Monday, 27 January 2025

ALIYETAPELIWA SH32.7 MILIONI ATOA USHUHUDA WA MATUMAINI

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Charity, amewataka wananchi kuhakikisha wanajiepusha na biashara ya kupata utajiri wa haraka baada ya kudaiwa kupoteza Sh32.7 milioni kwa kampuni iliyomlaghai. Kulingana na ripoti, alidai alikubaliana na kampuni hiyo kwamba wangemuongezea fedha zake mara 10,...
Share:

SHINYANGA WASHEREHEKEA BIRTHDAY YA RAIS DK. SAMIA KWA KUPANDA MITI....RC MACHA AONYA KUKATA MITI KIHOLELA

Na Marco Maduhu & Kadama Malunde - Shinyanga Serikali mkoani Shinyanga imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupanda miti 500 katika Shule ya Msingi Mapinduzi, Manispaa ya Shinyanga.  Tukio hili limefanyika leo, Januari...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JANUARI 27,2025

Magazeti ya leo Jumatatu ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger