Sunday, 27 October 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OKTOBA 27,2024

 ...
Share:

Saturday, 26 October 2024

MBUNGE UMMY-KAZI YA MAENDELEO ILIYOFANYWA NA RAIS DKT SAMIA SULUHU MKOANI TANGA SIO YA KUTAFUTA KWA TOCHI

Na Oscar Assenga,TANGA MBUNGE wa Jimbo la Tanga Ummy Mwalimu amesema kazi ya Rais Dkt Samia Suluhu anayoifanya ya Maendeleo katika Mkoa wa Tanga sio ya kutafuta kwa Tochi. Ummy aliyasema hayo leo wakati akitoa salamu katika Kongamano la Samia Challenge 2024 ambalo limeandaliwa na African Anti-Violence...
Share:

TAASISI ZA UMMA ZITUMIE MIFUMO RASMI YA SERIKALI MTANDAO: MH.MACHANO

Na Mwandishi wetu,Dodoma Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Watendaji wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), wametembelea Makao Makuu ya Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Mtumba jijini Dodoma. Ujumbe huo, ukiongozwa na...
Share:

GCLA YAWATAKA WAUZAJI NA WAAGIZAJI WA RANGI NCHINI KUZINGATIA MAELEKEZO KUDHIBITI SUMU ITOKANAYO NA MADINI YA RISASI

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) kupitia kituo chake cha kudhibiti matukio ya sumu, kimewataka  wazalishaji na  waingizaji wa rangi nchini kuhakikisha wanazingatia maelekezo waliyopewa ili kudhibiti sumu itokanayo na madini ya risasi...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI OKTOBA 26,2024

...
Share:

Thursday, 24 October 2024

MGOGORO WA UONGOZI NDANI YA CHADEMA KANDA YA KASKAZINI?

Taarifa za hivi karibuni kutoka Chadema zinaonyesha kuwepo kwa mvutano wa madaraka kati ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, na Katibu wake, Amani Golugwa. Mgogoro huu umeonekana wazi wakati Mwenyekiti wa kanda alipoitisha mkutano na waandishi wa habari, huku Katibu akitoa taarifa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger