Saturday, 7 January 2017

Picha 8: Muonekano wa sasa wa Jennifer na Patrick walioibuliwa na marehemu Steven Kanumba

Watu wengi watawakumbuka Jennifer na Patrick kwa jinsi walivyoweza kutikisa tansia ya filamu Tanzania kipindi cha nyuma walipoibuliwa na marehemu Steven Kanumba. Watoto hawa wawili walicheza kwa ustadi mkubwa katika filamu za Uncle JJ na This is It zote za marehemu Kanumba. Kwa ...
Share:

Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya January tarehe 7.1.2017

...
Share:

Vigogo Wengine Kutumbuliwa TANESCO,Lengo ni kuimarisha utendaji wa Shirika Hilo

Siku moja baada ya vigogo watatu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushushwa vyeo, uongozi wa shirika hilo umesema utaendelea na fagio hilo kama njia ya kuongeza ufanisi kwenye utendaji. Vigogo hao wa ngazi za juu ambao ni wakurugenzi, wamehamishiwa Chuo cha Mafunzo...
Share:

Waziri Nchemba: Hatutamhukumu mtu kwa kazi anayoifanya, tutamhukumu kwa kosa analolifanya

Ikiwa imepita siku moja tangu waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba kusema kuwa watakaofanya unyama wa kuua au kuchinja watu au wanyama kwa mapanga na sime wataona chamoto, bado kauli hiyo imekaidiwa kwa baadhi ya watu wanaosadikika kuwa ni wa jamii ya kifugaji baada...
Share:

Marekani kumsaka mtoto wa Osama Bin Laden Aliyeapa Kulipa Kisasi

Marekani imesema kuwa imemuorodhesha mtoto  wa mwisho wa Osama Bin Laden, Hamza, katika orodha ya magaidi wanaosakwa na taifa hilo. Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imesema kuwa Hamza Bin Laden ameanza kushiriki katika maswala ya kundi la al Qaeda, kundi la jihad...
Share:

Serikali yapiga marufuku ununuzi wa sare za jeshi la zima moto na uhamiaji toka taasisi binafsi

Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhandisi Hamad Yusuph Masaun amepiga marufuku ununuzi wa sare za jeshi la zima moto na uhamiaji kwa taasisi binafsi na badala yake ameagiza sare hizo zizalishwe katika viwanda vya jeshi la magereza nchini. Mhandisi Masauni ameyasema...
Share:

Lowassa Atajwa Kusababisha Deni la Milioni 1

Jina la waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa limetajwa na mkaazi mmoja wa Mbeya mbele ya Mkuu wa Mkoa huo, Amos Makalla kuwa sababu ya deni la shilingi milioni moja kutokana na mapenzi ya wafuasi wake. Mkaazi huyo wa kata ya Ruanda Nzovwe aliyejitambulisha kwa jina la Amos...
Share:

Friday, 6 January 2017

MAJINA YA WALIOPATA MKOPO SUA AWAMU YA 10 NA 11 2016/2017

Batch 11 allocations for SUA Students receiving loan in Academic year 2016/2017 Click link to Download >> Batch 11 Allocations for SUA  Students Receiving Loan from HESLB in Academic year 2016/2017 Batch 10 Grant allocations for SUA Students in Academic year 2016/2017 Click link to Download >> Batch 10 Grant Allocations for SUA  Students in Academic year...
Share:

Magazetini Leo Ijumaa Januari 6, 2017

...
Share:

Watu 11 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kisumu

Ajali za barabarani zimekithiri, Watu 11 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kisumu, nchini Kenya. Watu 11 wamepoteza baada ya kutokea kwa ajali ya barabara katika Kaunti ya Kisumu Magharibi mwa Kenya. Ajali za barabarni zimekithiri katika nchi za Afrika hasa afrika ya Mashariki Kamishena ...
Share:

Ajinyonga kwa kunyimwa na mkewe samaki mbichi

MKAZI mmoja wa kijiji cha Kalundi kilichopo kata ya Kipande wilayani Nkasi, Vedast Kazumba (51) amejiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa alighadhabika, baada ya mkewe kumnyima kitoweo cha samaki mbichi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa,...
Share:

Amuua mkewe kwa nyundo Kisa Wivu wa Mapenzi

Mwanamke mmoja mkazi wa Mikumi wilayani Keya, Mbeya aliyefahamika kwa jina la HILDA SIGARA  amefariki dunia akiwa anapelekwa Hospitali kwa matibabu baada ya kupigwa nyundo kichwani na mume wake aitwaye REBSON TWEVE umri kati ya miaka 30 – 35 Kamanda wa polisi mkoani humo...
Share:

Marekani: Ilikuwa ajabu Urusi kuingilia uchaguzi wa 2016

Image captionUrusi inalalamikiwa kudukua taarifa za uchaguzi wa Marekani 2016 Mkurugenzi wa usalama wa Marekani James Clapper, kitendo cha Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani mwaka uliopita kilikuwa cha ajabu kushuhudia katika utendaji kazi wake. Akizungumza ...
Share:

5,219 wafa ajali za barabarani

AJALI za barabarani katika mkoa wa Dar es Salaam, zimeongezeka kutoka 3,710 kwa kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2015 hadi kufikia ajali 5,219 kwa kipindi kama hicho mwaka jana. Hilo ni ongezeko la ajali 2,009 ambazo ni sawa na asilimia 36.5. Aidha kuna ongezeko la...
Share:

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humprey Polepole atangaza neema kwa Wanafunzi waliokosa mikopo

  Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humprey Polepole amewatangazia neema wanafunzi wa elimu ya juu waliokosa mikopo, akiwataka wamtafute ili awaoneshe cha kufanya Polepole ambaye alikuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni cha EATV  aliuzwa na baadhi...
Share:

Thursday, 5 January 2017

Waziri Mkuu aonya ujenzi holela Manispaa Kigamboni

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger