Thursday, 3 January 2019

AMUACHA MUMEWE KITANDANI KISHA KUTOKA NJE NA KUJIUA KWA MTANDIO

Mkazi wa mtaa wa Nakayaya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, Awetu Makunula (44) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mtandio jirani na nyumbani kwa wazazi wake. Mume wa marehemu Awetu, Salum Namtikwe, amesema usiku walilala wote na kabla ya tukio hilo mkewe aliamka saa 11 alfajiri na kumuaga kuwa anatoka...
Share:

AKAMATWA AKISAFIRISHA WAHAMIAJI HARAMU KWA GARI LA LAKE OIL

Dereva wa lori la mafuta mali ya Kampuni ya Lake Oil, Christopher Kikwete (42) mkazi wa Kibamba Jijini Dar es Salaam anashikiliwa na polisi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusafirisha wahamiaji haramu 10 raia wa Ethiopia kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi mkoani huo, Mathias Nyange amesema hayo...
Share:

MAWAKILI WA 'MPEMBA WA MAGUFULI' WAIANGUKIA MAHAKAMA

Upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Yusuf Ali maarufu kama ‘Mpemba wa Magufuli' na wenzake, umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Da es Salaam kuchoshwa na maelezo ya upande wa mashtaka kuwa jalada la kesi hiyo lipo kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP). Wakili wa...
Share:

SHEPU YA HAMISA MOBETTO YAWA GUMZO MTAANI

SHEPU YA HAMISA MOBETO GUMZO MTAANI Mwaka 2018 ulikuwa ni mwaka ambao kulikuwa na mgawanyiko mkubwa katika mafanikio ya kimaisha ambapo watu wengi walionekana kutoufurahia kwa malalamiko ya vyuma kukaza wakimaanisha ugumu wa maisha kupitiliza tofauti na miaka mingine Kwa upande wa mastaa wa kiwanda cha Burudani hapa Tanzania kuna waliofanikiwa na kuna waliofeli katika mahangaiko yao.Ukiachilia mbali...
Share:

MHE. MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA TENK NNE ZA MAJI ZENYE UWEZO WA KUHIFADHI LITA 3,300,000 NYAMAGANA.

  Haya yanebainishwa na Mbunge Jimbo la Nyamagana Mhe. Stanslaus Mabula katika ziara yake MWAUWASA Mwanza Urbun Water Supply Supply and Sanitation Authority, Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Jijini Mwanza katika ukaguzi wa ujenzi wa tank nne za kuhifadhia maji zenye uwezo wa kuhifadhi Lita 3,300,000 zitakazo hudumia wakazi takribani 105,649. Mhe. Mabula amesema ukamilishwaji wa ujenzi tank...
Share:

WANAWAKE TUMUOGOPE MUNGU,KUZAA MTOTO NA KUMTELEKEZA NI KUHATARISHA MAISHA YAKE.

  NGARA. Na Mwandishi wetu, Wanawake wameshauriwa kumuogopa mungu na sheria za nchi kwa kuepuka vitendo vya ukatili dhidi ya watoto baada ya kuwapata kwa kuwazaa kisha kuwaua au kuwatelekeza wakiwaacha mazingira hatarishi. Ushauri huo umetolewa na mmoja wa wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Ngara mkoani Kagera Witness Mwanga baada ya kuungana na wenzake kutembelea watoto yatima wa kituo ANGEL’S...
Share:

TUNDU LISSU AMALIZA MATIBABU...KUACHIA WARAKA MZITO

Tundu Lissu amehitimisha matibabu yaliyomchukua siku 480 baada ya kuondolewa vyuma vilivyokuwa katika mguu wake wa kulia ambavyo aliwekewa Julai 9, mwaka jana ili kuunganisha mifupa. Baada ya kuhitimisha matibabu hayo yaliyotokana na majeraha aliyopata baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30...
Share:

TETESI ZA SOKA ULAYA ALHAMISI JAN,3 2019, OZIL KUBAKI ARSENAL

Christian Eriksen anagoma kutia saini mkataba mpya Tottenham, huku mkataba wa sasa wa kiungo huyo wa kati wa Denmark mwenye miaka 26 ukitarajiwa kufikia kikomo baada ya miezi 18. (Evening Standard) Juventus wamethibitisha kwamba wameonyesha nia ya kumtaka kiungo wa kati wa Arsenal Aaron Ramsey,...
Share:

LUGOLA – ASKARI WANAOCHAFUA JESHI LA POLISI, WAKATAFUTE KAZI NYINGINE.

  Na Allawi Kaboyo – Bukoba Kagera. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Kangi Lugola, ameanza Rasmi ziara yake Mkoani Kagera ambapo amekutana na idara pamoja na taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo, na kisha kufanya Mkutano wa hadhara katika viwanja vya mayunga mjini Bukoba sambamba na kusikiliza kero za wananchi. Mhe.Lugola katika hotuba yake iliyojaa ufafanuzi wa Utekelezaji wa ilani ya...
Share:

Wednesday, 2 January 2019

MBUNGE NA WANANCHI NGARA WATOFAUTIANA KUHUSU ARDHI WAMTAKA WAZIRI KUINGILIA KATI

Na Mwandishi wetu Mbunge wa jimbo la Ngara mkoani Kagera Alex Gashaza (CCM) amefanya mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Kazingati katika jimbo hilo chini ya vyombo vya ulinzi na usalama, baada ya kuwepo malalamiko ya kwamba anapinga wawekezaji kupata ardhi kijijini humo Mbunge huyo Gashaza amefanya mkutano huo hii leo ikiwa ni siku chache Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Taifa...
Share:

ZANZIBAR YAJIDHATITI NA UOKOAJI DHIDI YA AJALI ZA MAJI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejidhatiti kuwaokoa wananchi wake kutokana na ajali zinazotokea baharini kwa kununua vifaa vya kisasa vinavyokwenda na wakati uliopo. Dk. Shein alisema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kujiimarisha kwa kukipa vifaa vya kisasa vya uzamiaji na uokozi kikosi...
Share:

SERIKALI YAWATAKA WACHIMBAJI WADOGO KUWA WAZALENDO  KWA KULIPA KODI NA TOZO ZINAZOTAKIWA.

Hayo yamesemwa leo January 02, 2019 na Naibu Waziri wa Madini Mheshimiwa Doto Mashaka Biteko alipokuwa akifungua mafunzo ya uchimbaji wenye tija kwa wachimbaji wadogo wilaya ya Bukombe mkoani Geita. Akihutubia wachimbaji hao, Mheahimiwa Biteko ameendelea kuweka wazi nia ya serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dr. John Pombe Magufuli ya kuhakikisha wachimbaji wadogo wanasaidiwa na kifikia uchimbaji...
Share:

MRADI WA UJENZI VYO BORA KUTOKA MWAUWASA WAZINUFAISHA SHULE,ZAHANATI NA SOKO NYAMAGANA

Wilaya ya Nyamagana ni miongoni mwa wilaya mbili Mkoani Mwanza zinazonufaika na Mradi wa usafi wa Mazingira unaotekelezwa na shirika la Maji safi na maji taka MWAUWASA Mwanza Urban water Supply and Sanitation Authority, Kwa ujenzi wa Vyoo bora na Vya Kisasa katika shule 14, Zahanati moja ya Mkolani pamoja na Soko la Igogo. Akiongea katika ziara maalum MWAUWASA Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo la...
Share:

MAAFANDE WA JKT TANZANIA WAPIGISHWA KWATA NA WAPIGA DEBE WA STAND SHINYANGA

Wapiga debe wa Stand,timu ya stand united al maarufu kwa jina la chama la wana imemaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu soka tanzania bara msimu wa 2018/19 kwa kuwapigisha kwata maafande wa jkt tanzania kwa kuwachapa bao 1-0  Mchezo huo wa ligi kuu soka Tanzania bara umepigwa leo Januari 2 ...
Share:

MBOWE NA VIGOGO WENGINE 13 KUPISHANA MAHAKAMA YA KISUTU KESHO

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na vigogo wengine 13 kesho Alhamisi Januari 3, 2019 watafika katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi zinazowakabili. Miongoni mwa kesi hizo ni za kufanya mikusanyiko isivyo halali inayowakabili viongozi tisa wa Chadema. Kati ya vigogo hao wa Chadema,...
Share:

NGULI WA SOKA MAKELELE : PAUL POGBA ANA DHARAU WAPINZANI

Wachezaji wakongwe mbalimbali (kwenye duala jeusi ni Claude Makélélé. Kiungo wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Ufaransa, Claude Makelele amesema mtindo wa ushangiliaji mabao wa kiungo wa Manchester United Paul Pogba ni kutoheshimu wapinzani wake. Makelele ameeleza kuwa Pogba hastahili...
Share:

KESI YA JAMAL MALINZI NA WENZAKE KUSIKILIZWA SIKU TATU MFULULIZO

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajia kusikiliza ushahidi wa kesi ya Utakatishaji fedha inayomkabili aliyekuwa Rais wa (TFF) Jamal Malinzi na wenzake kwa siku tatu mfululizo. Hayo yameelezwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya kesi hiyo kuitishwa leo kwa ajili ya kutajwa. Katika...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger