
Na Lydia Lugakila _ Misenyi.
Wadau mbalimbali wa maendeleo ambao ni wazawa wa kata ya Bugandika na waishio nje ya Bugandika wameamua kwa pamoja kuchangia maendeleo ya kata hiyo kwa kujenga bweni la shule ambalo ujenzi wake unaendelea ikiwa ni hatua ya kuwanusuru wanafunzi wa kike wa shule ya...