Friday, 31 May 2019

WADAU WAANZA KUJITOKEZA KUMSAIDIA BINTI ANAYEUGUA UGONJWA WA NGOZI MWAKA WA 16 SASA

...
Share:

NAMNA WAKULIMA WANAVYOPOTEZA FURSA KWA KUTOKUCHANGAMKIA FURSA

Kaimu Mkurugenzi Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendele, Dk Fortunatus Kapinga akionyesha maziwa yanayotegenezwa kwa kutumia korosho. Kaimu Mkurugenzi Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Naliendele, Dk Fortunatus Kapinga akionyesha maziwa yanayotegenezwa kwa kutumia korosho. Mtafiti kutoka kituo cha...
Share:

WAZIRI BITEKO ASHUHUDIA MAKABIDHIANO YA DHAHABU ILIYOKAMATWA MWANZA

Na GB Pazzo, BMG Waziri wa Madini, Doto Biteko ameshuhudia makabidhiano ya mali ikiwemo dhahabu iliyokamatwa katika Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, ikisafirishwa kinyume na sheria baada ya kutaifishwa na mahakama kuwa mali ya Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika leo Mei...
Share:

MJAMZITO AJIPASUA TUMBO KUTOA MTOTO TUMBONI RUKWA

Mwanamke mmoja anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto, wilayani Nkasi mkoani Rukwa Kusini Magharibi mwa Tanzania. Tukio hilo limevuta hisia za wengi na wengine wakiwa katika taharuki wengi wakifika katika kituo cha afya kushuhudia ukweli wa tukio hilo linalodaiwa kutekelezwa...
Share:

MTOTO ACHOMWA MOTO,AKATWA VIWEMBE KISA KAKOMBA MBOGA YA KISAMVU

Mkazi wa Kata ya Buhalahala mjini Geita, Magreth Digugulo, anadaiwa kumchoma moto na kisha kumkatakata na wembe mjukuu wake kwenye mkono wa kulia kwa madai ya kukomba mboga. Mtoto huyo (jina linahifadhiwa) alizungumza na Nipashe jana nyumbani kwao alitaja sababu za kufanyiwa kitendo hicho kuwa ni...
Share:

NEC YATANGAZA NAFASI ZA AJIRA ZA MUDA ZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi za muda kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura. Kwa mujibu wa tangazo la maombi ya ajira hizo lililosainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Mabamba Rajabu Moses, Watanzania wenye umri kuanzia miaka 18 na wasiozidi miaka 45 wametakiwa...
Share:

ARIF TANZANIA ATAKA WENYE KIPATO KUSAIDIA WASIO NA KIPATO

Na Shushu Joel,Chalinze. Taasisi ya Miraj Islamic Centre yenye makao yake mkuu jijini Dar es Salaam imetoa wito kwa watu wote walio na nafasi ya kipato kuwasaidia wasio na kipato kama ilivyoagizwa katika vitabu vya Mungu. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa taasisi hiyo Sheikh Arif Yusuf Abdulrehman...
Share:

MHUBIRI ATUKANA MAASKOFU WASIOMHESHIMU...WAUMINI WANAOMVIZIA MKEWE

Mhubiri mwenye utata James Ng'ang'a wa Kanisa la Neno Evangelism Center nchini Kenya ametishia kuchukua hatua mikononi mwake na kuyafunga matawi mengine ya kanisa lake kwa kile alichokitaja kama kukosewa heshima.  Wakati wa ibada, Ng'ang'a amewaonya waumini, maaskofu dhidi ya kummezea...
Share:

VAZI LA WAZIRI MKUU LAZUA GUMZO...ATINGA NA SUTI YA SKETI NA SANDOZI IKULU

Mkuu wa Fiji Frank Bainimarama wakati alipohudhuria Mkutano wa Shirika la Umoja wa mataifa la makazi mjini Nairobi amepata fursa ya kumtembelea rais wa Kenya Uhuru kenyatta Wakenya kwenye mitandao ya kijamii wameonyesha kupigwa na butwaa na vazi alilovaa Waziri mkuu wa Fiji Frank Bainimarama wakati...
Share:

Makubwa Haya : WASHIRIKI WA MISS INDIA 2019 WOTE WANAFANANA AISEE!! WOTE WEUPE PEEEE!!

Ni shindano ambalo lilianzisha safari ya nyota wa sinema za Bollywood Priyanka Chopra, ndio maana shndano la mwaka huu la Miss India limewavutia washiriki wengi ambao walitabasamu wakati walipopiga picha za kujitangaza. Bila shaka ni shindano ambalo lina uwezo wa kubadilisha maisha yao. Lakini badala...
Share:

STAND UNITED WAISHANGAA TFF...SASA WAPIGA DEBE KUSAKA WACHAWI WA SHERIA ZA SOKA

Uongozi wa klabu ya wapiga Debe wa Stand united maarufu Chama la wana ya mjini Shinyanga, umesema haujaridhishwa na maamuzi ya shirikisho la soka nchini, TFF, la kuishusha daraja klabu hiyo inayolingana alama na timu ya Kagera Sugar ambayo imebakizwa ligi kuu soka ya Tanzania bara, licha ya Stand...
Share:

Thursday, 30 May 2019

Picha : DC MBONEKO AFUNGA MASHINDANO YA UMISSETA MKOANI SHINYANGA... ASISITIZA VIJANA KUBEBA MAKOMBE KITAIFA

Na Marco Maduhu - Malunde1 blog  Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, amefunga rasmi mashindano ya michezo kwa shule za Sekondari (UMISSETA 2019) Mkoani Shinyanga, na kuwataka washindi watakaoungana na kuwa timu moja ya mkoa, wakashiri kikamilifu katika mashindano hayo ngazi ya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger