Na Oscar Assenga,TANGA
MBUNGE wa Jimbo la Tanga Ummy Mwalimu amesema kazi ya Rais Dkt Samia Suluhu anayoifanya ya Maendeleo katika Mkoa wa Tanga sio ya kutafuta kwa Tochi.
Ummy aliyasema hayo leo wakati akitoa salamu katika Kongamano la Samia Challenge 2024 ambalo limeandaliwa na African Anti-Violence...
Na Mwandishi wetu,Dodoma
Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Watendaji wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), wametembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mtumba jijini Dodoma.
Ujumbe huo, ukiongozwa na...
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) kupitia kituo chake cha kudhibiti matukio ya sumu, kimewataka wazalishaji na waingizaji wa rangi nchini kuhakikisha wanazingatia maelekezo waliyopewa ili kudhibiti sumu itokanayo na madini ya risasi...
Taarifa za hivi karibuni kutoka Chadema zinaonyesha kuwepo kwa mvutano wa madaraka kati ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, na Katibu wake, Amani Golugwa. Mgogoro huu umeonekana wazi wakati Mwenyekiti wa kanda alipoitisha mkutano na waandishi wa habari, huku Katibu akitoa taarifa...