Tuesday 27 January 2015

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 27 JANUARY 2015,KUBWA ZAIDI MAFUNZO JKT YASITISHWA,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
Share:

Monday 26 January 2015

TANGAZO LA KAZI SEKRETARIETI YA AJIRA-KILIMO,MISITU NA WANYAMAPORI,OMBA HARAKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/34 23 Januari, 2015
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa 
mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa
na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,
pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea
katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi kwa
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 121 za kazi kwa ajili ya Wizara,
Idara zinazojitegemea, Wakala wa serikali na Mamlaka za serikali za mitaa

Share:

Sunday 25 January 2015

BARAZA JIPYA:ANGALIA HAPA MAJINA MAPYA YA BARAZA LA MAWAZIRI LILILOTANGAZWA JANA NA MH.J.KIWKETE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Wakati aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo jana mchana, Rais Jakaya Kikwete ametangaza marekebisho ya Baraza lake la Mawaziri.
Share:

Saturday 24 January 2015

MPYA:MATOKEO YA KIDATO CHA PILI ZANZBAR 2015 YATANGAZWA INGIA HAPA(MASWAYETU ) KUANGALIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

                                                    
Endapo utahitaji kuangaliziwa MATOKEO YAKO TAFADHALI fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL PAUL(MATOKEO-
  FORM TWO,MKOA MAGHARIBI)

2.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa MPESA AU TIGO PESA
   KWENDA  NAMBA 0768260834(mpesa) 0653791475(tigo pesa).

3.Tutakujibu ndani ya dk.1 tu,Tuma kwanza pesa ndio utajibiwa.
4.TUNAOMBA UTUAMINI SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE PIA NIKUHAKIKISHIE
   KWAMBA,TUPO VIZURI.(usipige simu)
Share:

DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPYA WA MWANA DADA LINAH FT CHRISTIAN BELLA-HELLOW

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                          Tokeo la picha la LINA SANGA
 KUDOWNLOAD WIMBO HUO CLICK HAPA
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 24 JANUARY 2015-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
.
Share:

Thursday 22 January 2015

BREAKING NEWZ:UHAMISHO KWA WATUMISHI 4352 WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA JANUARY 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

                                                              
Endapo utahitaji kuangaliziwa KAMA umehamishwa kituo cha kazi tafadhali fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL PAUL(UHAMISHO-
   TAMISEMI)

2.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa MPESA AU TIGO PESA
   KWENDA  NAMBA 0768260834(mpesa) 0653791475(tigo pesa).

3.Tutakujibu ndani ya dk.1 tu,Tuma kwanza pesa ndio utajibiwa.
4.TUNAOMBA UTUAMINI SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE PIA NIKUHAKIKISHIE
   KWAMBA,TUPO VIZURI.(usipige simu)
Share:

Tuesday 20 January 2015

AJALI: ZAIDI YA ABIRIA 40 WANUSURIKA KIFO BAADA YA GARI WALIOKUWA WAMEPANDA KUGONGANA USO KWA USO NA LORO TEGETA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Zaidi ya abiria 40 wanusurika kifo baada ya gari waliokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori Tegeta.
Zaidi ya watui arobaini wamenusurika kifo huku mmoja akikatika viungo vya  miguu na wengine kujeruhika vibaya baada ya lori  moja lilionekana kuwa ni la jeshi kugongana uso kwa uso na gari la abiria aina ya COSTA la ubungo Tegeta eneo la Tegeta jijini Dar es salaam.
Share:

BREAKING NEWZ:BAADA YA UDOM,SASA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO NAO WAGOMA ,SOMA IMEKUAJE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 


Habari zilizotufikia hivi punde MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG ni kwamba wanafunzi chuo kikuu cha bagamoyo wamegoma kuingia madarasani kutokana na sababu mbalimbali zinazowakumba chuoni hapo.
Sababu kubwa ikiwa ni kucheleweshewa pesa yao ya chakula ijulikanayo kama BOOM ,hadi mda huu chuo kikuu hicho kilichopo Pwani kilikuwa katika kufanikisha mgomo huo hautokei.
AFANDE AKIWA KATIKA KUHAKIKISHA USALAMA UNAKUWEPO(picha na maswayetu blog)
Share:

MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.
Madawa hayo yalikutwa kwenye nyumba moja iliyopo eneo la Ununio, Tegeta jijini Dar es Salaam, ambayo ni mali ya Mbunge wa CCM (Jina linahifadhiwa) wa jimbo moja la mikoa ya Kanda ya Ziwa, Uwazi limefukunyua.
Taarifa toka…
Mwanamke (Doreen John Mlemba) anayedaiwa kukamatwa na unga.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger