Funguka!
Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva,
Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya
bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya
‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa vidole na baadhi
ya watu, Ijumaa Wikienda ‘lilikabana naye koo’.
KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili.
Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa ametaharuki.
Rais
Dk. Jakaya Kikwete akipokea heshima ya Wimbo wa Taifa mara baada ya
kuwasili katika Viwanja vya Chuo cha Maofisa Magereza kilichopo Ukonga
jijini Dar.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Takribani watu 11 wameuawa Magharibi mwa Mali wakati wa mapigano kati ya wapiganaji wa Kiislamu na Jeshi.
Mkazi mmoja kwenye Mji wa Nara, ameeleza kuwa watu hao waliwasili kwa
magari na pikipiki
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Bw. Wiseman Mwakyusa
Luvanda(2) mmoja wa Wapanda baiskeli wawili kati ya wanne waliofunga
safari kwa baiskeli kwa kilomita 830 kutoka
Sixty
per cent of children aged one to five years in Lindi Region suffer
acute malnutrition, stunting them in height and adversely affecting
their bodies’ internal organs.
The Project Manager of the Partnership for Nutrition in Tanzania
(PANITA) Joseph Mugyabuso said the region’s children suffer various
diseases because they lack immunity, which is due to malnutrition.
He told reporters in Bagamoyo on Friday that Dodoma, Iringa and
Shinyanga are among regions with high rates of malnutrition of 60 per
cent. Tanzania’s biggest challenge is poor diet due to poverty of many
families that makes children under the age of five years to be stunted,
Mugyabuso added.
The
public has been advised to regularly check their health status for
early diagnosis of non communicable disease like cancer, heart and
diabetes disease in order to help save lives of the majority patients.
The Acting Deputy Director of Mental Health and Substance Abuse and Non
Communicable Diseases Dr Auson Rwehumbiza told the presses yesterday in
Dar es Salaam that such diseases have placed patients at their feet
because of late diagnosis.
Government
yesterday refuted claims that 22 deaths that occurred in January 2014
and April 2015 at North Mara mine were caused by soldiers guarding the
mine.
The deaths were caused by a fight among illegal miners, Deputy Minister
for Energy and Minerals Charles Mwijage said in response to a
supplementary question by Tarime MP Nyambari Nyangwine (CCM).
Nyangwine wanted to know the number of villagers allegedly killed by
soldiers guarding the mine that turned place into 'disaster area'
because of the killings of 22 youth.