
Vyama vya upinzani nchini Israel, vimekubaliana kuunda serikali mpya, na hii inamaanisha kuwa uongozi wa muda mrefu wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wa miaka 12 unafika mwisho.
Kiongozi wa chama cha Yesh Atid cha mrengo wa kati Yair Lapid, ametangaza hatua hiyço baada ya vyama nane vya upinzani...