Saturday, 29 March 2025

UJENZI WA STENDI YA MABASI MADABA KUANZA RASMI APRILI

Mbunge wa Jimbo la Madaba Mhe. Joseph Kizito Mhagama akizungumza na wananchi katika eneo la stendi inayotarajiwa kuanza ujenzi wake wiki ijayo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Madaba Abdul Manga akizungumza na wananchi kuhusu mradi huo wa ujenzi wa stendi Lituta kitongoji cha kifaguro Madaba Mhandisi...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MACHI 29,2025

Magazeti  ...
Share:

Friday, 28 March 2025

THE RUNNERS TANZANIA YAZINDUA MSIMU WA TANO WA ABSA DARCITY MARATHONI 2025

  ********* Na Mwandishi wetu.... The Runners Tanzania wamezindua rasmi Absa Dar City Marathon 2025, ikiwa ni msimu wa tano wa mbio hizo, zitakazofanyika Mei 4, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. Lengo kuu la mbio hizi ni kusaidia mahitaji ya Hospitali ya Mnazi Mmoja. Akizungumza...
Share:

Video Mpya : MAYIKU SAYI - NA ENJOY

...
Share:

JE, UMEWAHI KUDHULUMIWA?, PATA HAKI YAKO SASA!

Naitwa Amani kutokea Babati, unajua hakuna kitu kibaya maishani kama kudhulumu mali ambayo sio yako, kuna watu mikosi haiondoki katika maisha yao kutokana na dhuluma walizozifanya huko nyuma. Nasema hivyo kwa sababu Baba yetu aliamua kununua magari mawili kwa ajili ya watoto wake ili hapo baadaye...
Share:

KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MPANGO NA BAJETI YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA TAASISI ZAKE KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26

  Na. Veronica Mwafisi-Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepitisha Mpango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa fedha 2025/26 baada ya kupitia mafungu yote yaliyo chini ya ofisi hiyo na kujiridhisha. Makamu...
Share:

Thursday, 27 March 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MACHI 28,2025

Magazeti ya leo ...
Share:

PAC YAISHAURI TEMESA KUONGEZA KASI YA USIMAMIZI MRADI WA KIVUKO KIPYA MAFIA NYAMISATI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri TEMESA kuhakikisha inaongeza kasi ya kusimamia mkandarasi anaetekeleza mradi wa ujenzi wa kivuko kipya cha Mafia Nyamisati ili umalizike haraka na wananchi waweze kupata huduma ya kivuko. Akizungumza mara baada ya kupokea taarifa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger