Saturday, 29 June 2024

WILAYA YA CHEMBA YAPATA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA TANGU KUANZISHWA KWAKE

Wananchi wa Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma  wanakwenda kutatuliwa Kero yao ya Muda mrefu ya kukosekana kwa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ambalo hutumika kutatua Migogoro mbalimbali ya Ardhi inayojitokeza. Hayo yamebainishwa leo Juni 28, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary ...
Share:

Friday, 28 June 2024

TAMWA ZNZ, IDARA YA MICHEZO WEMA, ZAFELA, GIZ NA CYD KUANDAA MTOTO WA AFRIKA MARATHON

  Ni katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Zanzibar CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ) kwa kushirikiana na Idara ya Michezo, Jumuiya ya Wanasheria Wanawake Zanzibar (ZAFELA), Taasisi ya Maendeleo ya Mashirikiano ya Ujerumani (GIZ) na Kituo cha Mijadala...
Share:

TBS KANDA YA KUSINI YATEKETA TANI 3.5 ZA BIDHAA HAFIFU

Na Mwandishi Wetu, Mtwara SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kusini inayojumulisha Mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma limetekeleza tani 3.5 za bidhaa hafifu zenye thamani ya sh. 20,054,000 ambazo zilikamatwa kwenye mikoa ya kanda hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kuteketeza...
Share:

Video Mpya : TOTO KHAN x SLYVEPO - POMBE

Hii hapa kazi mpya ya Msanii Toto Khan akimshirikisha Slyvepo inaitwa Pombe, Video hii imeongozwa na Director Dave Skerah, Producer Scardee Tazama Video hapa chin...
Share:

Thursday, 27 June 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 28, 2024

...
Share:

ORYX GAS, VIGOR GROUP WAZINDUA BOHARI YA KUHIFADHI NISHATI YA GESI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kuweka jiwe la msingi kuzindua bohari ya kuhifadhi nishati ya gesi ya Kampuni ya Oryx uliofanyika leo Juni 27, 2024 huko Mangapwani Zanzibar. KAMPUNI ya Oryx Gas imeungana na kampuni ya TP Limited yenye...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger