Saturday 29 March 2014

DR.BWIRE,JAMES MWALIMU BORA PHYSICS MATOKEO KIDATO CHA NNE 2013.

Hii hapa juu ni shule ya kata iliyopo mkoani simiyu ambayo imejitahidi ukilinganisha na shule kongwe za mkoa huo ambazo imezizidi,shule imefanyavizuri hasa katika somo la physics ambapo matokeo yake hapo chini yanajieleza yenyewe.

Walimu wafuatao wapewe pongezi kwa kusababisha matokeo hayo Bwire,James(Dr) ambaye ndo aliefanya vizuri katika somo la physics,wakati mwalimu wa biology Denis,Nkulu akionyesha mbwembwe zake katika somo la biology,pia mwalimu wa kemia mbwaga,innocent akionyesha juhudi katika somo la chemistry.

Hata hivyo walimu wafuatao hawakuwa mbali kuhakikisha shule hiyo ikifanya juhudi kwa kuleta matokeo hayo;nao ni Auguster,Rweyemamu(english),Rachel seni(History),ashiraf(geography)

ANGALIA MATOKEO HAYO HAPA CHINI.

 

 

 

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S2571 NG'WIGWA SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 5 DIV-III = 10 DIV-IV = 15 DIV-0 = 12


CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S2571/0001
F
29
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'C'
S2571/0002
F
27
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0003
F
34
IV
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S2571/0004
F
42
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0005
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0006
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0007
F
40
IV
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0008
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0009
F
*E
*E
---
S2571/0010
F
*E
*E
---
S2571/0011
F
34
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0012
F
47
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0013
F
49
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0014
F
20
II
CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'B'
S2571/0015
F
28
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
S2571/0016
M
30
III
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'C'
S2571/0017
M
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0018
M
*E
*E
---
S2571/0019
M
46
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0020
M
42
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
S2571/0021
M
42
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0022
M
46
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0023
M
37
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0024
M
49
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0025
M
25
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'D'
S2571/0026
M
*E
*E
---
S2571/0027
M
23
II
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'B'
S2571/0028
M
44
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0029
M
28
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0030
M
36
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0031
M
30
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
S2571/0032
M
38
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0033
M
36
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0034
M
*E
*E
---
S2571/0035
M
37
IV
CIV - 'E' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0036
M
39
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0037
M
32
IV
CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0038
M
23
II
CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'D'
S2571/0039
M
36
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0040
M
35
IV
CIV - 'E' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0041
M
41
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0042
M
28
III
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'B+'
S2571/0043
M
35
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D'
S2571/0044
M
27
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D'
S2571/0045
M
48
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0046
M
23
II
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'B' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'C'
S2571/0047
M
35
IV
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'C'
S2571/0048
M
47
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0049
M
48
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0050
M
24
II
CIV - 'B' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0051
M
27
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0052
M
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'


EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION
SIMIYU
TOTAL PASSED CANDIDATES
30
EXAMINATION CENTRE GPA
4.4483
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
11/75
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
545/3256
EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE
REGIST
ABSENT
SAT
WITHHELD
NO-CA
CLEAN
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
DIV 0
52
5
47
5
0
42
0
5
10
15
12
EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE
CODE
SUBJECT NAME
REG
SAT
NO-CA
W/HD
CLEAN
PASS
GPA
REG/RANK
NAT/RANK
011
CIVICS
52
47
0
5
42
20
5.2381
52/141
864/4355
012
HISTORY
52
47
0
5
42
22
5.5238
71/141
1097/4322
013
GEOGRAPHY
52
47
0
5
42
22
5.4048
55/141
903/4352
021
KISWAHILI
52
47
0
5
42
32
4.7857
116/141
2319/4355
022
ENGLISH LANGUAGE
52
47
0
5
42
26
5.2143
97/141
1543/4355
031
PHYSICS
16
16
0
0
16
15
4.1875
4/140
312/3841
032
CHEMISTRY
29
29
0
0
29
20
4.8276
12/140
922/4052
033
BIOLOGY
52
47
0
5
42
31
4.4286
19/141
508/4351
041
BASIC MATHEMATICS
52
47
0
5
42
14
5.9524
40/141
708/4355
Share:

UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013


 

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA


UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013



Imetolewa Na:


KAIMU KATIBU MTENDAJI

29 MARCH, 2014


UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013
Baraza la Mitihani la Tanzania lilitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2013 tarehe 21/02/2014. Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Baraza limekuwa likipokea maswali mbalimbali yanayoashiria kuwa baadhi ya wadau wa elimu hawakuelewa vizuri kuhusu Viwango vya Ufaulu (grade ranges), alama ya chini ya ufaulu (pass mark) na Ufaulu wa jumla wa mtahiniwa (overall performance). Baraza la Mitihani linapenda kutoa ufafanuzi katika mambo hayo kama ifuatavyo:
1.        Viwango vya ufaulu (grade ranges) ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuwaweka pamoja watahiniwa wenye uwezo unaofanana katika somo husika na kuwatofautisha na watahiniwa waliopo katika kundi jingine. Makundi haya hupangwa ili kuwawezesha wadau kutambua namna watahiniwa walivyotawanyika katika viwango mbalimbali vya umahiri wa somo husika. Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likitumia makundi Matano (5) kwa kipindi kirefu hadi mwaka 2012. Aidha, Kuanzia Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2013, Baraza limeanza kutumia utaratibu wa Makundi Saba (7) ambayo ni A, B+, B, C, D, E na F. Utaratibu huu umelenga kupunguza mlundikano mkubwa wa alama katika kundi moja. Mgawanyo wa makundi hayo ni kama inavyoonekana kwenye Jedwali la 1.

Jedwali Na 1: Viwango vya ufaulu vilivyotumika katika Matokeo ya CSEE 2013.

Kundi
Gredi
Alama
Idadi ya Pointi
1
A
75 - 100
1
2
B+
60 - 74
2
3
B
50 - 59
3
4
C
40 - 49
4
5
D
30 - 39
5
6
E
20 - 29
6
7
F
0 -  19
7

Aidha, Idadi ya makundi ya ufaulu hutofautiana kati ya nchi na nchi kulingana na mahitaji ya nchi husika.  Kwa mfano; Kenya wana makundi Kumi na mbili (12), Malawi Tisa (9), Uganda Tisa (9), Nchi za Afrika magharibi (Nigeria, Ghana, Siera Leone na Liberia) makundi Tisa.

2.        Kwa kuzingatia viwango vya ufaulu vilivyoainishwa katika makundi saba yaliyopo kwenye Jedwali na 1, kiwango cha chini cha ufaulu ni gredi D na kiwango cha juu cha ufaulu ni Gredi A. Mtahiniwa atakuwa amefaulu somo husika iwapo atapata gredi D na kuendelea. Aidha, mtahiniwa aliyepata gredi E na F atakuwa hajafaulu somo husika.

3.        Madaraja ya ufaulu yamepangwa kwa mujibu wa kifungu cha 20 (1)-(6) cha Kanuni za Mitihani kinachoelekeza kuwa Ufaulu katika daraja la Kwanza hadi la Tatu upangwe kwa kuzingatia jumla ya alama (Points) na Ufaulu katika Daraja la Nne unapangwa kwa kuzingatia ufaulu wa chini aliopata mtahiniwa ambao ni gredi D katika masomo yasiyopungua mawili au ufaulu kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C katika somo moja. Hivyo, madaraja yaliyotumika ni kama yanavyoonekana kwenye Jedwali la 2.

Jedwali 2: Madaraja yaliyotumika katika CSEE 2013

Daraja
Pointi
I
7 – 17
II
18 – 24
III
25 – 31
IV
1.      Ufaulu katika somo moja kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C au
2.      Ufaulu katika masomo yasiyopungua mawili katika Gredi D
0
Alama chini ya D mbili

4.        Kwa mujibu wa Kanuni za Mitihani, ufaulu wa somo katika Gredi A hadi C utakuwa ni ufaulu wa “Credit” na Gredi D itahesabika kuwa ni “pass”. Aidha Gredi E na F zitakuwa alama za kufeli.

5.        Baraza la mitihani la Tanzania linapenda kutoa taarifa kwamba ufafanuzi wa sifa za kujiunga na mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutumia mfumo huu mpya wa madaraja utatolewa na mamlaka husika ambapo Kamishna wa Elimu atalitolea ufafanuzi zaidi.




Imetolewa Na:


KAIMU KATIBU MTENDAJI
Share:

TANGAZO KWA CSEE 2014 KUTOKA NECTA





                       BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

TANGAZO
Kaimu Katibu Mtendaji, Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT)  mwezi Novemba,  2014  kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kwa malipo ya  ada ya kawaida (Shilingi 50,000/=kwa wanaojisajili CSEE na Shilingi 30,000/= kwa wanaojisajili QT ) kimeongezwa kutoka tarehe 28 Februari, 2014 hadi tarehe   31 Machi, 2014. Watahiniwa watakaojisajili  kuanzia tarehe 1 Aprili, 2014 hadi tarehe 30 Aprili, 2014 watatakiwa kulipa ada ya kawaida pamoja na faini mpaka usajili utakapofungwa rasmi tarehe 30 Aprili, 2014.
Waombaji wote wanasisitizwa kuhakikisha wanajisajili mapema kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Baraza la Mitihani ya www.necta.go.tz. Kabla ya kujisajili kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye vituo vya mitihani kuchukua namba rejea (reference number) zinazotolewa bure na kulipa ada ya mtihani kwa njia ya Posta au Mpesa.

Imetolewa na:
KAIMU KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA.
Share:

KANGA MOJA:WAFANYA KUFURU

TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger