Tuesday, 30 May 2023

WAZIRI GWAJIMA AMUAGA ALIYEKUWA MUWAKILISHI MKAZI WA UNICEF BI.SHALINI BAHUGUNA JIJINI DODOMA

Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ameiongoza Menejimenti ya wizara hiyo kumuaga aliyekuwa muwakilishi Mkazi wa shirika la UNICEF nchini Tanzania Shalini Bahuguna katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma. Waziri Dkt. Gwajima amemshukuru...
Share:

TUMIENI NJIA SAHIHI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI- PROF. MSHANDETE

Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo na Naibu Makamu Mkuu Taaluma, Utafiti na Ubunifu Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Profesa. Antony Mshandete akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakati akifungua baraza hilo 26 Mei,2023 jijini Arusha. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
Share:

WAZIRI NDALICHAKO ASHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI KAZI NA AJIRA SADC

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ameshiriki Kikao cha Mawaziri wa Kazi na Ajira wa SADC kilichoongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) Gilbert F. Houngbo. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe...
Share:

KLABU YA KWANZA YA MKONGE YAZINDULIWA

Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kwa kushirikiana na Shule ya Sekondari ya Coastal ya jijini Tanga, zimezindua Klabu ya Mkonge kwa wanafunzi wa shule hiyo ambayo imelenga kuwafundisha vijana kuhusu kilimo cha Mkonge na Sekta ya Mkonge kwa ujumla hatua itakayowawezesha kujiajiri baada ya kumaliza...
Share:

Video Mpya : KISIMA - MAISHA

 ...
Share:

Monday, 29 May 2023

WADAU WA USAFIRI WA MAJINI KIBITI WAPATIWA ELIMU YA USALAMA, ULINZI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

  Na Mwandishi Wetu,Pwani SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania  (TASAC) limetoa elimu ya Usafiri Salama Majini kwa wadau mbalimbali wa wilaya ya Kibiti katika mialo ya Nyamisati Mkoani Pwani Mei 25 mwaka huu Elimu hiyo iliyotolewa katika mialo iliyozunguka Nyamasati iliwajumuisha wavuvi,...
Share:

WANANCHI WAHIMIZWA KUNUNUA BIDHAA ZILIZOTHIBITISHWA UBORA NA TBS

Afisa Udhibiti Ubora - Mwandamizi (TBS) Bw. Hamisi Simoni Seleleko, akitoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi na wajasiriamali waliotembelea banda la TBS katika Maonesho ya Sita (6) ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi yanayoendelea Mkoani Kigoma. ******************** WANANCHI...
Share:

MCHENGERWA, WANANCHI WA VIJIJI VYENYE MIGOGORO YA MIPAKA HIFADHI YA SERENGETI WAYAJENGA, WAIPONGEZA SERIKALI, WATAKA USHIRIKISHWAJI.

Na John Mapepele Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya vikao na wananchi wa vijiji vyenye migogoro ya mipaka na Hifadhi ya Serengeti na kuutaka uongozi wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA) kuimarisha program za ujirani mwema na kuwashirikisha wananchi wanaozunguka...
Share:

AMUUA BABA YAKE KISHA KUMPIKA KAMA MBOGA

Mwanaume mmoja kutoka kijiji cha Giankaja, kaunti ya Tharaka Nithi alitiwa mbaroni baada ya kudaiwa kumuua baba yake na kupika sehemu za mwili wake. Mwanamume huyo kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi kaunti ya Tharaka Nithi nchini Kenya. Polisi walithibitisha kutokea kwa tukio hilo la kusikitisha...
Share:

DAWA SAHIHI YA SHINIKIZO LA DAMU NA SUKARI

Isingekuwa shida sisi kama familia tusingemjua daktari bingwa BAKONGWA aliyemtibia baba yetu ugonjwa wa sukari ya kupanda na shinikizo la damu ambalo kwa hakika hospitali walituhakikishia kuwa baba yetu asingeweza kuishi zaidi ya miezi kumi kisha kufariki. Familia yetu yenye kulelewa na...
Share:

ALIYEMPIGA NA KUMNG'OA JINO, KUMTOBOA JICHO MKEWE AKAMATWA ARUSHA

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi. Jeshi la Polisi mkoani Arusha Mei 27, 2023 limefanikiwa kumtamata mtuhumiwa aitwaye Isack Robertson (45) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi mke wake aitwaye Jackline Mkonyi (38) mkazi wa Sombetini jijini humo. Akitoa taarifa...
Share:

MAJERUHI 18 WAMERUHUSIWA HOSPITALI YA TEMEKE KUFUATIA AJALI UWANJA WA MKAPA

Na Shamimu Nyaki Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeruhiwa kutokana na tukio la kukanyagana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wakijiandaa kuingia kutazama mechi...
Share:

Sunday, 28 May 2023

Video : MAMA USHAURI - MAGEREZA

...
Share:

Video : MAMA USHAURI - CAROLINA

...
Share:

YANGA SC YACHAPWA 2-1NA USM ALGER FAINALI YA KWANZA CAFCC

***************** NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wao USM Alger ya nchini Algeria baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali ya kwanza CAFCC ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Licha Yanga...
Share:

PROF. NDALICHAKO : BILIONI 3 ZIMETOLEWA KUJENGA VYUO VITATU VYA WATU WENYE ULEMAVU 

Na Mwandishi Wetu, Kasulu  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe.Prof.Joyce Ndalichako amesema Sh.Bilioni tatu zimetolewa na serikali kwa ajili ya kujenga vyuo vitatu vya watu wenye ulemavu na utegamano. Vyuo hivyo vinajengwa na serikali kupitia Ofisi...
Share:

SEHEMU ZANGU ZA SIRI ZIMEVIMBA BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA

Hapo Januari mwaka huu, kuna familia ilihamia karibu na mahali nilipokuwa naishi, ghafla nikagundua mke wa jirani yangu yule ni mrembo sana, mtoto ni kisu kweli kweli, unaweza kutokwa na udenda, kidume yoyote yule ni lazima tu angemtamani. Mume wake ni Afisa wa Polisi na mwanamke huyo ni mfanyakazi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger