishwa na...
Share:

Tanzania Na Uturuki Zanuia Kuwawezesha Wanawake Kiuchumi

  Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali ya Uturuki imeahidi kushirikiana na Tanzania kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali zinazoikabili Jamii hapa nchini ikiwemo mapambano dhidi ya ukatili kwa Wanawake na watoto. Hayo yamebainishwa na Balozi wa Uturuki hapa nchini Dkt. Mehmet Gulluoglu...
Share:

Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame,

...
Share:

Vyama vya Upinzani Israel vyakubaliana kuunda serikali ya muungano

Vyama vya upinzani nchini Israel, vimekubaliana kuunda serikali mpya, na hii inamaanisha kuwa uongozi wa muda mrefu wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wa miaka 12 unafika mwisho. Kiongozi wa chama cha Yesh Atid cha mrengo wa kati Yair Lapid, ametangaza hatua hiyço baada ya vyama nane vya upinzani...
Share:

Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Mulamula Awasilisha Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Bungeni Jijini Dodoma

Mheshimiwa Balozi Liberata Rutageruka Mulamula (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki leo amewasilisha bungeni makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2021/2022 katika Mkutano wa Bajeti unaoendelea jijini Dodoma.  Akiwasilisha bungeni hotuba hiyo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger