Friday, 26 July 2024

SHIRIKA LA IUCN LAUNGANA NA SERIKALI KUTEKELEZA MRADI WA 'BAHARI MALI'

Na Hamida Kamchalla, TANGA. MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi, Dkt. Batilda Buriani amesema serikali ina mpango wa kupanda miti aina ya mikoko 250 kila mwezi. Dkt. Buriani ameyasema hayo leo Julai 26, 2024 wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya Siku ya Mikoko Duniani, ambapo mkoani Tanga imeadhimishwa...
Share:

Ngoma Mpya : LUNG'WECHA NG'WANAITULI - MAKANISA

Hii hapa ngoma ya Manju Lung'wecha Ng'wanaituli inaitwa Makanisa   ...
Share:

SSI ENERGY TANZANIA LTD YASAINI MKATABA WA UJENZI WA MRADI WA UMEME JUA WA MEGAWATI 100MW KAHAMA

Kampuni ya uzalishaji wa umeme jua ambayo inamilikiwa na Mhe. Stephen Masele ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Makamu wa Rais Mstaafu wa Bunge la Afrika imesaini mkataba wa ujenzi wa megawati 100 za umeme wa Solar ambao utaingizwa katika gridi ya taifa. Hafla ya utiaji saini...
Share:

Thursday, 25 July 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JULAI 26,2024

...
Share:

ALIA KAMA MTOTO BAADA YA KUIBA MTOTO WA JIRANI

Nakumbuka mwaka jana mtoto wa jirani yangu alipotea katika mazingira ya kutatanisha akiwa anacheza na wenzake karibu na eneo la nyumbani, mzazi wake alipita kila nyumba kumuulizia lakini hakuweza kumpata. Tulimsaidia kumtafuta hadi vijiji vya jirani lakini hatukuweza kufanikwa kumpata, tuliamuaa...
Share:

WADAU WA JINSIA NA MAENDELEO WAIOMBA SERIKALI KUONGEZA NGUVU KUDHIBITI VITENDO VYA UTEKAJI WATOTO

IMEELEZWA kuwa vitendo vya kishirikina, visasi, hali ngumu ya maisha, biashara haramu, ukosefu wa elimu, kuporomoka kwa maadili na tamaa ni miongoni mwa vyanzo vya watu wanaodaiwa kupotea au kutekwa . Hata hivyo, ili kuondokana na hali hiyo, watu wanatakiwa kuwa na moyo wa imani, kuwepo kwa ushirikiano,...
Share:

TAFORI YAANIKA FURSA KUPITIA MISITU NA NYUKI

Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imewasisitiza Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya Misitu na Nyuki, kwa kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia sahihi zilizofanyiwa utafiti ili wapate tija katika rasilimali za misitu zilizopo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger