Tuesday, 19 April 2016

MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRIL TAREHE 19.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

Monday, 18 April 2016

MWENGE WAWASHWA NA MAKAMU WA RAIS MH.SAMIA ,ANGALIA HAPA RATIBA YA MBIO ZA MWENGE 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Yatosha

MOROGORO


MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan leo atawasha Mwenge wa Uhuru na kuzindua rasmi mbio zake ili kukimbizwa katika halmashauri za wilaya na Manispaa zipatazo 179 za mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani.

Uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambao utatanguliwa na shamrashamra za halaiki kutoka kwa vijana zaidi ya 1,000 na vikundi vya utamaduni kutoka wilaya za Morogoro na nje ya mkoa huo.MWENGEKatika uzinduzi huo, viongozi mbalimbali wa Serikali, dini na vyama vya siasa wamealikwa kushiriki wakiwemo pia mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Miongoni mwa mawaziri ambao hadi jana walikuwa tayari wamewasili mkoani hapa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Bunge, Sera, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama na Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wazee, Wanawake na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mouldine Castico.

Mawaziri hao jana waliungana na Makamu wa Rais kutembelea mradi wa vijana wajasiriamali wa mafundi seremala eneo la Mtaa wa Betero, Kata ya Sabasaba, Manispaa ya Morogoro. Kaulimbiu za Mwenge wa Uhuru mwaka huu ni “Vijana ni Nguvu kazi ya Taifa, Washirikishwe na Kuwezeshwa.”

Baada ya kuwashwa leo, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kuhitimishwa wilayani Gairo ambako Aprili 25, mwaka huu utakabidhiwa mpakani mwa wilaya hiyo na Kilindi ya Mkoa wa Tanga ili kuendelea na mbio zake.

Kwa mujibu wa ratiba ya mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka huu, utakimbizwa katika Halmashauri na Manispaa zipatazo 179 na kilele cha mbio hizo ni Oktoba 14, mwaka huu katika Mkoa wa Simiyu.

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU APRILI TAREHE 18.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Sunday, 17 April 2016

ANGALIA HAPA MATOKEO YA UE 2016 CHUO CHA SUA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Je,umeangalia matokeo yako na umeshindwa kuyaona kwa sababu mtandao unasumbua?Pata kuangalia hapa matokeo yako ya UE kwa wanafunzi wa SUA kwa link ya uhakika bila kukwama.


<<<<<<PLEASE CLICK HERE>>>> 

Please share na wenzako
its innocent the blogger boy!
Share:

TUNDAMAN APATA AJALI YA GARI IRINGA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Muimbaji wa Tip Top Connection, Tundaman, amepata ajali mbaya ya gari Jumapili hii. Ajali hiyo imetokea katika eneo liitwalo Idetelo, Nyololo katika mji wa Makambako wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Aurion

Aliyekuwa dereva wa gari hilo amepoteza maisha na mwili wake umehifadhiwa kwenye hospitali ya wilaya ya Mufindi.


Meneja wa kundi hilo, Babutale amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

“Nimepokea simu nyingi za kuulizwa hali ya msanii wangu @tundamantz mungu mkubwa ametoka salama ingawa wamepata mtihani mkubwa wa kumpoteza dereva aliyekua anaendesha gari yao amefariki Hapo Hapo. Kazi yake mola aina makosa,” ameandika Tale kwenye Instagram.
Share:

Tangazo la Usaili 20 Aprili 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Image result for serikali ya tanzania 
PropertyValue
Name:Tangazo la Usaili 20 Aprili 2016
Description:TANGAZO LA KUITWA KAZINI 16 MACHI, 2016 Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti halisi (Orijinal Cerificates)
Filename:TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 20 Aprili 2016.pdf
Filesize: 629.41 kB
Filetype:pdf (Mime Type: application/pdf)
Creator:psrsweb
Created On: 04/14/2016 19:11
Viewers:Everybody
Maintained by:Editor
Hits:25492 Hits
Last updated on: 04/14/2016 19:17
Homepage:
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger