Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka, anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa watanzania wenye sifa na uwezo kujaza nafasi wazi mbili (2)kwa kazi ya Derevakama zilivyobainishwa katika tangazo hili.
1.0.DEREVA (2)
1.1.SIFA ZA MUOMBAJI.
I.Cheti cha Mtihani wa Kidatocha IV,
II.Leseni ya daraja ”C1’’au “E” ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda wa mwaka mmoja bila kusababisha ajali,
III.mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au chuo cha Usafirishaji (NIT). IV.Waombaji wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Daraja la II watafikiriwa kwanza.
1.0.DEREVA (2)
1.1.SIFA ZA MUOMBAJI.
I.Cheti cha Mtihani wa Kidatocha IV,
II.Leseni ya daraja ”C1’’au “E” ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda wa mwaka mmoja bila kusababisha ajali,
III.mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au chuo cha Usafirishaji (NIT). IV.Waombaji wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Daraja la II watafikiriwa kwanza.
1.2.MAJUKUMU YA KAZI.
II.Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari,
III.Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenyesafari za kikazi,
IV.Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari,
V.Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali,
VI.Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari,
VII.Kufanya usafi wa gari, na
VIII.Kufanya kazi nyingine kadri anavyoelekeza na Msimamizi wake
Kutuma Maombi <<BOFYA HAPA>>
II.Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari,
III.Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenyesafari za kikazi,
IV.Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari,
V.Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali,
VI.Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari,
VII.Kufanya usafi wa gari, na
VIII.Kufanya kazi nyingine kadri anavyoelekeza na Msimamizi wake
Kutuma Maombi <<BOFYA HAPA>>
0 comments:
Post a Comment