Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo ambao huenda unaujua au huujui unahitaji kuufahamu, ni kutoka kasino ya mtandaoni.
Kupitia kasino ya mtandaoni kuna sloti ya kupiga hela kirahisi sana, cheza...
Ikiwa msimu huu wa Saba Saba umeanza rasmi, Magwiji wa Ubashiri Tanzania Meridianbet walitikisa eneo hilo huku wakija na kile ambacho wewe mteja wao na usiyekuwa mteja wao utakihitaji, ikiwemo bonasi kama zote, USSD na mengine mengi.
Meridianbet msimu huu mpya wa Saba Saba 2023, wanasema...
Kamishna wa Kazi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Suzan Mkangwa akizungumza na Uongozi wa Kiwanda hicho.
Mkurugenzi wa Rasilimali watu Watu wa Kiwanda Cha A to Z Textile Mills Limited akitoa maelezo kuhusu Kiwanda hicho.
Kamishina wa Kazi Ofisi ya Waziri Kazi, Vijana,...
MILA na desturi za kiafrika zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta utofauti kati ya Mwanaume na Mwanamke kwenye ndoa hasa masuala ya uwajibikaji, mawasiliano pamoja na uwazi ambapo inapelekea kupata matatizo ya Afya ya akili.
Ameyasema hayo jana Juni 28,2023 Mwezeshaji wa Semina za Jinsia na maendeleo...