Saturday, 28 December 2024

BUGANDIKA DAY YAFANA.. WANAFUNZI WA KIKE BUGANDIKA SEKONDARI KUFUTWA MACHOZI

Na Lydia Lugakila _ Misenyi. Wadau mbalimbali wa maendeleo ambao ni wazawa wa kata ya Bugandika na waishio nje ya Bugandika  wameamua kwa pamoja kuchangia maendeleo ya kata hiyo kwa kujenga bweni la shule ambalo ujenzi wake unaendelea ikiwa ni hatua ya kuwanusuru wanafunzi wa kike wa shule ya...
Share:

FDH YAANZA UTEKELEZAJI WA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE WENYE ULEMAVU

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Taasisi ya Foundation For Disabilities Hope (FDH) imeanza kuteleza mradi wa mwaka mmoja wa kuwajengea uwezo wanawake wenye ulemavu kushiriki masuala ya uongozi pamoja na ujasiriamali ili kuwainua kiuchumi. Mradi huo wa mwaka mmoja unalenga kuwafikia wanawake wenye ulemavu...
Share:

AJALI YA GARI YAUA WATU SITA NYASA, WAMO WALIMU WANNE

Na Regina Ndumbaro- Ruvuma Watu sita wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea katika Wilaya ya Nyasa, Mkoani Ruvuma.  Ajali hiyo imetokea leo, tarehe 28 Desemba 2024, wakati wa safari kutoka kijiji cha Lumalu kilichopo katika Kata ya Upolo kuelekea makao makuu ya wilaya. Akizungumza...
Share:

Friday, 27 December 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI DESEMBA 28,2024

  Magazetini          ...
Share:

SHANGWE ZA SIKUKUU SHINYANGA IMEAMKA! DR SAMIA JUMBE HOLIDAY BONANZA KUTIKISA!

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Katika kusherehekea mapumziko ya mwisho wa mwaka, mdau wa michezo Mhandisi James Jumbe ametangaza rasmi kuanza kwa mashindano ya DR SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA 'Shinyanga Imeamka!' yatakayofanyika katika wilaya ya Shinyanga.  Mashindano haya yatakuwa...
Share:

BARRICK NORTH MARA YAPELEKA SHANGWE YA SIKUKUU KWA VITUO VYA KULEA WATOTO NA JAMII

Katika kuadhimisha sikukuu za mwisho wa mwaka zinazoendelea, Mgodi wa Barrick North Mara, umetoa zawadi kwa makundi mbalimbali yenye mahitaji kwenye jamii katika wilaya za Tarime na Serengeti ikiwemo vituo vya kulea watoto yatima, na wazee wa kimila ili kuwezesha makundi hayo kusherekea kwa furaha...
Share:

AJALI YA BASI, NOAH YAUA WATU 9

 Watu 9 wamefariki dunia Wilaya Rombo Tarekea Mkoani Kilimanjaro,baada ya Basi la Ngasere kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Noah. "Nimesikitishwa na taarifa ya vifo vya ndugu zetu 9 kutokana na ajali ya barabarani iliyotokea katika barabara ya kutoka Tarekea, Wilaya ya Rombo kuelekea...
Share:

Thursday, 26 December 2024

Video Mpya : KACHELENG'WA - NIMEPOTEA

 ...
Share:

ISSA GAVU ATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA MICHEZO MBALIMBALI - UNGUJA

Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka Mkoa kusini Unguja Mhe. Issa Ussi Gavu ambaye ni Katibu wa Oganazesheni wa CCM Taifa (MCC) ametoa zawadi mbalimbali za medali, vikombe na fedha kwa washindi walioshinda kwenye mashindano ya waendesha baiskeli, mchezo wa bao, karata, kukimbiza kuku nk. Kabla ya kuanza...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger