Watu
wengi watawakumbuka Jennifer na Patrick kwa jinsi walivyoweza kutikisa
tansia ya filamu Tanzania kipindi cha nyuma walipoibuliwa na marehemu
Steven Kanumba.
Watoto hawa wawili walicheza kwa ustadi mkubwa katika filamu za Uncle JJ na This is It zote za marehemu Kanumba.
Kwa
...
Saturday, 7 January 2017
Vigogo Wengine Kutumbuliwa TANESCO,Lengo ni kuimarisha utendaji wa Shirika Hilo
Siku
moja baada ya vigogo watatu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)
kushushwa vyeo, uongozi wa shirika hilo umesema utaendelea na fagio hilo
kama njia ya kuongeza ufanisi kwenye utendaji.
Vigogo
hao wa ngazi za juu ambao ni wakurugenzi, wamehamishiwa Chuo cha
Mafunzo...
Waziri Nchemba: Hatutamhukumu mtu kwa kazi anayoifanya, tutamhukumu kwa kosa analolifanya

Ikiwa
imepita siku moja tangu waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mwigulu
Nchemba kusema kuwa watakaofanya unyama wa kuua au kuchinja watu au
wanyama kwa mapanga na sime wataona chamoto, bado kauli hiyo imekaidiwa
kwa baadhi ya watu wanaosadikika kuwa ni wa jamii ya kifugaji baada...
Marekani kumsaka mtoto wa Osama Bin Laden Aliyeapa Kulipa Kisasi
Marekani
imesema kuwa imemuorodhesha mtoto wa mwisho wa Osama Bin Laden, Hamza,
katika orodha ya magaidi wanaosakwa na taifa hilo.
Wizara
ya mambo ya nje ya Marekani imesema kuwa Hamza Bin Laden ameanza
kushiriki katika maswala ya kundi la al Qaeda, kundi la jihad...
Serikali yapiga marufuku ununuzi wa sare za jeshi la zima moto na uhamiaji toka taasisi binafsi
Naibu
waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhandisi Hamad Yusuph Masaun amepiga
marufuku ununuzi wa sare za jeshi la zima moto na uhamiaji kwa taasisi
binafsi na badala yake ameagiza sare hizo zizalishwe katika viwanda vya
jeshi la magereza nchini.
Mhandisi
Masauni ameyasema...
Lowassa Atajwa Kusababisha Deni la Milioni 1
Jina
la waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa limetajwa na mkaazi mmoja wa
Mbeya mbele ya Mkuu wa Mkoa huo, Amos Makalla kuwa sababu ya deni la
shilingi milioni moja kutokana na mapenzi ya wafuasi wake.
Mkaazi
huyo wa kata ya Ruanda Nzovwe aliyejitambulisha kwa jina la Amos...
Friday, 6 January 2017
MAJINA YA WALIOPATA MKOPO SUA AWAMU YA 10 NA 11 2016/2017
Batch 11 allocations for SUA Students receiving loan in Academic year 2016/2017
Click link to Download >> Batch 11 Allocations for SUA Students Receiving Loan from HESLB in Academic year 2016/2017
Batch 10 Grant allocations for SUA Students in Academic year 2016/2017
Click link to Download >> Batch 10 Grant Allocations for SUA Students in Academic year...
Watu 11 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kisumu
Ajali za barabarani zimekithiri, Watu 11 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kisumu, nchini Kenya.
Watu 11
wamepoteza baada ya kutokea kwa ajali ya barabara katika Kaunti ya
Kisumu Magharibi mwa Kenya. Ajali za barabarni zimekithiri katika nchi
za Afrika hasa afrika ya Mashariki
Kamishena
...
Ajinyonga kwa kunyimwa na mkewe samaki mbichi
MKAZI mmoja wa kijiji cha Kalundi kilichopo kata ya Kipande wilayani
Nkasi, Vedast Kazumba (51) amejiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa
kuwa alighadhabika, baada ya mkewe kumnyima kitoweo cha samaki mbichi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa,...
Amuua mkewe kwa nyundo Kisa Wivu wa Mapenzi

Mwanamke
mmoja mkazi wa Mikumi wilayani Keya, Mbeya aliyefahamika kwa jina la
HILDA SIGARA amefariki dunia akiwa anapelekwa Hospitali kwa matibabu
baada ya kupigwa nyundo kichwani na mume wake aitwaye REBSON TWEVE umri
kati ya miaka 30 – 35
Kamanda
wa polisi mkoani humo...
Marekani: Ilikuwa ajabu Urusi kuingilia uchaguzi wa 2016
Image captionUrusi inalalamikiwa kudukua taarifa za uchaguzi wa Marekani 2016
Mkurugenzi
wa usalama wa Marekani James Clapper, kitendo cha Urusi kuingilia
uchaguzi wa Marekani mwaka uliopita kilikuwa cha ajabu kushuhudia katika
utendaji kazi wake.
Akizungumza
...
5,219 wafa ajali za barabarani

AJALI za barabarani katika mkoa wa Dar es Salaam, zimeongezeka kutoka
3,710 kwa kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2015 hadi kufikia ajali
5,219 kwa kipindi kama hicho mwaka jana. Hilo ni ongezeko la ajali
2,009 ambazo ni sawa na asilimia 36.5. Aidha kuna ongezeko la...
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humprey Polepole atangaza neema kwa Wanafunzi waliokosa mikopo

Katibu
wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humprey Polepole
amewatangazia neema wanafunzi wa elimu ya juu waliokosa mikopo,
akiwataka wamtafute ili awaoneshe cha kufanya
Polepole ambaye alikuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni cha EATV
aliuzwa na baadhi...