Tuesday, 9 June 2020

BREAKING NEWS: Rais wa Burundi aliyemaliza muda wake, Pierre Nkurunziza afariki dunia.

...
Aliyekua Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia  kwa mshtuko wa Moyo

Serikali ya Burundi imetangaza hayo leo kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter.

Ujumbe kwenye ukurasa huo umeeleza kuwa serikali ya Burundi inatangaza kwa masikitiko makubwa kifo cha Rais Nkurunziza na kuongeza kuwa amefariki kutokana na tatizo la moyo.


Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1963, ambapo alikuwa Mwenyekiti wa chama tawala cha CNDD-FDD, hadi alipochaguliwa kama Rais wa Burundi mwaka 2005.



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger