Monday 5 December 2016

Rais Shein aagiza Mitaala ya ujasiriamali Shule za sekondari ili Kuwasaidia Vijana Kujiajiri

Share:

Lowassa: Fidel Castro ni shujaa wangu wa dunia


Share:

Mzee wa Upako: Tajeni nilikunywa pombe gani na Katika Baa Gani

Share:

Yusuf Manji Atii Sheria Bila Shuruti,Alipewa saa 24 kuondoka kwenye jengo la PSPF Plaza (Quality Plaza)

Mfanyabiashara Yusuph Manji jana alitii sheria bila shuruti kwa kuhama kwenye jengo la Quality Plaza akitekeleza amri ya Mahakama ya kumtaka kurejesha jengo hilo ambalo ni mali ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF). 
Mbali na kutekeleza amri ya kuhama baada ya kupewa notisi ya saa 24 iliyomalizika juzi, pia anatakiwa kulipa malimbikizo ya deni la pango la Dola za Marekani 6.1 milioni (zaidi ya Sh13 bilioni), ambazo kama asipozilipa mali zake zitakamatwa. 
Hatua hiyo imekuja baada ya Mahakama Kitengo cha Ardhi kutoa hukumu ya kumtaka Manji kuondoka kwenye jengo hilo pamoja na kuilipa deni la pango. 
Alipotakiwa kuzungumzia suala hilo, Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga hakupatikana kupitia simu yake ya mkononi. 
Viongozi wa kampuni za Manji waliokuwa wakisimamia uondoaji wa vifaa uliomalizika jana asubuhi, walikataa kuzungumza na waandishi wa habari waliofika kufuatilia tukio hilo. 
Tangu juzi chini ya usimamizi wa kampuni ya udalali ya Yono Auction Mart, Manji na kampuni zake walikuwa wanaondoa vifaa mbalimbali vilivyopo kwenye jengo hilo na kuhitimisha shughuli hiyo jana.

Meneja Uendeshaji wa Yono Auction Mart, Atukuzwe Mhugo alisema kampuni ambazo walikuwa wakizisimamia kuondoa vifaa ni Quality Group Co Ltd, Gaming Managemeti Ltd, Q Consult Ltd na Quality Logistics Co Ltd.

Hata hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo ya Yono, Scholastica Kenyela alisema tayari wameshaziondoa kampuni za Manji kwenye jengo hilo. 
Kenyela alisema mteja wao ambaye ni PSPF alichukua uamuzi huo baada ya Manji kushindwa kulipa kodi ya pango ya zaidi ya Sh13 bilioni. 
“Sisi tumetimiza wajibu wetu, ukienda pale utaona tayari tumeshafanya kazi yetu kwa sababu alipewa notisi ya saa 24 awe ameondoka,” alisema.
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi alisema masuala yote yanayohusiana na jengo hilo kwa sasa yako chini ya Yono Auction Mart. “Sipo Dar es Salaam na sitazung- umzia chochote kuhusu jengo hilo wenye mamlaka ni Yono naomba uwatafute wao,” alisema.
Share:

Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Mount Meru,Akerwa na Msongamano Katika Wodi ya Wazazi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana alifanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Mkoa ya Mount Meru ambako kulikuwa na tuhuma za kuibwa watoto, lakini alishuhudia wazazi watatu wakilala kitanda kimoja. 

Ziara hiyo ilitokana na taarifa alizolalamikiwa na wananchi juzi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, kwamba hospitali hiyo ina matukio ya wizi wa watoto wachanga. 

Hata hivyo, jana baada ya kufika katika hospitali hiyo, Majaliwa alishuhudia msongamano katika wodi ya wazazi na kuagiza kuboreshwa hospitali za pembezoni. 

Majaliwa aliagiza uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha wanaondoa changamoto za ongezeko la wagonjwa na kuboresha huduma katika hospitali hiyo. 
Akizungumzia sakata ya kupotea kwa watoto katika hospitali ya mkoa alivitaka vyombo husika kuendelea na uchunguzi kwa kuwa suala hilo tayari lipo mikononi mwa vyombo vya dola. 

Wiki mbili zilizopita mzazi, Walda Mussa alisema kuwa alijifungua mtoto katika hospitali hiyo lakini hadi alipotoka hakumpata.
“Nilikuja hapa hospitali Oktoba 4 na Oktoba 7 nikajifungua kwa upasuaji wakamchukua mtoto na kumpeleka chumba cha joto, akaja mume wangu akaenda kumuona mtoto mzima, siku ya pili alienda kumuona mtoto pia akiwa mzima lakini siku ya tatu, tulipokwenda wote mimi na mume wangu tuliambiwa mtoto alifariki na hatujawahi kuona mwili wake,” alisema mwanamke huyo hivi karibuni. 
Mganga Mkuu mfadhiwi wa hospitali ya Mkoa Mount Meru, Dk Jackline Urio alipotakiwa kuelezea sakata hilo, alisema kuwa mtoto huyo baada ya kuzaliwa alifariki dunia na baadaye mwili ulipelekwa chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali hiyo. 
Share:

MWANAFUNZI WA DARASA LA 5 AJINYONGA HADI KUFA

Share:

Magazeti ya Leo Jumatatu Tarehe 5.12.2016

Share:

KURASA ZA NDANI ZA MAGAZETI YA LEO JUMATATU DEC 05 2016

TANO BORA ZA MASWAYETU BLOG KWENYE HABARI ZA MICHEZO LEO..


TANO BORA ZA MASWAYETU BLOG KWENYE KATUNI ZA LEO..


KUMI BORA ZA MASWAYETU BLOG KURASA ZA NDANI MAGAZETINI LEO


1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Share:

Sunday 4 December 2016

HESLB: PUBLIC ANNOUNCEMENT


HIGHER EDUCATION STUDENTS LOANS BOARD
PUBLIC NOTICE:
Click HERE to read the public announcement from The Higher Education Students Loans Board.
Share this to friends.
Source: HESLB Official Website.
Share:

Local Clerk at High Commission of India

Description
Applications are Invited for the post of a Local Clerk In the High commission of India,
Dar es Salaam as per the following terms and conditions:-

Minimum Qualifications
form VI with knowledge of working with computers. Candidates having Degree are encouraged to apply.

Experience: Desirable

Police record: Appointment is subject to police clearance

Language: Good knowledge of English (speaking as well as Writing) and Kiswahili

Health & Medical: The person should be in good health and medically
fit. The medical certificate will be required before issuing appointment letter

(vi) Salary per month: Pay Scale of US$ 450/-plus allowances.

Application Instructions

Interested candidates may send their application to the 

Head of Chancery, 
High Commission of India, 82, 
Kinondoni Road, 
P.O. Box No.2684 ,
Dar es Salaam, 
Post Code: 14110 

or by e-mail to dhc@hcindiatz pic@hcindiatz.org latest by December 12, 2016.

A recent passport size photograph and copies of proof of Residence and identity card may be enclosed with the application. The selected candidate would be on probation for a period of three months and confirmation would be subject to successful clearance of probation.

Source: Daily News 2 December 2016
Share:

Principal at The Law School of Tanzania (LST)

Description

The law School of Tanzania (lST) is a public institution, established in 2007 by the Act of Parliament No.5 of 2007 (now Cap. 425) that came into force on 2nd May, 2017. The School was established to provide, among other things, practical legal training for law graduates from accredited universities and higher learning institutions desiring to practice law in the United Republic of Tanzania.
The School invites competent and qualified candidates to apply for the following position:

JOB TITLE : PRINCIPAL

WORK STATION : DAR ES SALAAM
RESPONSIBLE TO : THE GOVERNING BOARD
TENURE : Five years, can be reappointed consecutively for one more term of five years.
AGE LIMIT :At least 40 years old but not older than 55 years

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
Must be a person of higher academic standing with credentials eligible for categorization as
Associate Professor / Professor of higher learning technical institution.
Holder of outstanding academic and administrative experience and capability in the area of
technical education and training in the field related to the School and eligible for registration as
a technical teacher.
Proven ability to develop and coordinate the implementation of an academic vision for an institution of higher learning.
A person possessing ability to influence, persuade, build coalitions, networks and ability to stimulate and encourage new ideas and development through motivation and support of staff
and students.
Proven integrity with irrevocable commitment to best practices in corporate governance, with particular emphasis on integrity, accountability and transparency.
Ability to develop and update the School's vision and direction systematically and strategically.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Be the Chief Executive and Accounting Officer of the School and shall be responsible to the Governing Board for overall coordination of the School; .
Exercise such functions of the School as the Governing Board may delegate to enable him to transact all the day-to-day business of the School;
Subject to any directions or restrictions given or imposed by the Governing Board, have the power to exercise supervision and control over acts and proceedings in relation to all staff of the
School and to decide upon questions relating to the terms and conditions of service of the staff of the School, having due regard to the Schemes of Service;
Propose to the Governing Board policies, programmes and operations relating to practical legal' training, development, upkeep, maintenance and development of the School's assets and facilities;
Supervise the management of the School's finances including budgeting, and control of
expenditure;
Promote staff and student's welfare, good relations between the School and the Government, the public, other institutions and bodies within and outside the country; and
Undertake and promote other activities of interest to the School as the Governing Board may direct.

PERFORMANCE MEASURES/CRITERIA
Explicit mission and vision statements and policies, plans and procedures that complement the School's objectives.
Clear understanding of the School's legal regime, functions, objectives by staff, students and the School community at large.
Availability of adequate resources, efficient and effective allocation and utilization on the same.
Appointment of high caliber staff and high academic and administrative standards maintained.
Maintenance of harmonious relations between academic and non-academic units, departments and staff of the School.
High standards of behavior exhibited among staff and students
Quality of service he/she provides to the Governing Board.
Practical, effective and acceptable recommendations to the Board and prompt implementation of decisions of the same. 

REMUNERATION
Attractive remuneration package in accordance with the School's salary scale and other fringe

Application Instructions
Applications accompanied by signed up-to-date Curriculum Vitae, certified copies of certificates, names and addresses of two referees should reach the Chairperson of the Search Committee at the address below by Thursday 15th December 2016. Applicants in public service are required to channel their applications through their employers. Applicants are further advised to ask their referees to submit reports directly to the Chairperson of the Search Committee latest ONE week after the closing date for applications.

The Chairperson,
Search Committee for the Principal,
Law School of Tanzania,
P.O. BOX 9422,
DAR ES SALAAM

From: Daily News 1 December, 2016
Share:

Education Coordinator at The Aga Khan Foundation (AKF)

Description

The Aga Khan Foundation (AKF) is a private, non-denominational, international development agency promoting creative and effective solutions to selected problems that impede social and economic development in parts of Africa and Asia. AKF-
Tanzania is part of the AKF-East Africa regional structure that supports programmes in Kenya, Tanzania and Uganda. In Tanzania, AKF is managing a robust and expanding portfolio of multi-sectorial initiatives that includes programmes in rural economic development, education, early childhood development, health, nutrition, and civil society strengthening. In the education sector, AKF's portfolio in Tanzania includes projects on strengthening pre-primary and primary education system and community engagement to support education of children

AKF is looking for a dynamic professional to take on the role of the Education Coordinator, responsible for the successful planning, delivery, and coordination of all education interventions delivered under the USAID funded Caring for Children and Empowering Young People (C2EYP) programme in Dar es Salaam as well as providing wider technical support to education focal people across the country. Working within a consortium team and with wider management team, the
Education Coordinator's role will include project management, delivering capacity development workshops on school - planning, providing technical support to government and CSO delivery partners on school planning and supporting transition of girls from primary to secondary schools, 'and leading on financial compliance and report writing. The Education Coordinator is responsible for effective and efficient delivery, project quality, and donor compliance on education component of C2EYP. Principle accountabilities include:

Specific responsibilities include:
Effectively plan and deliver the education project activities and coordinate effective implementation
Provide technical expertise using the most up-to-date evidence base in primary and secondary education, school planning, and community engagement
Responsible for financial oversight, management of the education budget under C2EYP and ensuring compliance with donor and AKF regulations and procedures
Work within and coordinate across a number of partners working within a consortium
Use data to inform project implementation and make necessary adaptations and work with AKF technical team and consultants to conduct targeted studies to develop a more in -depth understanding of programme quality
Develop and deliver capacity development workshops to Zonal teams.
Reporting arid maintaining working relationships with donor, government, partner agencies and NGOs (as applicable) under guidance from AKF.
Representing the project to relevant local authorities and organisations.

The ideal candidate will have:
1.Minimum Master's degree in education, international development or the equivalent;
2.At least eight years of solid experience working in education programming and international development;
3.Experience of working with teams in remote locations and experience of working in a consortium of partners;
4.Proven experience in managing USAID projects;
5.Demonstrated capacity to write high quality reports;
6.Exceptional written and verbal skills in English. Knowledge of Kiswahili will be an advantage;
7.Positive communication and organisation skills;

Application Instructions
Interested candidates should submit a cover letter, CV (not exceeding four pages) and the names and contact information of three referees before close of business on Friday 16th December 2016, to the Country Director, Aga Khan Foundation, Tanzania, by e-mail through recruitment@akfea.org Please mention the title of the position in your email and do not attach any document other than the CV and cover letter. Only shortlisted candidates will be contacted.

Source: Daily News: 2 December, 2016
Share:

6 Careers at World Vision Tanzania (WVT)


World Vision Tanzania (WVT) is a Christian, relief, development and advocacy Non-Governmental Organization (NGO) which started in 1981. WVT works with all people regardless of tribe, religion and ethnicity to help improve and sustain the well-being of children within families and communities, especially the most vulnerable. By 2020 WVT will be contributing to the measurable improvement in the sustained well-being of 22 million boys and girls – especially the most vulnerable.

Current Opportunities


============
Are you disappointed by fruitless job applications and never get shortlisted? The problem is not you, its your CV. This comes to an end, Now for outstanding CV and Jobs professional advice, contact Bright Professionals Tanzania  and grab your dream job. We  also prepare social science business researches  and proposals.
Email cv.bptz@gmail.com
Phone +255 678 226 793
Share:

PhD Scholarship Opportunities at Lund Uiversity


Image
PhD positions at Lund University in Sustainability Transitions and Economic Geography scholarship opportunity click<<< here>> for more details
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger