Sunday, 28 January 2024

TPA YAIKABIDHI KAMPUNI YA ANOVA CONSULTING ENEO ITAKAPOJENGA BANDARI MBAMBA BAY

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA ) tarehe 27 Januari,2024 imeikabidhi rasmi kampuni ya Anova Consulting Company ltd eneo itakapojengwa Bandari ya Mbamba Bay iliyopo Wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma. Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, Meneja wa Bandari za Ziwa Nyasa Bw.Manga Gassaya...
Share:

TGNP YAENDESHA MAFUNZO YA UONGOZI WA KIJINSIA

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) wanaendesha mafunzo ya masuala ya uongozi wa kijinsia ili wanajamii waweza kuenzi nguvu za pamoja, na kuhusisha wanawake katika ngazi za maamuzi ikiwa ni sehemu ya kuleta mabadiliko kwenye jamii na kuwainua kiuchumi. Mafunzo hayo ya siku kumi kwa ajili ya masuala...
Share:

MANYARA WASHEREKEA KUMBUKIZI YA KUZALIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

 Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Cuthbert Sendiga ameongoza zoezi la upandaji wa miti lililoendana na ukataji wa keki kwa ajili kusherekea miaka 64 ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.  Akiongoza zoezi hilo la upandaji na kukata keki lililofanyika...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 28,2024

...
Share:

Saturday, 27 January 2024

NILIJUA MWANAMKE MWEMA KUMBE TAPELI MKUBWA!

Jina langu ni Musa kutokea Moshi, Tanzania, kazi yangu mimi ni dereva wa Lori, kuna dada nilikutana nae club nikabadilishana nae namba, siku hadi siku tukawa wapenzi. Siku moja nikamtoa dinner, tukapiga story nyingi sana, baada ya hapo akaja magetoni, akanielezea shida zake kuwa anasoma chuo uhasibu...
Share:

Friday, 26 January 2024

FEZA KUBORESHA UTOAJI HUDUMA WA ELIMU

  ........................ Shule ya Feza nchini imesema hivi karibuni imekuwa ikikumbana na changamoto kutoka shule za Serikali kutoka na mindombinu kuboreshwa hivyo kutumia kama chachu ya wao kufanya vizuri zaidi katika kuleta ufaulu. Akizungumza mapema leo jijini Dar es salaam, Mwalimu Mkuu...
Share:

SIRI KOM SECONDARY KUNG'ARA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023... "TUNAWAPOKEA NA KUWAONGEZEA THAMANI WALIOKATALIWA KWINGINE"

Mkurugenzi wa Shule za Msingi KOM na Shule ya Sekondari KOM Jackton Koyi Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Shule ya Sekondari KOM iliyopo katika Manispaa ya Shinyanga ni shule inayosifika vizuri kitaaluma kutokana na kuendelea kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani. Kufuatia Matokeo ya Kidato...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger