Wednesday, 8 January 2020

Nafasi za Kazi Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka-DART

...
Mtendaji  Mkuu  wa  Wakala  wa  Mabasi  Yaendayo  Haraka,  anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa watanzania wenye sifa na uwezo kujaza nafasi wazi mbili (2)kwa kazi ya Derevakama zilivyobainishwa katika tangazo hili.

1.0.DEREVA (2)
1.1.SIFA ZA MUOMBAJI.
I.Cheti cha Mtihani wa Kidatocha IV, 
II.Leseni ya daraja ”C1’’au “E” ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda wa mwaka mmoja bila kusababisha ajali,
III.mafunzo  ya  msingi  ya  uendeshaji  magari  (Basic  Driving  Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au chuo cha Usafirishaji (NIT). IV.Waombaji   wenye   Cheti   cha   Majaribio   ya   Ufundi   Daraja   la   II watafikiriwa kwanza.
 
1.2.MAJUKUMU YA KAZI.
II.Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari,
III.Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenyesafari za kikazi,
IV.Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari,
V.Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali,
VI.Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari,
VII.Kufanya usafi wa gari, na
VIII.Kufanya kazi nyingine kadri anavyoelekeza na Msimamizi wake

Kutuma Maombi <<BOFYA HAPA>>


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger