Monday, 13 January 2020

Basi la Bright Line Lapata ajali Shinyanga na kusababisha vifo na Majeruhi

...
SALVATORY NTANDU
Watu wawili ambao ni abiria wanadhaniwa kupoteza Maisha huku wengine zaidi ya 50 wakijeruhiwa katika ajali ya basi kampuni ya  Bright Line lenye namba za  za usajili T 437 DFJ lililokuwa kikitokea jijini mwanza kwenda Jijini Dodoma.


Ajali hiyo imetokea jana majira ya saa tatu asubuhi Katika eneo la Isela kata ya Samuye Manispaa ya Shinyanga ambapo taarifa za awali zinasema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi hilo alikuwa akijaribu kumkwepa dereva boda boda ambaye aligongwa na kukandamizwa na basi hilo

Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa baada ya kumgonga mwendesha pikipiki huyo basi hilo pia liligonga gari dogo lingine aina ya Corolla Wagon yenye namba za usajili T 173 ANW.

Endelea kutembelea Mpekuzi Blog taarifa kwa kina itakujia hivi karibuni




Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger